Nini kifanyike kuboresha malezi ya watoto wa kike?

Nini kifanyike kuboresha malezi ya watoto wa kike?

Best ukitaka ivyo usioe mke anayefanya kazi maana ukikuta mwanamke anafanya kazi kumuachisha iyo ni kazi nyingine...maana mkija kufulia ataanza kukupa lawama...ivyo kuepuka lawama oa mke weka vitega uchumi vyakuingiza fedha ili mkeo apate muda mzuri wakulea watoto ....sababu ukiwa na biashara binafsi uwezi kukosa wakusimamia biashara wakati ukiendelea kulea watoto ( nazungumzia mwanamke yaan mama) ....maana wazazi wasikuiz wapo bize kutafuta hela kuliko watoto hadi waga najiuliza sasa kama unatafuta halafu unaemtaftia umfundishi au kumuelekeza ajielewe unatafuta izo fedha za nini??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli usemayo. Ah mie bwana mambo yakulea watoto hapana maana unaweza lata stress kama za jamaa hapa...tena sie wagegedaji watoto wetu ndio watagegedwa mpaka basi. Hilo wa watoto wacha niwaachie wengine mie niendelee kugegeda warembo tuu
 
Kifupi ulikosea kumpiga,na ukakosea mara 750 kumwomba msamaha.

Hajui kama mb®® ni tamu lakini sio wakati wake huo,shule kwanza.
Hajui kama huu muda anatamaniwa na kila mtu,asijione mzuri sana.
Hajui kwamba mnamtegemea yeye hivyo asiharibu future yake.

Epuka kumuonea haya mtoto wa kike,dada yako,mpwa wako.sema naye.mfanye ajue kwamba yeye kut*mbwa na mtu wakati ambao si sahihi kama sasa,ni kukufedhehesha wewe na familia yake.
 
Sasa wamtafuta bodaboda wa nini... Wee mtandike huyo mtoto mpaka ashike adabu
Hili swali la msingi sana, kwa nini wanafunzi wanapenda bodaboda? na jibu sijui

Ila nimempiga na nimejisikia vibaya sana naona kama anakuwa sugu tu na ukimsema mtoto sana anakuwa na kichwa kigumu hakielewi
 
Am not scared it is really hard to explain this. "I dont know how to talk to them"

Nimemuagiza wife azungumze nae na akae ajue kwa nini anakuwa mzembe tatizo liko wapi
Mkuu kama huwezi kuongea naye inabidi tu ujifunze maana hapo hata wifi yake akiongea nae hawezi muelewa hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama huwezi kuongea naye inabidi tu ujifunze maana hapo hata wifi yake akiongea nae hawezi muelewa hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama wifi yake asipomuelewa atanielewa kweli?
Nimefikiria wife amueleze na shangazi ili shangazi akae nae amfundishe
Sijui namna ya kuongea nae, nisije kuwa kama namfundisha vile

Ila wengi wanaongea tu hapa na wanaume wenzangu najua kifupi nao hawawezi kama mie. Wengine wanasema nimpige, wengine wanasema nisimpige, wengine wanavuka kabisa wanasema kajua utamu sasa hapa kuna malezi kwel? It is so annoying
 
Kweli usemayo. Ah mie bwana mambo yakulea watoto hapana maana unaweza lata stress kama za jamaa hapa...tena sie wagegedaji watoto wetu ndio watagegedwa mpaka basi. Hilo wa watoto wacha niwaachie wengine mie niendelee kugegeda warembo tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] best inabidi utafute hata kamoja jaman nipate kashangazi mimi....maana juzi nliota una mtoto wa kike anaitwa dorcas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi ulikosea kumpiga,na ukakosea mara 750 kumwomba msamaha.

Hajui kama mb®® ni tamu lakini sio wakati wake huo,shule kwanza.
Hajui kama huu muda anatamaniwa na kila mtu,asijione mzuri sana.
Hajui kwamba mnamtegemea yeye hivyo asiharibu future yake.

