Ahsante kwa maelezo mkuu, daah Wengine tulikua ndanindani huko.
Vipi Oten sasa hivi yupo wapi??
Naomba uniwekee picha zake tafadhali za sasa na zamani
Aliyetajataja majina ni bwana misosi ktk ngoma yake "Nitoke vipi"Kama ni uongo kaimba AFANDE SELE ktk DARUBINI KALI, Mm nimemQuote Afande! Uwe na adabu kwa Mtu ambaye hujui anasomekaje ktk phone book ya Bi Mkubwa ako
Afande wala hakugombana na watu ila alipotoa lile goma lake la kioo cha jamii aka darubini kali basi kila mwenye kujistukia akajistukia.. Yeye O ten akaruka na kipengele cha "Mnasifu ngono na pombe, pumbavu hamna soni eeh" Jamaa akaona kadisiwa hadi kuitwa pumbavu akaanzisha bifu. All in all wasanii wengi walitumia mabifu bandia kama njia ya kutokeaAfande ni mtu wa wivu, anagombana na kila mtu. Alipopewa lile taji la mchongo la mfalme wa rhymes basi hakutaka mtu mwingine awike ama akubalike.
Hahaaaaaa, sasa hatamaniki bro. Maisha haya.Ahsante kwa maelezo mkuu, daah Wengine tulikua ndanindani huko.
Vipi Oten sasa hivi yupo wapi??
Naomba uniwekee picha zake tafadhali za sasa na zamani
Ingependeza kama ungetaja wimbo wa O ten ambao ametajataja Majina tu..Kama ni uongo kaimba AFANDE SELE ktk DARUBINI KALI, Mm nimemQuote Afande! Uwe na adabu kwa Mtu ambaye hujui anasomekaje ktk phone book ya Bi Mkubwa ako
Nyimbo ya kutaja taja majina alikua bwana misosi, na ngoma yake nitoke vipiO Ten Mtoto wa Kilakala
Afande Sele Mtoto wa Misufini
Ugomvi wao kimsingi ni Pomposity ya Sele baada ya kushinda MFALME WA RHYMES.
Aliamini yeye ni Mfalme wa Nchi na hivo pia ni Mfalme wa Moro.
O Ten aliamini yeye Mkali na kile alichopata Afande ni ktk MFALME WA RHYMES ulikuwa ni Mchingo wa akina Erick Shigongo ambao hawakutaka Taji liende kwa wakali wa DAR wakiwemo Prof. Jay, Jay Mo & Solo.
Biff likichangamka baada ya Afande kumdiss OTen kuwa "Nyimbo nzima unataja taja majina tu
Tena kwa mistari iso na vina"
Cha kufurahisha wote hao ni Walevi! Mmoja wa Pombe za Kienyeji na mwengine Majani
Mkuu ni kweli umejibiwa kuwa huo mstari haukuwa dis kwa o ten bali ulikuwa dis kwa bwana misosi wakati ule katoa wimbo wa nitoke vipi, sele alimdis misosi kuwa wimbo mzima anatajataja majina tu tena kwa mistari isiyo na vina, remember ule wimbo wa misosi haukuwa na vinaKama ni uongo kaimba AFANDE SELE ktk DARUBINI KALI, Mm nimemQuote Afande! Uwe na adabu kwa Mtu ambaye hujui anasomekaje ktk phone book ya Bi Mkubwa ako
Kumekucha kumekuchaaaaDaah huo ni wimbo tu jamani hauhusiani na wewe hata kidogo. Kwanini niandike hivyo kuhusu wewe?? Mambo ya mimi na wewe yatabaki kua private. Ndio maana sikuzote hatukuifanya public
Enzi hizo wanavaa ma rain coat. Lile beat la nicheki nalielewa hadi leo. Ila nezi hizo east coast nlikuwa nawaona kama mbele chini ya kama gwamaka... Mimi nadhanj Oten ndiye aliyenunua ugomvi tu kwa kutafuta bifu kwa afande ili atengeneze storyO_ten mzee wa pamba bifu lilianza baada ya O_ten kutoa NGOMA ya nicheki....
Heyoo nicheki.....ninavyo ng'araaa enzi izo yupo East coast team....
O-ten alitoa NGOMA za kujisifia, kusifu ngono na pombe....
Kitu ambacho mfalme wa Rhymes 🦁 Afande Sele hakupenda.....
Umenikumbusha rafk angu tulipenda ku mwita O_ten mzee wa pamba.....
Alikua anakuja skul na cheni shingoni......
Kuna siku akatongoza mdada mmoja mzur mlokole ukawa msala....O_ten ni mtu wa bring bring... cash money 🤑🤑 umarekani mwingi...majigambo.........
