Keep it up champ!!Pamoja sanaa mkuu..mimi pia c kwamba nipo vzur sanaa kiuchumi au nna ile body mission impossible...sema nmejiwekea utaratibu tu kuwa kila nikitoka job jion lazma nikimbie km 5...nkitoka hapo ni kwenda kula salad ya matunda...hakika nimeoma mabadiliko makubwa sanaa tofaut na nlipokuwa mzembe mzembe
Uwiano wa uzito na urefu wa kimo chako yaani BMI ndio kigezo sahihi cha nini status ya afya yako kwamba upo kwenye hatari au lah. Sisi masikini ndio tupo zaidi kwenye risk kwa sbb ulaji wetu unategemea zaid quantity than quality!!!nikipita goba na mbezi beach naona wanaofanya asubuh ni watu wenye kipato cha juu tu, masikini wengi maisha yetu ni mazoezi tosha.
Kwani wachezaji wa mpira hawali sana?mazoezi nimefanikiwa haipiti siki mbili sijaenda, naweka riddim zangu nakimbia lisaa 1 napiga viungo naoga. Shida msosi sasa lipepsi flani kuacha nashindwa. Mwaka jana mwezi wa sita nilikua nakimbia sana huku nakinywa yale madetox alfajiri na mda wa kulala, diet mayai mawili ya kuchemsha mbogamboga sana kama rasta. Huwezi amini mwili niliuona kama unakosa nguvu maana sukari iliiisha mwilini nikawa naona upepo kama unaingia machoni vile. Nikajisemea maisha ndio haya haya niendeleze misosi tu na mipepsi
Kwa kwel,nikipita goba na mbezi beach naona wanaofanya asubuh ni watu wenye kipato cha juu tu, masikini wengi maisha yetu ni mazoezi tosha.
Suijinyime kula, jambo la muhimu hapa uzingatie unakula nini..? Hakikisha unakula vyakula vyenye faida ya mwili na uhitaji wa muhimu zaidi,Kwani wachezaji wa mpira hawali sana?
Mi naona kufanya mazoezi kunaleta pia appetite ya kula sana,na energy nyingi inatumika kwenye mazoezi,hivyo kula sana ni muhimu pia.
Wewe ni mwanamuziki?Hivi kula mboga mboga na matunda usiku unapiga show fresh?
Mnafanyia wap na mimi nijiunge. Na ni muda gani?Nimekutumia PM mkuu!!
Tena bwana unaenjoy mpira wakiveteran raha sana yaani ni kampa kampa tena tuuMoja ya michezo ya utotoni ambayo sijaiacha ni kucheza mpira πππ
Nikipata nafasi jioni pamoja na maveteran wenzangu tunakiwasha uwanjan
Mwili na akili vinafanya kazi vizur ukifanya mazoezi
Yah manTena bwana unaenjoy mpira wakiveteran raha sana yaani ni kampa kampa tena tuu
Ni vizuri zaidi maana wabongo hatuna mambo ya kufanya check up.Mama yangu kuna siku nilimpeleka hospitali kwa ajili ya kuumwa miguu. Pale masijala wakampiga Pressure. Ikakutwa kubwa, wakaanza kujiita madaktari wakawa watatu na kuanza mjadili. Tena wakaacha kuangalia tatizo la miguu, wao wakaanza mueleza kuhusu pressure ilihali haumwi sehemu yoyote wala hajawahi kuwa na tatizo hilo.
