Nini kifanyike kwa Upinzani tunapojiandaa na Uchaguzi wa 2025

Kwanini mushauri upinzani wakati lengo lenu ni upinzani ufe?Mimi nashauri wapinzani wote wakae kando na watafute shughuli nyingine za kufanya ili muwe wenyewe!
 
Kusema ukweli we need new faces huko upinzani, sio sura Zile zile,successions plan na recruitment of new, talented politicians should be given a chance/way
 
Hakuna uchaguzi umefanyika Tanzania zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani, mda si mrefu uchaguzi utarudiwa hakuna kusubiria mpaka 2025 Mbati sana
 
Hakuna cha mapungufu ya chadema wala nini wananchi wametenda haki vizuri wakaichagua chadema kwa Amani na upendo kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi kwa njia haramu za kishetani, CCM haina baraka idhini ya wapiga kura laana itawaandama tu
 
Mbowe ameng'ang'ania madarakani mpaka chama kinafia mkononi mwake, sasa hela hakuna, ruzuku hakuna billicanas pia hakuna baada ya miaka mitano kina Esther Bulaya sijui Matiko watakuwa washaolewa kwa ukata mkubwa na kupotea kwenye siasa James Lemberi
 
Hahaha hakuna uchaguzi tena utafanyika Tanzania hii.

Mwananchi gani utamwambia akapige kura akakuelewa?!
 
Kusema ukweli we need new faces huko upinzani, sio sura Zile zile,successions plan na recruitment of new, talented politicians should be given a chance/way
Lipumba yupo tangu 1994 huko. Maalim yupo sijui tangu lini. Jamii ya hawa watu ndio matatizo yenyewe. Vyama wamevigeuza kuwa NGOs binafsi
 
Mbowe ameng'ang'ania madarakani mpaka chama kinafia mkononi mwake, sasa hela hakuna, ruzuku hakuna billicanas pia hakuna baada ya miaka mitano kina Esther Bulaya sijui Matiko watakuwa washaolewa kwa ukata mkubwa na kupotea kwenye siasa James Lemberi
Nafikiri watakaa kikao na waamue tu kupeleka kinamama viti maalumu bungeni ili angalau ruzuku ije na kuwe na some form of representation ndani ya Bunge

Win-win!
 
Huwa najiuliza kwa nini CCM wengi wanawashauri chadema kutosusia bunge? Na maalim akubali kuwa makamo wa rais? Wanaogopa nini?
Muda ni mwalimu mzuri sana
 
Muhimu kutambua mleta mada ni wale maofisa nanihii katika kupima maji. Ni vizuri wakajua it is not over yet. Ngoja Pompeo amalize ya kwake.
Ule ushauri bado unasimama hadi kesho. Tutafanya makosa makubwa sana na Oct 2025 tutarudi huku kulialia huku tukisema "it is not over yet". Tunapaswa kuepuka kufanya makosa yaleyale kila mwaka wa uchaguzi
 
Izo pesa za kufungua matawi kisha wayalinde watatoa wapi wakatai hawana pesa?
Walipokuwa na pesa mliwashauri waka kataa sasa iweje leo ambapo hawana pesa.
Nafikiri upinzani uje na sera za kimukakati ili tusonge mbele
 
CCM hivi ni lini mtaacha tabia yenu ya wizi wa kura? Mna miaka 44 sasa ila tabia yenu hiyo ndiyo kwanza inazidi kukomaa....hivi hamna kabisa uthubutu wa kupambana na kina Zitto, Mbowe, Lema, Sugu nk majukwaani na uwanja sawa kwel? ...aaaah acheni aibu hii sasa mshakuwa watu wazima.
 
Kwanini mushauri upinzani wakati lengo lenu ni upinzani ufe?Mimi nashauri wapinzani wote wakae kando na watafute shughuli nyingine za kufanya ili muwe wenyewe!
Ili iweje? Una maanisha wafunge na ofisi zao kabisa na wamwambie Msajiri awafute?

You are not serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…