DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Kabisa mkuu[emoji2]Dah
Watu wengine wanaanza kutumika mapema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu[emoji2]Dah
Watu wengine wanaanza kutumika mapema sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] full vichekesho yaan lolMbona unacheka hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah weeSikumbuki hata wa kwanza alikua nani .
Sahihi mkolikazi😂😂First love mara nyingi huwa sio real, uchanga wa akili, ugeni wa mapenzi hufanya yawe na drama nyiingi kumbe usee..... tu
SijakuelewaSahihi mkolikazi😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Kosa kutaka kukuoa? HukumpendaAlitaka kunioa mke wa pili na ndo kwanza nikiwa nimemaliza form four[emoji28][emoji28][emoji28]
Kosa kutaka kukuoa? Hukumpenda
I have truth for you!😅 Unakaa kwa KG ngapi nikupasieUongo,usaliti na distance. Sana sana uongo i hate lies tbvh.
Hahahah ungeolewa uinjoy matunzo na venye mnapenda kuhudumiwa 😅Kisa nimempenda ndo niache kuendelea na shule nikaolewe tena mke wa pili yaaani ningebadili na dini
Hahahah ungeolewa uinjoy matunzo na venye mnapenda kuhudumiwa [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea hukutaka uke wenza?Kisa nimempenda ndo niache kuendelea na shule nikaolewe tena mke wa pili yaaani ningebadili na dini
Umerogwa halafu unasema umependwa.. Wasukuma [emoji16][emoji16][emoji16]First lover wangu nipo nae hadi Sasa Kama miaka 7 hivi up to date mtoto Fulani black bhana mapenzi yaache tu wasukuma wanapenda vibaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umerogwa halafu unasema umependwa.. Wasukuma [emoji16][emoji16][emoji16]