Wakamtengenezea hofu sana yule mama. Nashauri huu, utaratibu sio mzuri. Mtu atibiwe tatizo alilonalo na sio kuanza chokonoa pressure na UKIMWI
Mkuu hapa nakuunga mkono upande mmoja na upande wa pili sikuungi mkono.Kama umri umeshapita miaka 40 ni jambo zuri sana kupima pressure kila baada ya muda fulani,kwani kawaida hua ina tabia ya kuongezeka kutokana na umri ingawa hua haizidi vile viwango hatarishi,lakini aina ya maisha tunayoishi pia husababisha ipande kupita vile viwango ambavyo ni hatarishi.Swala ambalo nakuunga mkono ni tabia ya madaktari au wahudumu wa afya ambao huwa wanakurupuka na kumwambia mgonjwa pressure iko juu na kuanza kumtisha na hata wengine kumuanzishia mgonjwa dawa za pressure bila ya kufuatilia hiyo pressure imepandishwa na nini, au kutofanya uchunguzi wa kina kuhusu chanzo chake kuwa juu nini,mfano kuna watu hawana tatizo la pressure kabisa ila akiwa na infection yoyote kwenye mwili wake ina panda mf.Malaria,Typhoid n.k.Pia kuna baadhi ya hospitali vipimo vyao haviko sahihi kabisa,unaweza kupima hospitali hata 4 ukashangaa kila hospitali inatoa jibu lake tofauti,sasa hii pia ni hatari sana....Umeandika vyema mkuu japo huu utaratibu wa kupimwa pressure,sukari n.k bila kupenda ni tatizo jingine. Umejikata kidole cha mguu, unaenda pimwa pressure. Pia binafsi nijuacho, ugonjwa kama pressure watu wengi wanatembea nao na pale uendapo kupimwa bila kupenda ndio unazidi kwani watakujengea hofu na pia madaktari wetu wengi sana hawana hekima ya kuongea na wagonjwa wa pressure.
Mama yangu kuna siku nilimpeleka hospitali kwa ajili ya kuumwa miguu. Pale masijala wakampiga Pressure. Ikakutwa kubwa, wakaanza kujiita madaktari wakawa watatu na kuanza mjadili. Tena wakaacha kuangalia tatizo la miguu, wao wakaanza mueleza kuhusu pressure ilihali haumwi sehemu yoyote wala hajawahi kuwa na tatizo hilo.
Wakamtengenezea hofu sana yule mama. Nashauri huu, utaratibu sio mzuri. Mtu atibiwe tatizo alilonalo na sio kuanza chokonoa pressure na UKIMWI kilazima.
Hapana sio sahihi. Kupima au kutokupima ni mtu mwenyewe tu mama yangu. Unaenda Hospitali umejikata, unapimwa UKIMWI. Magonjwa ya pressure yanaendana na hofu na kweli madaktari wengi wanaongeza wagonjwa wa huu ugonjwa tokana na kuwatisha. Kuna siku boda wangu alienda Hospitali alikuwa anaumwa tumbo. Jamaa wakampima pressure pale masijala wakamkuta ana 250. Wakaanza mzambia, umekuja nani? Umekujaje hapo? Wakamuweka kwenye kitanda na kumpeleka mbio mbio kwa daktari. Kufika kwa daktari haikuwekwa kwenye foleni ni moja kwa moja hadi ndani.Ni vizuri zaidi maana wabongo hatuna mambo ya kufanya check up.
Na hiyo kumpima presha itasaidia kujua apewe aina gani za dawa nk.
Siku hiyo bi.mkubwa alitembea kwa miguu na kuna kamlima sehemu alikapanda wakati anaenda hospitali. Hajakaa sawa wala kupumzika hospitalini akaenda pale masijala kujisajili ili amuone daktari ndio akapimwa Pressure. Ni nakuja na gari nakuta yupo pale masijala ndipo ilionekana imepanda.Mkuu hapa nakuunga mkono upande mmoja na upande wa pili sikuungi mkono.Kama umri umeshapita miaka 40 ni jambo zuri sana kupima pressure kila baada ya muda fulani,kwani kawaida hua ina tabia ya kuongezeka kutokana na umri ingawa hua haizidi vile viwango hatarishi,lakini aina ya maisha tunayoishi pia husababisha ipande kupita vile viwango ambavyo ni hatarishi.Swala ambalo nakuunga mkono ni tabia ya madaktari au wahudumu wa afya ambao huwa wanakurupuka na kumwambia mgonjwa pressure iko juu na kuanza kumtisha na hata wengine kumuanzishia mgonjwa dawa za pressure bila ya kufuatilia hiyo pressure imepandishwa na nini, au kutofanya uchunguzi wa kina kuhusu chanzo chake kuwa juu nini,mfano kuna watu hawana tatizo la pressure kabisa ila akiwa na infection yoyote kwenye mwili wake ina panda mf.Malaria,Typhoid n.k.Pia kuna baadhi ya hospitali vipimo vyao haviko sahihi kabisa,unaweza kupima hospitali hata 4 ukashangaa kila hospitali inatoa jibu lake tofauti,sasa hii pia ni hatari sana....