Epuka kumuonea haya mtoto wa kike,dada yako,mpwa wako.sema naye.mfanye ajue kwamba yeye kut*mbwa na mtu wakati ambao si sahihi kama sasa,ni kukufedhehesha wewe na familia yake.
You are talking about my sister hayo maneno umenikosea sana hujui tu
 
Ila kuna kipindi nawaambia mpaka marafiki zangu na wananambia niache kumkufuru Mungu, mtoto yeyote atakayekuja unampokea kwa mikono miwili. Nawajibu sijasema akipatikana mtoto wa kike kuwa sitompokea ila kwa kweli nashindwa kujua nitawalea vipi. Mungu anisamehe kwa uchanga wa mawazo yangu ila jina lake litukuzwe kwa kuwa hapangiwi. .

Watoto wa kike wakiwa wadogo wanavutia na unapenda kuona wanajenga maisha yao. Ila wanapokuwa kidogo tu inakuwa shida sana unakuwa mtu wa mawazo mda wote jinsi gani utawakinga na mambo mabaya kwani kuna watu kazi zao kuwafanyia mabaya watoto wa wenzao. Toka nishuhudie kuwa dada anahangaika na mahusiano katika umri mdogo basi nimepata mawazo sana na yale niliyokuwa nayawazia juu ya watoto wa kike kama yanajidhihirisha zaidi. .
Kwani wewe hushobokei watoto wa wenzio ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama wifi yake asipomuelewa atanielewa kweli?
Nimefikiria wife amueleze na shangazi ili shangazi akae nae amfundishe
Sijui namna ya kuongea nae, nisije kuwa kama namfundisha vile

Ila wengi wanaongea tu hapa na wanaume wenzangu najua kifupi nao hawawezi kama mie. Wengine wanasema nimpige, wengine wanasema nisimpige, wengine wanavuka kabisa wanasema kajua utamu sasa hapa kuna malezi kwel? It is so annoying
Mm sishauri umpige maana uyo kashakua mkubwa kwanza siunajua sikuizi tunatembea tushajifia siku nyingi ivyo unaweza mpiga hata kofi tu akufie upate kesi uache watoto wakiwa yatima bure kisa ujinga wa uyo mdogo ako.. kaa nae chini vunja ukimya tena ukiongea naye wewe ndio ataona aibu usimfiche kitu mueleze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swali la msingi sana, kwa nini wanafunzi wanapenda bodaboda? na jibu sijui

Ila nimempiga na nimejisikia vibaya sana naona kama anakuwa sugu tu na ukimsema mtoto sana anakuwa na kichwa kigumu hakielewi
Kaka hiyo nii uongo madhumuni ya adabu ni kuhakikisha hiko kitu hakirudiwi tena na huyo mtu au mtu mwengine.

Chukulia mfano pale lugalo wee ulishaona karatasi ya ukwaju pale... Sii ukichafu unaweza ambiwa usafishe barabara yote.
People do things coz they know they can get away with it. Wakati mwengine yule wa kwanza ndio mnamfanyi extremee punishemnt ili hivyo vitu vistendeke.

Tatizo society yetu haina maadili kwa vitendo ina maadili kwa maneno. Ebu wee chukulia sie wagegedaji tungukuwa kweli mtu anakatwa pumbu unadhani wakina mzabzab tungeendelea na kugegeda.. Subuthu. Ila society kwa kuwa inaona ni poa tuu watu kugegedana kabla ya ndoa basi ndio tumefikia huku kwa watotto wa miaka 15 kugegedana na bodaboda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] best inabidi utafute hata kamoja jaman nipate kashangazi mimi....maana juzi nliota una mtoto wa kike anaitwa dorcas

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE

Loh huyu dorcas sii watamgegeda mpaka basi... Maana nikiwaza niwe na mtoto wa kike alafu minjemba iwe inamkunja kama navyowakunja sii ballaaa.
 
Kwani wewe hushobokei watoto wa wenzio ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nimeoa alafu sio mtu wa wanawake wengi kabisa
wanawake stress sana ninapambana na hali yangu ya kiuchumi
Hizo za kuwaariba watoto wa kike maisha sina kabisa
Ukimlaghai mtoto wa kike, basi ujue umempotezea mda mwingi sana alafu uongeze mwingine kidogo kujijenga kiakil

Kwa nini nihangaike na wanawake wakati am happy in my marriage
 
Kaka hiyo nii uongo madhumuni ya adabu ni kuhakikisha hiko kitu hakirudiwi tena na huyo mtu au mtu mwengine.

