Wataalamu wa mazingira wana mkakati gani au mapendekezo gani kwa serikali na wananchi kwa ujumla kujaribu kupunguza au kuondoa kabisa hii kero ya upepo mkali unaoambarana na vumbi hapa jijini ili paakisi status ya makao makuu ya nchi. Wengine wanasema hii ni balaa ya milele, wengine wanasema inaweza kurekebisika.
Kuna miji kama Mwanza, Tabora, Morogoro, Kibaha, Tanga, Njombe, Mtwara na Lindi, Kigoma, Bukoba na Musoma haina hali kama ya hapa
Karibu tujadili huenda wana mazingira aakaokota mawili ama matatu ya kusaidia kuboresha jiji
Angalizo:
Tuache mizaha, tujikite kuandika mawazo yenye kujenga