Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Hee! Unataka kutuambia moshi huo ni mlipuko wa battery ya ndani kwa ndani? Na kuwa ni sababu ya kusimama chini ya high voltage electric wire?
Kama ni hivyo hili jambo ni internal sabotage yaani "kikulacho ......"
Kwani watakuwa hawajui battery haitaki mvutano huo?
Theory tu na variable zake
 
Huu mwanga ni hitilafu ya camera maana kwenye picha yako ya pili hapo ukiangalia unaona umehamia kwenye huo mti baada ya kuonekana angani

Ukiangalia video clip huo mwanga unaonekana ukizunguka kufuatana na camera inavyozunguka au mpiga picha
 
Kuna moshi ulitokea Kule Luangwa Raisi akihutubia ,hii jambo LA ajabu

Nitoe machache haya yangetokea kule Ufipani sijui! Yaani watu wangeongea mengi ,munaonaa wafipa !

Jamani acheni zambi ya maneno je, Luangwa wale wazee ni wafipa?

Siamini sana uchawi ,najua upo kwani umemwa sana

Mungu alipishilia mbali wazee wakifipa ,sijui wangekimbilia wapi?
Tusalifye LEZA,aliepusha

Ushauri tusipende kuamini mambo ya kichawi ,Siku hizi hata teknolojia kuna uchawi

Silaha ni yesu na Mohammad kwa waamini

Tuyaule yonsi,mwalinda uli?
Yaani ingekuwa ni ufipa duu
 
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea

uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta

Uwezo wako kufikiri upo chini sana, sumu imdhuru mtu mmoja tu kwenye kundi la watu? A
 
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea

uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta

A dopey piece of writing
 
Aliekua anarekodi simu yake ilikua na flash..ikawa inareflect kwenye kioo cha tv..kikubwa ni huo moshi aisee..adi yeye aliouna akasema wana ruangwa mnaleta na moshi [emoji2]

Halafu moshi ulianza baada ya huo mwanga na Rais aliuona na ndipo moshi ukafuka karibu yake
Scary
 
Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.

Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.

Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.

Kuna Stori niliwahi Kusikia kuwa kama kuna Watu wanajua Kuroga nchini Tanzania na wakikuamulia Kidhati kabisa hawakukosi japo huwa ni Wapole ni Watu wa hii Mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara. Kuna Kiongozi Mmoja nae huko nyuma alijifanya Kuwadharau wakati akijua nae anatokea huko huko alichokikuta katika Goti lake la Kulia alikoma nao na hadi hivi leo amehama na hata Mkoa wenyewe huku akiwa amejikita Mkoa mmoja ulio Jirani na Bahari ya Hindi ambao una Wanawake wanaojua Mahaba Tanzania nzima unaoweza hata Kukufanya usahau Kwenu au Wazazi wako kwa miaka yako uliyopangiwa Kuiishi duniani na Mwenyezi Mungu.
 
Ila alivyombea atakuja kusema siku moja akiwa jukwaani maana ninachompenda mh wetu bhana hana koromeo
Jiwe ni mropokaji mzuri sana!

Hawezagi kukaa na kitu moyoni hlf atulie!

Tusubir tu mana lazima atapike tu kimuishe huko moyoni!
 
Ishu ya sumu kwenye msafara wa Rais ni ngumu sana maana huwa kuna surveiilance ya maana katika eneo ambapo Rais atasimama kuhutubia, Na kama ndivyo najua walinzi watakuwa wamefanya kile kinachotakiwa kujua nini hasa chanzo cha moshi husika na ikiwezekana kuondoka na kidhibiti..

Nafahamu fika serikali ina wataalamu wa kutosha wa forensic kuweza kung'amua kama kweli ni ule moshi ulikuwa na sumu ndani yake, na kwa haraka haraka sumu zinazokuwa katika huo mfumo wa gesi bado hainingilii akilini, hapo kuna namna tu kwa wakazi na wenyeji wa huko LIndi.
uko sahihi kabisa
 
Kwa matusi anayotukana wananchi akiwa kwenye majukwaa nadhani si vizuri. Labda aww anawafanyia wanaume wa Kinondoni tu, huko mikoani hawawezi kuvumilia. Lazima wa retaliate
Hebu weka hapa hayo matusi na ni wananchi wa wapi waliotukanwa?
 
Back
Top Bottom