Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Kwanini mushauri upinzani wakati lengo lenu ni upinzani ufe?Mimi nashauri wapinzani wote wakae kando na watafute shughuli nyingine za kufanya ili muwe wenyewe!Hii ni point muhimu sana, Mbowe na Lissu wana siasa za kilaghai ambazo hazina uhalisia wala kugusa maisha ya mwananchi wa kawaida, Zitto na Dr Slaa wapo vizuri na ndio walioweza kupandisha upinzani mbele ya umma, kama Mbowe na Lissu wanataka kuendelea na siasa wabaki nyuma wawaaachie vijana kina Mnyika na Zitto wafanye siasa za hoja.