Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Huu ukanda wa vimondo mnaozungumzia (Asteroid belt), ni lini hizi vimondo vitaacha kuanguka? je vimondo hizi zinazaliana kila kukicha? wanasayansi wanasema nini kuhusu Jupiter kuvuta Vimondo? havita jaa siku moja ikazidiwa nguzu kutokana na uwingi wa Vimondo?

Ya Ulimwengu mengi.
Vimondo haviwezi kuacha kuzunguka ila vinaweza kucollide vyenyewe. Labda nikupe demonstration mfano dunia ikiacha kuzunguka itavutwa na jua hivyo hata vimondo vikiacha kuorbit vitavutwa tu na sayari ambato ipo karibu nayo. Vimondo vingi pindi viingiapo kwenye anga ya dunia huungua kutokana na uwepo wa oksijen ambapo unaweza kuviona Kama shooting star. Jupita ina gravity kubwa Sana karibia Mara Tatu ya hii dunia maana kuzidiwa unamaanisha vimondo viivute jupita?

Haiwezekani. Kuhusu kuzaliwa kwa vimondo sina hakika ila theory ya bing bang inaweza ikaeleza na kukupa ufahamu kidogo.
Cc:Bonesmen.
 
Vimondo haviwezi kuacha kuzunguka ila vinaweza kucollide vyenyewe. Labda nikupe demonstration mfano dunia ikiacha kuzunguka itavutwa na jua hivyo hata vimondo vikiacha kuorbit vitavutwa tu na sayari ambato ipo karibu nayo. Vimondo vingi pindi viingiapo kwenye anga ya dunia huungua kutokana na uwepo wa oksijen ambapo unaweza kuviona Kama shooting star. Jupita ina gravity kubwa Sana karibia Mara Tatu ya hii dunia maana kuzidiwa unamaanisha vimondo viivute jupita? Haiwezekani. Kuhusu kuzaliwa kwa vimondo sina hakika ila theory ya bing bang inaweza ikaeleza na kukupa ufahamu kidogo.
Cc:Bonesmen.

kinachonisumbua ni kua Vimondo vinadondoka kwa vingi zaidi,je vitakuja kuisha kama havizaliani? wanasayansi wanasemaje kuusu stock ya hizi Vimondo.
 
vyote siri yake m/mung..!
Hapa ndo mwisho wa kufikiri? Kwa nini mtu hajui unakimbilia kusema mungu anajua na sio kusaka uelewa wa haya maswala yanavyooperate, mkuu Huoni wenzetu wanahangaika na tafiti kila siku?. Mimi pia God believer lakini mawazo Kama haya yamedumaza Sana bongo zetu waafrika.
CC: nusuhela
 
kinachonisumbua ni kua Vimondo vinadondoka kwa vingi zaidi,je vitakuja kuisha kama havizaliani? wanasayansi wanasemaje kuusu stock ya hizi Vimondo.

Vimondo ni mabaki ya sayari zilizopasuka na miezi na vipande vya solid masses zilizopasuka na masses zinazidi kupasuka na kuleta chengachenga. Vipande vingine vinavyopita karibu yetu vimetoka mbali saana kutokana na havijakutana na gravity kubwa ya kuvivuta basi vinazidi kuzunguka tu. Pia kuna kimondo ambacho kilikutwa na fossilized bacterias na algae (masalia ya aina za seli za uhai).
 
Kuna Vimondo ambavyo ni mabaki ya sayari zilizopasuka na miezi na vipande vya solid masses zilizopasuka na masses zinazidi kupasuka na kuleta chengachenga. Vipande vingine vinavyopita karibu yetu vimetoka mbali saana kutokana na havijakutana na gravity kubwa ya kuvivuta basi vinazidi kuzunguka tu. Pia kuna kimondo ambacho kilikutwa na fossilized bacterias na algae (masalia ya aina za seli za uhai).
 
Sorry guys, jamii forums ya simu Suxs. Siwezi kuedit wala kurekebisha comment.
 
Vimondo haviwezi kuacha kuzunguka ila vinaweza kucollide vyenyewe. Labda nikupe demonstration mfano dunia ikiacha kuzunguka itavutwa na jua hivyo hata vimondo vikiacha kuorbit vitavutwa tu na sayari ambato ipo karibu nayo. Vimondo vingi pindi viingiapo kwenye anga ya dunia huungua kutokana na uwepo wa oksijen ambapo unaweza kuviona Kama shooting star. Jupita ina gravity kubwa Sana karibia Mara Tatu ya hii dunia maana kuzidiwa unamaanisha vimondo viivute jupita? Haiwezekani. Kuhusu kuzaliwa kwa vimondo sina hakika ila theory ya bing bang inaweza ikaeleza na kukupa ufahamu kidogo.
Cc:Bonesmen.
Mkuu thesym uchambuzi wako ni makini sana ni ukweli kua huko angani hakuna kitu kilichotulia vyote vipo ktk speed fulani ili kubalance njia yake ya mzunguko wa duara(Orbit) kitu kikipunguza speed tu au ku collide na kingine basi kitavutwa na gravity ya eneo kinapazunguka inshu ya vimondo hutokea wakati wa uzaliwaji wa stars kumbuka nyota inapozaliwa kuna vitu huruka pembeni vipo vinavyokuwa na sifa ya kuwa planet vingine hubaki kama vimondo tu mana ni mfano wa magimbi yani kitu hakijafikia sifa za kuwa star vimondo hvi vingi hupatikana ukanda unaitwa asteroid belt na kuiper belt baada ya Neptunekuanzia pluto na vinginenyo ni dwarf planet na vimondo pia
 