Binafsi nili mpenda O_ten na staili yake ya kuflow....🤓🤓🤓
Afande alikua anawachana wanaimba nyimbo za kuchochea uvunjifu wa maadili.....
Yaani wewe uko deep na muziki wa zama hizo. Ni kweli afande alikuwa namsema bwana misosiWewe ni muongo.
Afande alikua anam-refer Bwana Misosi na wimbo wake wa Nitoke Vipi.
Hata halioni aibu... Lione!
Yeah upo sahihi,siku hiyo waliotia fora pale ukumbini ni watoto wa Temeke waliokuja na inspector Haroun na Nature na watoto wa Moro ilikuwa bonge la mtitiLile Shindano lilikuwa la SHIGONGO na lilipewa Promo na Magazeti yk yake akina KIU et al... Wasanii walikuwa wanatolewa kwa kura za Mchujo mdogo mdogo lkn nakumbuka Majina makubwa yalofika mpk Funal ni Ptof. Jizze, Juma Mchilopanga, Solo Thang Ulamaa & Sele Mwenyewe!
I stand to be corrected
Huenda afande ana tatizo la wivu ila ile tuzo alistahili. Kwa kipindi kile Darubini kali was 2nd to noneAfande ni mtu wa wivu, anagombana na kila mtu. Alipopewa lile taji la mchongo la mfalme wa rhymes basi hakutaka mtu mwingine awike ama akubalike.
G.kEnzi hizo wanavaa ma rain coat. Lile beat la nicheki nalielewa hadi leo. Ila nezi hizo east coast nlikuwa nawaona kama mbele chini ya kama gwamaka... Mimi nadhanj Oten ndiye aliyenunua ugomvi tu kwa kutafuta bifu kwa afande ili atengeneze story
Kuna interview fulani Master J anasema wasanii wa zamani walipata pesa sana ilaziliishia kwenye starehe. Sasa naanza kuaminiYeah upo sahihi,siku hiyo waliotia fora pale ukumbini ni watoto wa Temeke waliokuja na inspector Haroun na Nature na watoto wa Moro ilikuwa bonge la mtiti
Afande aliua na ngoma ya Darubini kali enzi hizo ndio inatoka shangwe kama lote afande akakabidhiwa gari ambalo alipanda yeye na Dito mpaka Moro
Wapo waliosema Professa Jay alistahili ya kwamba eti Afande kushinda ilikuwa ni mchongo wa Shigongo kwakuwa siku za nyuma kuna makala ya kumpamba afande iliandikwa kweny gazeti lake nadhani la KIU(Japokuwa sina uhakika kama lilikuwa ni hili na kingine sina uhakika kama KIU ni part ya GLOBAL PUBLISHERS)..
Enzi hizo nilikuwa meneja wa kampuni fulani ya mabasi pale Ubungo siku hiyo watu wa Moro waliua route ya mabasi yetu maana waliyakodisha asilimia 80..
Hawawezi kuelewa na mkali wa chorus zake bi paulina zongo. Nakumbuka naona ama zangu ama zao niliona ile video iko level za destiny child ile ya survivor.G.k
Ana rap Kwa kigugumizi....
Itikadi zetu...
Watoto wa 2008 hawawezi kuelewaaa🤣🤣🤣😂😂
Ndio hata wenyewe wanakiri hilo,Mr Nice aliwahi kusema alipokea Billion 1 taslimu mwaka fulani kipindi anawika lakini zilivyopukutika hata yeye hajui,Kuna interview fulani Master J anasema wasanii wa zamani walipata pesa sana ilaziliishia kwenye starehe. Sasa naanza kuamini
aliechanwa ivo sio O TEN ni bwana misosi naye akaja kumjibu kwa wimbo wa "nikitunga nyimbo inavina ooyeeaa nataka weka heshima na jina oyeeaa Yuganda Bongo na Kenyaaa natoa ladhaa bila kubanaa.. alimshirikisha redsun wa kenyaO Ten Mtoto wa Kilakala
Afande Sele Mtoto wa Misufini
Ugomvi wao kimsingi ni Pomposity ya Sele baada ya kushinda MFALME WA RHYMES.
Aliamini yeye ni Mfalme wa Nchi na hivo pia ni Mfalme wa Moro.
O Ten aliamini yeye Mkali na kile alichopata Afande ni ktk MFALME WA RHYMES ulikuwa ni Mchingo wa akina Erick Shigongo ambao hawakutaka Taji liende kwa wakali wa DAR wakiwemo Prof. Jay, Jay Mo & Solo.
Biff likichangamka baada ya Afande kumdiss OTen kuwa "Nyimbo nzima unataja taja majina tu
Tena kwa mistari iso na vina"
Cha kufurahisha wote hao ni Walevi! Mmoja wa Pombe za Kienyeji na mwengine Majani