Uyo aliniuliza ambacho sijasema Mimi.kuna uzi hivi kakubali kumuhonga demu laki 5 ili amle tu then amuache.. hapa akiwa standard 6 tu anatoa hongo ya elfu 50 kwa binti na inakataliwa!!
Sawa ni Jf where people are allowed to spew anything they wish .
but trust him at your own pity[emoji846][emoji846].
Pole sana au haiumi??Alikutana na wanajua kupaka poda na lipstick... akaona huyu chalii wa matejoo anaevaa kisela na kunyoa pank hana ishue... Nikatemwa tena bila taarifa
Wew jamaa uhuni umeuanza mapema sana, si ajabu umekuja dunian ili kuwa mfano kwa wengine kwenye mapenzi.Niliambiwa nimeisha fashion[emoji4]
Nakumbuka,
I was in primary school, Tena STD 6
NILIUMIA SANA, SEMA ikanibidi kusonga mbele[emoji4]
Bwana wee!Ha ha ha....
Kumbe wadogo humu mpo wengi eeeh[emoji4]
Ha ha ha a......Wew jamaa uhuni umeuanza mapema sana, si ajabu umekuja dunian ili kuwa mfano kwa wengine kwenye mapenzi.
Haya mzee baba
nikitambo ila iliniumaa kwa mara ya kwanza kuumia kisa mapenziPole sana au haiumi??
Nakumbuka nilikua form one nilimpendaga mtoto huyo na yeye alinipenda sana ila mwenzangu alikua na tamaa sana tangu kipind hicho, nakumbuka alikua anatoka na mtu mzima umri wa baba ake alikua anamhonga nilikuja kugundua nikaachana nae niliumia sanaBinafsi nilikuwa namkubali sana enzi hizo.
Ila changamoto moja ilipekeaga kuachana naye, yaani alikuwa anapenda sana ku-flirt (kuchekeana chekea) kupitiliza na kila mtu especially wanaume.
Yaani hata washkaji yaani. Hilo jambo lilikuwa linaniumizaga sana kipindi hiko. Yaani nilikuwa naumia kiasi kwamba nilikuwa nadhani kitendo cha manzi ku-chekacheka na washkaji hakina tofauti na kufanya nao mapenzi.
Baadae nili uforce moyo wangu kwa kibinti kingine kisichokuwa na mbele wala nyuma. Nilifanya hivyo pasi na kumuweka wazi yule wa awali niliyekuwa naye, nikijua wazi kabisa sikuwa na sababu ya msinga ya kumfanyia hivyo.
Ila baadae akaanza kuhisi ukaribu wangu kwake unapungua na akaja kufahamu niko na mtu mwingine. Aliponiuliza nikamueleza knaga ubaga.
Nakumbuka akalia sana yaani huku akidai kuwa kwann sikumueleza. Ila baadae akazoeaga kuwa apart na mimi na maisha yakaendeleaga.
Kipindi hiko nadhani kulisababishwa na kutofahamu zaidi masuala ya Mapenzi. (Ujana) Mpaka sasa nikikumbuka huwa nachekaga sana kimoyo moyo.
Je, wewe una kisa chochote kilichopelekea uachane na mpenzi wako wa awali?
😂😂😂ndo vizuri tunagomba yanaisha😂kuliko kudanganywaSahii kabisa,
maana mkiambiwaga ukweli huwa mnagomba balaa
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless[emoji23][emoji23][emoji23]ndo vizuri tunagomba yanaisha[emoji23]kuliko kudanganywa
Never happened again??nikitambo ila iliniumaa kwa mara ya kwanza kuumia kisa mapenzi
Jifunze kuandika vizuri mkuu.Daah unanikumbusha mbali yaani enzi hizo huyu dem nilimpenda sana ila nilikuwa siwezi kumwambia katu nakumbuka tulikuwa na mazoea wanaume kucheza rede na wanawake basi hata kama nimechoka nitacheza tu kila nikimwangalia nafurahi.
Mama alikuwa nananichunga sana yani full kukaandani, ila we haiwezi pita siku sijatoroka nikacheze kwao nyumba ya nyuma tu nakumbuka alikuwa anaitwa SHANI
Nakumbuka siku moja nilikula dili na kaka yake tubadilishane kwa kuwa na mimi nina dada akaanza yeye bwana kaenda kamtongoza akakubaliwa mimi naenda kwa shani nikakuta anaoga kaka yake akamwambia demu Binadamu Mtakatifu anakuita Demu aliitikia kwa bashasha zote anusubiri natoka kweli hakuchelewa akatoka we kumuona moyo PAAAAAh mdomo hauna nguvu we amini siku mtongoza mpaka anaondoka nilikua radhi nikaejuani ila anione acha tu [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Hahaa dah [emoji23]Aliniacha akaenda kwa monitor wa darasa tukiwa darasa la 5 aliona Mimi sina madaraka akafata wenye madaraka watu wa serekali