Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Usituletee uchuro, yule shetani alikuwa na maoni gani? Muuwaji mkubwa yule, kuuwa watu ndio maono?
Usidharau nguvu ya wajinga kwenye makundi makubwa. Wanaweza kimchagua mjinga mwenzao na kuwa kiongozi.

Huyu anayesema Magufuli alikuwa na maono ni mmoja wa wajinga hao, ambao ni wengi Tanzania
 
Usidharau nguvu ya wajinga kwenye makundi makubwa. Wanaweza kimchagua mjinga mwenzao na kuwa kiongozi.

Huyu anayesema Magufuli alikuwa na maono ni mmoja wa wajinga hao, ambao ni wengi Tanzania
Nyie wenye akili mbona mpaka leo nchi hii ipo katika kundi la masikini na wajinga baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru? Kama hizo ni akili basi bora ujinga wa huyo ambaye miaka 5 tu aliweza kuifikisha nchi kwenye uchumi wa kati na kila mtu aliona na kushuhudia jinsi tulivyopigwa kwa miaka hiyo..
kadhaa...

Kisha akatupitisha kwenye kipindi kigumu ambacho dunia yote ilishindwa kuhimili isipokuwa nchi aliyokuwa anaiongoza kwakufanya maamuzi yenye hekima na busara ambayo hatimaye dunia yote ikakubali kuishi na ugonjwa kama alivyoamua yeye? Amekuwa kiongozi siyo tu wa nchi yetu bali dunia nayo haitokaa imsahau japo mnafanya spinning kubwa sana ili ku justify vices zenu...AIBU INA NINYI MILELE KWAKUDHULUMU HAKI YA MTU ALIYEYATOA MAISHA YAKE KWAAJILI YA WENGI....I despise you more than the word itself!
 
Eti ana maono Hapohapo unasema nchi masikini sasa hayo maono yake yametusaidia nini? Mimi kuchat bila vpn nafurahi saana yaani li mzee mecco liendelee Kachomwa moto tu huko
 
Alikuwa ana maoni gani Magufuli zaidi ya UDIKTETA, wizi, uuaji na uwongo? Yaani alijuwa jinsi Watanzania mlivyo wajinga akaishia kuwa pandikiza propaganda zake za uwongo.

embu pambana sasa kuondoa hizo propaganda.
 
Nyie wenye akili mbona mpaka leo nchi hii ipo katika kundi la masikini na wajinga baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru? Kama hizo ni akili basi bora ujinga wa huyo ambaye miaka 5 tu aliweza kuifikisha nchi kwenye uchumi wa kati na kila mtu aliona na kushuhufia jinsi tulivyopigwa kwa miaka hoyo..
kadhaa...

Kisha akatupitisha kwenye kipindi kigumu ambacho dunia yote ilishindwa kuhimili isipokuwa nchi aliyokuwa anaiongoza kwakufanya maamuzi yenye hekima na busara ambayo hatimaye dunia yote ikakubali kuoshi na ugonjwa kama alivyoamua yeye? Amekuwa kiongozi siyo tu wa nchi yetu bali dunia nayo haitokaa imsahau japo mnafanya spinning kubwa sana ili ku justify vices zenu...AIBU INA NINYI MILELE KWAKUDHULUMU HAKI YA MTU ALIYEYATOA MAIDHA YAKE KWAAJILI YA WENGI....I despise you more than the word itself!
Dunia haitamsahau kama kiongozi aliyekataa uwepo wa COVID-19 na kisha COVID-19 ikamfagia mwenyewe kama ilivyomfagia Mrundi mwenzie NKURUNZINZA
 
Nyie wenye akili mbona mpaka leo nchi hii ipo katika kundi la masikini na wajinga baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru? Kama hizo ni akili basi bora ujinga wa huyo ambaye miaka 5 tu aliweza kuifikisha nchi kwenye uchumi wa kati na kila mtu aliona na kushuhufia jinsi tulivyopigwa kwa miaka hoyo..
kadhaa...

Kisha akatupitisha kwenye kipindi kigumu ambacho dunia yote ilishindwa kuhimili isipokuwa nchi aliyokuwa anaiongoza kwakufanya maamuzi yenye hekima na busara ambayo hatimaye dunia yote ikakubali kuoshi na ugonjwa kama alivyoamua yeye? Amekuwa kiongozi siyo tu wa nchi yetu bali dunia nayo haitokaa imsahau japo mnafanya spinning kubwa sana ili ku justify vices zenu...AIBU INA NINYI MILELE KWAKUDHULUMU HAKI YA MTU ALIYEYATOA MAIDHA YAKE KWAAJILI YA WENGI....I despise you more than the word itself!
Uchumi wa kati haupelekwi na mtu mmoja usitake kupotosha yaani ni sawa ma mtu ajenge ghorofa floor 4 anayekuja kuwela floor ya 5 ndio useme ni WA muhimu kuliko walioweka msingi? Kasikilize hotuba ya JK kuhusu uchumi wa kati Tena mbele ya JPM kabisa ndio utaacha hizi propaganda.

2. Unasema Corona aliiweza? Labda useme alituondolea hofu kwenye camera tu!! ila mbona hospitalini wagonjwa walikuwepo? Mzazi wangu aliugua COVID na aliponea ICU? So msipotoshe kama vile Tz hakukua na vifo vya COVID 19.

JPM is overrated kwa kutumia ushamba wa waTZ. Si unaona juzi tu hapa wamekiri kwamba trillion 450 ilikua hewa tu!!
 
