Nini kifanyike kuokoa ndoa kwa sababu ya wanawake kukosa nguvu za kike?

Mkuu unakutana na Mwanamke

1. Anadaiwa kodi ya nyumba
2. Madeni ya vikoba vimemkaba
3. Simu imetumbukia ndoo ya maji
4. Watoto wamefukuzwa shule
5. Aliyemzalisha kakimbia


Tuwe na huruma hapo hupati unachotaka. Utamlaumu bure tu.
 
SIo mie ushindwe mie naweza mara 9 hapo ni asubuhi ijioni hadi asubuhi utakavyoo ila uwe na hela ndio itapata stim au ujue kulana vizuri sio nawewe uwe chenga haipendezi . Mi nakupa hadi unakufa kula vizuri na unywe maji
Joannah Missy Gf njooni mumsikie bi harusi mtarajiwa huku 🤣🤣🤣
 
SIo mie ushindwe mie naweza mara 9 hapo ni asubuhi ijioni hadi asubuhi utakavyoo ila uwe na hela ndio itapata stim au ujue kulana vizuri sio nawewe uwe chenga haipendezi . Mi nakupa hadi unakufa kula vizuri na unywe maji
Awweee upo na video tuone 🙄
 
Eeeeh 🤣😢🤣🤣🤣Kwani bado yumo humu?si tulimfanyia send-off huyo....hiyo comment yake Sasa 😂
🤣🤣🤣🤣 kitchen party imemchanganya anataka kuanza kuifanyia kazi miujuzi aliyopewa na kungwi had nje
 
Nyie wenye story nyingi hamnaga kitu

USSR
Kuna mmoja hiyo aliniambiaga siku nikikupa nijipange Nina vurugu naweza kukuvunja mkono...nilipokutanaa nae sasa looh ...yule dada shetani anamuona 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…