Chukulia mfano pale lugalo wee ulishaona karatasi ya ukwaju pale... Sii ukichafu unaweza ambiwa usafishe barabara yote.
People do things coz they know they can get away with it. Wakati mwengine yule wa kwanza ndio mnamfanyi extremee punishemnt ili hivyo vitu vistendeke.

Tatizo society yetu haina maadili kwa vitendo ina maadili kwa maneno. Ebu wee chukulia sie wagegedaji tungukuwa kweli mtu anakatwa pumbu unadhani wakina mzabzab tungeendelea na kugegeda.. Subuthu. Ila society kwa kuwa inaona ni poa tuu watu kugegedana kabla ya ndoa basi ndio tumefikia huku kwa watotto wa miaka 15 kugegedana na bodaboda.
Iyo inaitwa "karma" fimbo unayomchapia mwenzio ipo siku fimbo iyoiyo utachapiwa[emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka amani ukizaa katoto kako we acha kugegeda huko nje jitaftie ka wifi ukavute ndani utulie zako....unless unataka uje kua padri[emoji23][emoji23][emoji23] best

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are talking about my sister hayo maneno umenikosea sana hujui tu
Inaonekana unampenda sana mdogo wako mpaka huelewi kama unaharibu.hapo unazingua babu.

Utamvunja taya,halafu akushitaki au huamini
 
Kaka hiyo nii uongo madhumuni ya adabu ni kuhakikisha hiko kitu hakirudiwi tena na huyo mtu au mtu mwengine.

Chukulia mfano pale lugalo wee ulishaona karatasi ya ukwaju pale... Sii ukichafu unaweza ambiwa usafishe barabara yote.
People do things coz they know they can get away with it. Wakati mwengine yule wa kwanza ndio mnamfanyi extremee punishemnt ili hivyo vitu vistendeke.

Tatizo society yetu haina maadili kwa vitendo ina maadili kwa maneno. Ebu wee chukulia sie wagegedaji tungukuwa kweli mtu anakatwa pumbu unadhani wakina mzabzab tungeendelea na kugegeda.. Subuthu. Ila society kwa kuwa inaona ni poa tuu watu kugegedana kabla ya ndoa basi ndio tumefikia huku kwa watotto wa miaka 15 kugegedana na bodaboda.
Unajua unaweza kumchapa akaw na nidhamu ya uoga. Mie nimesoma Makongo High School kwa hiyo naelewa fimbo tulichapwa sana. Kipindi kile mwalimu mkuu kipingu anaagiza fimbo landrover ya jeshi inajaa kutoka Morogoro kwa ajili ya kuchapa wanafunzi tu. Ila watu wanapigwa fimbo shuleni ila huko mtaani wanaendelea na mabo yao ya ovyo sana

Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa James Nyoni, alichomwa moto ubungo kwa wizi, na nimesoma nae Makongo. What if nikiwa siko nae akawa ananifanyia maigizo nyumbani tu. Asiyesikia maana haambiwi maana ndugu yangu. .
 
Iyo inaitwa "karma" fimbo unayomchapia mwenzio ipo siku fimbo iyoiyo utachapiwa[emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka amani ukizaa katoto kako we acha kugegeda huko nje jitaftie ka wifi ukavute ndani utulie zako....unless unataka uje kua padri[emoji23][emoji23][emoji23] best

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa bado naendelea kusasambua papuchi kwanza kuoa ni baadae kidogo.
 
Inaonekana unampenda sana mdogo wako mpaka huelewi kama unaharibu.hapo unazingua babu.

Utamvunja taya,halafu akushitaki au huamini
Kwa nini nisi pende mdogo wangu sasa she is my sister
Humpendi mdogo wako?
She is young and full of life, what will I give to go back in time and be 15 years old

Sijapenda kumpiga ndio maana naomba ushauri nifanyeje
Ukisoma vizuri nimeandika ilikuw hasira tu mie sio mtu wa kupiga piga watoto
 
Mie nimeoa alafu sio mtu wa wanawake wengi kabisa
wanawake stress sana ninapambana na hali yangu ya kiuchumi
Hizo za kuwaariba watoto wa kike maisha sina kabisa
Ukimlaghai mtoto wa kike, basi ujue umempotezea mda mwingi sana alafu uongeze mwingine kidogo kujijenga kiakil

Kwa nini nihangaike na wanawake wakati am happy in my marriage
Asa mnataka twende wapi sisi mabahara tukajisevie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom