Nini kifanyike kuboresha malezi ya watoto wa kike?

Nini kifanyike kuboresha malezi ya watoto wa kike?

Kwa nini nisi pende mdogo wangu sasa she is my sister
Humpendi mdogo wako?
She is young and full of life, what will I give to go back in time and be 15 years old

Sijapenda kumpiga ndio maana naomba ushauri nifanyeje
Ukisoma vizuri nimeandika ilikuw hasira tu mie sio mtu wa kupiga piga watoto
Mwanaume rijali hanyanyui mkono kwa manamke,na hata akinyanyua hanyanyui bahati mbaya.

Mfanye mdogo wake ajue kwamba lile jambo lilikuchukuza,na hatakiwi arudie tena.
 
Unajua unaweza kumchapa akaw na nidhamu ya uoga. Mie nimesoma Makongo High School kwa hiyo naelewa fimbo tulichapwa sana. Kipindi kile mwalimu mkuu kipingu anaagiza fimbo landrover ya jeshi inajaa kutoka Morogoro kwa ajili ya kuchapa wanafunzi tu. Ila watu wanapigwa fimbo shuleni ila huko mtaani wanaendelea na mabo yao ya ovyo sana

Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa James Nyoni, alichomwa moto ubungo kwa wizi, na nimesoma nae Makongo. What if nikiwa siko nae akawa ananifanyia maigizo nyumbani tu. Asiyesikia maana haambiwi maana ndugu yangu. .
Wee jamaa hujanielewa kabisa. Sikiliza nani kakwambia kwa mambo kama haya kiboko ndio adhabu. Hapo nikujidanganya.

Ishu kama hii inatakiwa mtoto anachomwa moto tena ifanywe na ndugu zake sio watu wa nje ya familia. Na hii ndio iwe tradition ya nchi nzima uone kama kutakuwa na mtoto wa kike anaendekeza ngono hapa.

Wee unadhani wezi wapo kwa sababu gani pamoja na kwamba wanachomwa moto? Kwa sababu moto wanachomwa na watu nje ya familia... Nyie kama wanafamilia mtoto akiwa mwizi mnaanza wenyewe kumchoma moto uone kama kutamuwa na mwizi mtaani.

Tatizo letu sio kitu kikifabywa na ndugu tunamezea. Kosa ni kosa wether ni mtoto wako au wa jirani. Watoto wa siku hizi tutawalaumu bure tuu wenye makosa ni wazazi.
 
Pole sana. Kumchapa kibao ilikuwa sawa , lakini baadae ulitakiwa urudi kwake binti pia umwombe msamaha halafu hapo hapo piga nasaha kwa lugha ya hekima na upole sana.

Mimi nina binti wawili. Mdogo nilimnunulia smartphone umri miaka 14 akiwa kidato cha pili. Yuko Chuo Kikuu sasa na Dada yake pia sijawai pata usumbufu.

Utapiga utauumiza ongea nae tu amesha komaa. Na hasa kuhusu maisha yake ya baada ya masomo. Sasa sio kila wiki darasa la Nasaha. Tafuta nafasi nzuri tu mko wawili na mwaga nasaha. Huko mbele akija kujikwa atakumbuka na atajirekebisha. Akiwa na tabia chafu darasani awe vizuri atajirekebisha ataona uhuni unakatisha malengo. Ila kote kote akiwa 0 hapo hasara yake ni kubwa. Mungu akupe hekima.

Jirani yangu kule Oysterbay alikuwa na binti malaya sana. Yaani tukiskia gari tu na honi basi anapigiwa yeye. Na ni kila siku jioni
Kilichonishangaza pamoja na tabia zake chafu alifaulu kidato cha 4 na sita akaenda mlimani, pale akaona hapafai akaenda ulaya hajarudi mpaka leo. Nakumbuka mara ya mwisho yule binti alituma gari BMW kwa familia yake ila hajarudi mpaka leo. Alikuwa fuska ila darasani na kichwani alikuwa vizuri pia.
 
Mtoto ni mtoto tu unaweza zaa mtoto wakiume akawa mvuta bangi na unaweza kuzaa mtoto wa kike akawa kahaba ....cha muhimu wazazi wanatakiwa kuwaombea watoto na wazazi pia wanatakiwa kutulia kwenye ndoa mfano baba ukipenda kutembea na watoto wadogo nje ya ndoa yako ( maana wanaume sikuiz ndio tabia zao ku date na visichana vitoto) ujue na wewe ukizaa wakwako wakike lazima wazee watampitia tu ....vile vile kina mama nao ....kilicho cha muhimu ni kuwafundisha watoto njia za Mungu na kuwaambia kwa uwazi kabisa tangu wakiwa watoto jinsi duniani kulivyo na uharibifu na jinsi yakuepuka....wazazi pia inatakiwa kupunguza ubize wakujifanya kua bize sana watoto wakabaki kulelewa na ma housegirl ....wazazi wahusike na malezi sio kuwaza mishahara tu huku watoto wanaharibikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kuvuta bangi dhambi?? mtu anaweza asitembee na vitoto vidogo ila yeye watoto wake wadogo wakaja kuharibiwa japokuwa yeye hakuwahi kuharibu mtoto wa mtu

