Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hilo tukio. Ili lakutumwa kuemea pasipo pesa ni tukio jingne kabsaHapa nadhani ni pale alipotaka Punda kuingia Naye Yeriko Kifalme. Aliwaambia mumchukue mkimkuta mwenye Naye akiwauliza wamwambie Yesu anamtaka.
Hapa nadhani alimrudisha na hakuwa na haja ya kumiliki punda wakati kesho yake anaanza suluba.
Na vile Yesu alivyoshibisha watu zaidi ya 2000 kwa mikate na samaki aligharamikia kiasi gani cha fedha? Au utasema alimwambia muhasibu avunje kibubu?Yesu alikuwa na Pesa nyingi sana kuliko watu wa dini wanavyotueleza.
Ushahidi.
1: Alikuwa na Muhasibu. MTU binafsi bila kampuni wala biashara kufikia hatua ya kushindwa kutunza kipato chako hadi Uwe na Muhasibu basi utakuwa na Pesa nyingi sana.
2: Aliwazuia mitume wasifanye biashara zao. Aliwakuta jamaa wakinapetro ni wakokozi na wavuvi nguli akawaambia waache alafu wamfuate.
Kulisha breakfast, lunch na dinner wanaume 12 wasio na Kazi miaka mitatu mfululizo inabidi Uwe na Pesa. Ushahidi Baada ya kufa Petro aliwashawishi warudi kwenye Biashara zao.
3: Hakuna kifungu Yesu kaishiwa Pesa au kashindwa kufanya muamala wowote kisha hana salio. Aliwahi kudaiwa kodi ya hekalu, akamtuma Petro akavue samaki aliyekuwa na Pesa tumboni.
4: Muhasibu wake alikuwa mwizi na mwenye uchu wa Pesa. Huku tunaona makampuni maduka Yenye wahasibu wezi huwa yanafirisika. Yuda hakuwahi kufirisi mkoba wa pesa za mwalimu wake Yesu.
Wakuu Yesu alikuwa yuko vzr kiuchumi.
Sasa najiuliza nini nilikuwa chanzo chake cha fedha ikiwa
Alikuwa hana biashara
Hakuwa na gawio LA sadaka masinagogini na hekaluni?
Je alikuwa anawafadhili?
Je alikuwa anakusanya Sadaka kwenye mihadhara yake?
Je Alikuwa anashushiwa kimiujiza.?
Sasa huyu Si alikua Mungu! hazina zote za Dunia ni zake au? Nna wasiwasi tumepigwa Yesu alikua Mtu sio Mungu.Yesu alikuwa na Pesa nyingi sana kuliko watu wa dini wanavyotueleza.
Ushahidi.
1: Alikuwa na Muhasibu. MTU binafsi bila kampuni wala biashara kufikia hatua ya kushindwa kutunza kipato chako hadi Uwe na Muhasibu basi utakuwa na Pesa nyingi sana.
2: Aliwazuia mitume wasifanye biashara zao. Aliwakuta jamaa wakinapetro ni wakokozi na wavuvi nguli akawaambia waache alafu wamfuate.
Kulisha breakfast, lunch na dinner wanaume 12 wasio na Kazi miaka mitatu mfululizo inabidi Uwe na Pesa. Ushahidi Baada ya kufa Petro aliwashawishi warudi kwenye Biashara zao.
3: Hakuna kifungu Yesu kaishiwa Pesa au kashindwa kufanya muamala wowote kisha hana salio. Aliwahi kudaiwa kodi ya hekalu, akamtuma Petro akavue samaki aliyekuwa na Pesa tumboni.
4: Muhasibu wake alikuwa mwizi na mwenye uchu wa Pesa. Huku tunaona makampuni maduka Yenye wahasibu wezi huwa yanafirisika. Yuda hakuwahi kufirisi mkoba wa pesa za mwalimu wake Yesu.
Wakuu Yesu alikuwa yuko vzr kiuchumi.
Sasa najiuliza nini nilikuwa chanzo chake cha fedha ikiwa
Alikuwa hana biashara
Hakuwa na gawio LA sadaka masinagogini na hekaluni?
Je alikuwa anawafadhili?
Je alikuwa anakusanya Sadaka kwenye mihadhara yake?
Je Alikuwa anashushiwa kimiujiza.?
Kuna mstari nakumbuka aliwaambia waende wakanunue vitu kwa ajili ya kalamu na walikuwa hawana kitu.
Akawaambia nendeni tu, Hii naonesha alikuwa na maisha ya kuunga unga tu. Na hakuwa mkwasi.
Pale sio kana Mkuu pale ni porini jamaa walimuata. Sio kwamba hakuwa na Pesa sema hakukuwa na maduka ya kununua maana ilikuwa ni porini.
Ila licha ya kuwa na Pesa nyingi, alikuwa mchumi sana sio mfujaji.
Aliwaambia wanafunzi waokote mabaki waondoke nayo. Sio Leo MTU akiwa na Pesa tu jalala linajaa mapaja ya Kuku yaliyolambwa yamebaki na minofu.
Mi mkristo, tena mkatoliki pure niliyepata mafundisho yote na sakramenti zote za lazima.[emoji28]wee jamaa bhana, ngoja Wakristo waje hapa
Hilo ni tukio moja tu, na alishtukizwa na ilikuwa agome Kutoa. Na inaonekana mlengwa alikuwa yeye na petro tu labda na Yuda myudea. Maana ile kodi walitoa waliozidi miaka 20. Wanafunzi wa Yesu wengi walikuwa mateens umasikini ambao wazazi wao hawakuwa na Pesa za kuwalipia kwenye Shule za kibishoo za wakina Shemmai.
Ndio maana walikuwa wavuvi tu.
Kiasi alicholeta petro kilikuwa ndicho kinahitajika hakikubaki. Na hakutumia hiyo mbinu tena kuraise fund.
Lakini mshua wake si alikua carpenter?[emoji848].
So mpka kufika 30 yrs unadhani alikua anakula bata tu? Im sure alikua anajua kabisa kupiga randa na kutengeneza fenicha.
So mayb jioni alikua extracurricular activity anatengeneza zake fenicha znaenda kuuzwa sokoni/mnadani.
Mtu awe na experience ya 30 yrs ya kutengeneza furniture lazma akitoa kitu n kitu kwelikweli so hakikai na kinanunuliwa bei juu
Na vile Yesu alivyoshibisha watu takribani 2000 kwa mikate na samaki aligharamikia kiasi gani cha fedha? Au utasema alimwambia muhasibu avunje kibubu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mkristo, tena mkatoliki pure niliyepata mafundisho yote na sakramenti zote za lazima.
Naielewa Dini vizuri mkuu, hakuna Dhambi kusema ukweli kwamba Yesu Kama mwalimu hakuwa Tajiri.
Labda umaskini wake pia ulimshawishi Yuda kumuuza.
Hapakuwa na duka kule hahahahaNa vile Yesu alivyoshibisha watu zaidi ya 2000 kwa mikate na samaki aligharamikia kiasi gani cha fedha? Au utasema alimwambia muhasibu avunje kibubu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua hvo. Maana ndo ilikua kazi ya mshua sasa its posible ofisi ilikua maskaniUzoefu wa miaka 30????
Ina maana mwamba alinza kupiga randa akiwa na mwaka mmoja?