Komba the Great
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 340
- 654
11. Mkuu wa Mkoa (Regional Commissioner)Kuna NGOMA za O_ten,
Nilizo zipenda,
1.Mimi
hii ilikua dis track Kwa afande Sele directly.
2.sifa kumi za demu
3.akipendacho Binti
4.nicheki
5.kisa Sina gari
6.nyandindi
7.uvumilivu
8.nakaza roho
9. Tusahau (remix)
10.nipo huru
Hizi ni baadhi ya kazi za O_ten
alimuongezea mstali mwingine " bamdogo acha upambe kujifanya una benzi wakati kwenu jumba la udongo duu!!" apo afande alimdiss tena o ten ambaye kwenye albamu yake ya kwanza amepiga picha na gari aina ya benzi.Afande wala hakugombana na watu ila alipotoa lile goma lake la kioo cha jamii aka darubini kali basi kila mwenye kujistukia akajistukia.. Yeye O ten akaruka na kipengele cha "Mnasifu ngono na pombe, pumbavu hamna soni eeh" Jamaa akaona kadisiwa hadi kuitwa pumbavu akaanzisha bifu. All in all wasanii wengi walitumia mabifu bandia kama njia ya kutokea
Sio zote.Halafu ilikuwa vijana tangulia kuimba mimi kamanda namalizia kwa kufunga kazi kwenye nyimbo zote
Sure kweli mkuu. Uko deep.Sio zote.
Mfano: Komaa Nao
Verse ya kwanza kabisa ameanza GK.
Verse zimepangana hivi:
Verse 1:
- GK.
- Mwana FA
- A.Y
Verse 2:
- (Simjui)
- (Simjui)
- Snaire.
Mkuu wa mkoaa11. Mkuu wa Mkoa (Regional Commissioner)
mkuu umekulia kota za madokta?Kama hunijui naitwa philipo nyandindi na adui yangu mkubwa ni selemani msindi
Nimekulia muhimbili lakini nilikua naenda sana maskani East coast, tulikua proud sana na ECT. Hakukua na beef la maana sana. Ni michano tu
Kama ilivyokua kwa east coast yote na tmk. Wala haikua bifu ya maana japo east coast ndio walianza
na cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyeweLile Shindano lilikuwa la SHIGONGO na lilipewa Promo na Magazeti yk yake akina KIU et al... Wasanii walikuwa wanatolewa kwa kura za Mchujo mdogo mdogo lkn nakumbuka Majina makubwa yalofika mpk Funal ni Ptof. Jizze, Juma Mchilopanga, Solo Thang Ulamaa & Sele Mwenyewe!
I stand to be corrected
O_ten mzee wa pamba bifu lilianza baada ya O_ten kutoa NGOMA ya nicheki....
Heyoo nicheki.....ninavyo ng'araaa enzi izo yupo East coast team....
O-ten alitoa NGOMA za kujisifia, kusifu ngono na pombe....
Kitu ambacho mfalme wa Rhymes [emoji881] Afande Sele hakupenda.....
Umenikumbusha rafk angu tulipenda ku mwita O_ten mzee wa pamba.....
Alikua anakuja skul na cheni shingoni......
Kuna siku akatongoza mdada mmoja mzur mlokole ukawa msala....O_ten ni mtu wa bring bring... cash money [emoji857][emoji857] umarekani mwingi...majigambo.........
Binafsi nili mpenda O_ten na staili yake ya kuflow....[emoji851][emoji851][emoji851]
Afande alikua anawachana wanaimba nyimbo za kuchochea uvunjifu wa maadili.....
G.k
Ana rap Kwa kigugumizi....
Itikadi zetu...
Watoto wa 2008 hawawezi kuelewaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Bwana misosi ndio aliimba nyimbo na kutaja taja majinaKama ni uongo kaimba AFANDE SELE ktk DARUBINI KALI, Mm nimemQuote Afande! Uwe na adabu kwa Mtu ambaye hujui anasomekaje ktk phone book ya Bi Mkubwa ako
Darubin kali kaimba Jay?? Unachanganya na mtazamo ndg... Darubin kali kaimba na dogo dittona cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyew
Kuna NGOMA za O_ten,
Nilizo zipenda,
1.Mimi
hii ilikua dis track Kwa afande Sele directly.
2.sifa kumi za demu
3.akipendacho Binti
4.nicheki
5.kisa Sina gari
6.nyandindi
7.uvumilivu
8.nakaza roho
9. Tusahau (remix)
10.nipo huru
Hizi ni baadhi ya kazi za O_ten
Kuna mwamba nliskul nae mji kasoro,Kuna Sheria ya Faragha imepitishwa Juzi!
Tutafungwa! O Ten mara kadhaa anaonekana kwao Morogoro - Madizini Kilakala!
Sista sista kwangu itabakia kuwa wimbo bora wa gkSauti ya Manka inasalia katika kumbukumbu zangu bora za nyimbo zake
Hiyo ya kutaja taja majina alikua anamponda bwana misosi na ngoma yake ya nitoke vipi.O Ten Mtoto wa Kilakala
Afande Sele Mtoto wa Misufini
Ugomvi wao kimsingi ni Pomposity ya Sele baada ya kushinda MFALME WA RHYMES.
Aliamini yeye ni Mfalme wa Nchi na hivo pia ni Mfalme wa Moro.
O Ten aliamini yeye Mkali na kile alichopata Afande ni ktk MFALME WA RHYMES ulikuwa ni Mchingo wa akina Erick Shigongo ambao hawakutaka Taji liende kwa wakali wa DAR wakiwemo Prof. Jay, Jay Mo & Solo.
Biff likichangamka baada ya Afande kumdiss OTen kuwa "Nyimbo nzima unataja taja majina tu
Tena kwa mistari iso na vina"
Cha kufurahisha wote hao ni Walevi! Mmoja wa Pombe za Kienyeji na mwengine Majani
Kuna mwamba nliskul nae mji kasoro,
Alikuwa akijiita SLIM,
[emoji1787]