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Kuna wakati mm na wadau tulijadili namna ya kulea mtoto wa kike mwisho wa siku jibu likabaki kuwa Mungu
 
Kuna wakati mm na wadau tulijadili namna ya kulea mtoto wa kike mwisho wa siku jibu likabaki kuwa Mungu
Kubwa ni kuwaweka kwenye dini wakue katika misingi ya dini. Mtoto anakuwa hofu ya Mungu na inamlinda mpaka anapokua.

Kuna wadau wanazungumza wanachukulia simple sana. .
 
Pole sana. Kumchapa kibao ilikuwa sawa , lakini baadae ulitakiwa urudi kwake binti pia umwombe msamaha halafu hapo hapo piga nasaha kwa lugha ya hekima na upole sana.

Mimi nina binti wawili. Mdogo nilimnunulia smartphone umri miaka 14 akiwa kidato cha pili. Yuko Chuo Kikuu sasa na Dada yake pia sijawai pata usumbufu.

Utapiga utauumiza ongea nae tu amesha komaa. Na hasa kuhusu maisha yake ya baada ya masomo. Sasa sio kila wiki darasa la Nasaha. Tafuta nafasi nzuri tu mko wawili na mwaga nasaha. Huko mbele akija kujikwa atakumbuka na atajirekebisha. Akiwa na tabia chafu darasani awe vizuri atajirekebisha ataona uhuni unakatisha malengo. Ila kote kote akiwa 0 hapo hasara yake ni kubwa. Mungu akupe hekima.

Jirani yangu kule Oysterbay alikuwa na binti malaya sana. Yaani tukiskia gari tu na honi basi anapigiwa yeye. Na ni kila siku jioni
Kilichonishangaza pamoja na tabia zake chafu alifaulu kidato cha 4 na sita akaenda mlimani, pale akaona hapafai akaenda ulaya hajarudi mpaka leo. Nakumbuka mara ya mwisho yule binti alituma gari BMW kwa familia yake ila hajarudi mpaka leo. Alikuwa fuska ila darasani na kichwani alikuwa vizuri pia.
Shukrani sana ndugu umenipa wazo zuri na kwa kuwa wewe ni mzazi unaelewa sana nachozungumza. .

Cha kusikitisha kuna watu wanapenda sana kuwapotezea watoto wa watu malengo yangu. Dunia imeisha, kikubwa ni kuwaweka watoto katika misingi ya dini awe wa kiume au wa kike. .
 
Shukrani sana ndugu umenipa wazo zuri na kwa kuwa wewe ni mzazi unaelewa sana nachozungumza. .

Cha kusikitisha kuna watu wanapenda sana kuwapotezea watoto wa watu malengo yangu. Dunia imeisha, kikubwa ni kuwaweka watoto katika misingi ya dini awe wa kiume au wa kike. .
Yap uko sahihi. Hapo kwenye dini watu wengi wanajisahau, watoto wadogo wanatambua mapema sana kama wazazi mnafuata dini kwa kumaanisha na kimatendo au mnaiga tu bora liende. Wakipata jibu nao wanaendeleza kwa kufuata mfano wa wazazi. Kama mna feki
Watafeki n.k
Ndio ipo mifano mingi ya watoto wa viongozi wetu wa dini kuwa mcharuko kama binadamu nao wana mitihani yao. Wanamaisha ya hadhara ma binafsi.


Mimi baada ya binti yangu kuwa kidato cha nne na nikaona anakwepa sana maovu, yaani hata huwezi kuta ana movies au miziki ya upuuzi, nikaamua kumuuliza lini alianza kutambua kwamba kuna mambo fulani hayafai kabisa ayakwepe akaniambia wakati yupo darasa la pili. Nilishangaa sana. Umri huo wazazi wengi tunajisahau unaweza kuta mtu anamtukana mkewe mbele ya mtoto kumbe dogo anarekodi kichwani.

Dini kwa kumaanisha na upendo wa kweli unaleta amani sana haijalishi uchumi wa familia ukoje.
 
Mimi sina hata mtoto ila Chukua hii

Mlee mwanao ktk maadili ya dini yako

Mpeleke mtoto tangu mdogo ajifunze na ajielimishe kuhusu dini yake

Mlee mtoto na hakikisha anamjua Mungu

Zingatia Sana mavazi. Mwanamke mwenye kujistir hatakumbwa na maovu ya shetani na hiyo ni ahadi ya Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom