Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Watu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.

Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.

Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
Hamna lolote. Hitilafu ilitokea ndani ya gari lake ikabodi abadilishiwe. Kama unaona mtu mmoja amebeba mizigo, hiyo ilikuwa inahamishwa. Labda matunguti yake ndo yalipata moto
 
Hamna lolote. Hitilafu ilitokea ndani ya gari lake ikabodi abadilishiwe. Kama unaona mtu mmoja amebeba mizigo, hiyo ilikuwa inahamishwa. Labda matunguti yake ndo yalipata moto
Hitilafu gari ya Rais?? Sahau kitu hicho
 
Back
Top Bottom