Tupo juu ya dunia....ndani ya dunia ni vitu kama miamba,cores,oil and natural gases (matabaka mbalimbali)
Tupo katika uso wa dunia but ndani ya atmosphere Chukua bakuli la duara ndani weka sumaku harafu katika surface ya bakuli(bowl) kwa nje weka misuri utaona inaningia nini kinafanya ininginie ni usumaku yani magnetic field, vile vile sisi tupo katika uso wa dunia kwa support kubwa kabisa ya gravity
 
Kuna kila dalili ktk mfumo wetu wa jua hili, tuko wenyewe dunia sayari yenye viumbe ni dunia tu, zingine ni mawe na vumbi tu.
 
Kuna kila dalili ktk mfumo wetu wa jua hili, tuko wenyewe dunia sayari yenye viumbe ni dunia tu, zingine ni mawe na vumbi tu.
Mkuu mars ina dalili za uwepo wa bahari ivo maji probably yakapatikana kwenye Mars phobos and demons hio miezi miwili inayo orbit mars inaweza kuwa na maji ya kutosha Pia kuna uwezekano wa uwepo wa bacteria wadogo mars, katika solar yetu ni confirmed tuko alone jamii ya binadamu kama sisi but ktk observable universe ni Ukakasi kusema tuko alone
 
Tatizo kubwa la nyie wanasayansi mnakata kilicho duniani ndio kiwe sawa kabisa na kilicho kwenye sayari nyingine, nadhani jibu lako lingekuwa inawezekana kukawa na viumbe wengine ambao watakuwa tofauti na sisi kwa sababu ya utofauti wa kimazingira, sio kila kiumbe lazima viwe kama vya hapa duniani, inawezekana kukawa na watu ambao wako tofauti sana na sisi, labda hawaitaji sana oxygen, hawaitaji maji, hawaitaji chakula, nk wapo kama marobot tu

so viumbe vinaweza vikawepo huko
Mbona wanasayansi wameenda sana kwenye sayari mbali mbali lakini hawakuja na mrejesho kama huo mtazamo wako.
 
Mkuu mars ina dalili za uwepo wa bahari ivo maji probably yakapatikana kwenye Mars phobos and demons hio miezi miwili inayo orbit mars inaweza kuwa na maji ya kutosha Pia kuna uwezekano wa uwepo wa bacteria wadogo mars, katika solar yetu ni confirmed tuko alone jamii ya binadamu kama sisi but ktk observable universe ni Ukakasi kusema tuko alone
Kwenye ulimwengu kuna kitu kinaitwa Galax,ndani ya Galax kuna Systems zaidi ya million moja,Moja kati ya hizo System inaitwa Solar System(Mfumo wa Jua).hiyo Solar System ndani yake kuna sayari 10,Katika hizo sayari kumi sayari ya tatu inaitwa Dunia hii ndio yenye conditions ambazo zinaruhusu viumbe hai kuishi(Si baridi sana lkn pia si joto sana).

Sasa vipi kuh hizo system zingine zilizobakia ambazo nazo zina Jua(Star) katikati na sayari zinalizunguka hilo jua,kiuhalisia lazima kutakuwa na viumbe hai pia kwenye hizo system zingine ila kwa sababu zipo mbali sana na Dunia hivyo binadamu ni ngumu kujua huko kwingine kuna nini.NB;Ukitizama juu usiku utaona nyota nyingi sana hizo ni source of power za system zingine zaidi ya million kama ilivyo jua kwenye solar system
 
Mbona wanasayansi wameenda sana kwenye sayari mbali mbali lakini hawakuja na mrejesho kama huo mtazamo wako.
Hakuna mwaadamu aliekanyaga sayari wala mwezi wowote safari ya mars Nasa wana iratibu iwe 2030 ambapo mars itapishana na dunia na kuviweka karibu ivo watu watasafiri kuelekea mars
 
Sisi tupo nje ya dunia. Wapo watu wengine ndani ya dunia. Dunia ni kama nazi. Inayo outer surface na inner surface. Inner world inaitwa Agartha.

Andrew umetunyesha juice ya Tango na pilipili...Naomba uelezee kidogo kwamba hao watu wanaishi wapi ndani ya dunia isije kuwa unamaanisha wafu waliozikwa.
 
Back
Top Bottom