Uchumi wa kati haupelekwi na mtu mmoja usitake kupotosha yaani ni sawa ma mtu ajenge ghorofa floor 4 anayekuja kuwela floor ya 5 ndio useme ni WA muhimu kuliko walioweka msingi? Kasikilize hotuba ya JK kuhusu uchumi wa kati Tena mbele ya JPM kabisa ndio utaacha hizi propaganda.

2. Unasema Corona aliiweza? Labda useme alituondolea hofu kwenye camera tu!! ila mbona hospitalini wagonjwa walikuwepo? Mzazi wangu aliugua COVID na aliponea ICU? So msipotoshe kama vile Tz hakukua na vifo vya COVID 19.

JPM is overrated kwa kutumia ushamba wa waTZ. Si unaona juzi tu hapa wamekiri kwamba trillion 450 ilikua hewa tu!!
Ameondoka sasa wewe utuondolee hii inflation ifike kwenye single digit kama yeye alivyofanya for 5 years...
 
Dunia haitamsahau kama kiongozi aliyekataa uwepo wa COVID-19 na kisha COVID-19 ikamfagia mwenyewe kama ilivyomfagia Mrundi mwenzie NKURUNZINZA
Historia imeandikwa tena UN kwenye hansard yao wameweka record ya huyo mliyemkataa...Amekuwa kama Bwana Mungu wake kwa wayahudi walikataa kumpokea kama masihi wao kisha wakamuua lakini chakushangaza kwenye msalaba pale wakaandika japo kwa dhihaka YESU MFALME WA WAYAHUDI, na ikawa ndiyo record iliyoishi mpaka leo...Hekima ya Mungu surpasses human understanding; miaka 100 ijayo wengine wooote watasahaulika, lakini itabakia hiyo hansard ya dunia ikiweka kumbukumbi za zile speeches zilizotolewa na mataifa yote ya dunia kuhusu yeye na alichokifanya kwa Tanzania, Africa na dunia....Huo ndiyo ushuhuda aliouacha, kama walimpamba kinafiki basi ndiyo imeshakuwa...Hakuna mwingine tena wakuondoa hiyo record ya dunia its done for the rest of the life of this world...Pole sana!
 
Historia imeandikwa tena UN kwenye hansard yao wameweka record ya huyo mliyemkataa...Amekuwa kama Bwana Mungu wake kwa wayahudi walikataa kumpokea kama masihi wao kisha wakamuua lakini chakushangaza kwenye msalaba pale wakaandika japo kwa dhihaka YESU MFALME WA WAYAHUDI, na ikawa ndiyo record iliyoishi mpaka leo...Hekima ya Mungu surpasses human understanding; miaka 100 ijayo wengine wooote watasahaulika, lakini itabakia hiyo hansard ya dunia ikiweka kumbukumbi za zile speeches zilizotolewa na mataifa yote ya dunia kuhusu yeye na alichokifanya kwa Tanzania, Africa na dunia....Huo ndiyo ushuhuda aliouacha, kama walimpamba kinafiki basi ndiyo imeshakuwa...Hakuna mwingine tena wakuondoa hiyo record ya dunia its done for the rest of the life of this world...Pole sana!
Leta hiyo Hansard hapa, Wacha kumpamba DIKTETA aliyekandamiza utawala wa sheria, demokrasia na Uhuru wa maoni. DIKTETA aliyeiba kura zote za 2020 na kuweka wabunge wake waje wabadili Katiba mwaka 2025 ili atawale milele.

UN isingeweza kumsifia kwa kukiuka misingi ya WHO ya kupambana na pandemic ya COVID-19. Kama walimsifu basi ilikuwa ni KEJELI.

Jifunze kutambia SARCASM
 
Uchumi wa kati haupelekwi na mtu mmoja usitake kupotosha yaani ni sawa ma mtu ajenge ghorofa floor 4 anayekuja kuwela floor ya 5 ndio useme ni WA muhimu kuliko walioweka msingi? Kasikilize hotuba ya JK kuhusu uchumi wa kati Tena mbele ya JPM kabisa ndio utaacha hizi propaganda.

2. Unasema Corona aliiweza? Labda useme alituondolea hofu kwenye camera tu!! ila mbona hospitalini wagonjwa walikuwepo? Mzazi wangu aliugua COVID na aliponea ICU? So msipotoshe kama vile Tz hakukua na vifo vya COVID 19.

JPM is overrated kwa kutumia ushamba wa waTZ. Si unaona juzi tu hapa wamekiri kwamba trillion 450 ilikua hewa tu!!
Sikuamini masikio yangu Prof Kabudi kukiri kuwa hizo trilioni ni za uongo.
Kwa kweli wametufanya wajinga.
 
Leta hiyo Hansard hapa, Wacha kumpamba DIKTETA aliyekandamiza utawala wa sheria, demokrasia na Uhuru wa maoni. DIKTETA aliyeiba kura zote za 2020 na kuweka wabunge wake waje wabadili Katiba mwaka 2025 ili atawale milele.

UN isingeweza kumsifia kwa kukiuka misingi ya WHO ya kupambana na pandemic ya COVID-19. Kama walimsifu basi ilikuwa ni KEJELI.

Jifunze kutambia SARCASM
Kafungue kule UN 2021 general meeting utaikuta, kwanini unipe kazi mimi binadamu kama wewe usiye na soni wala shukrani? Na walipiga mstari kabisa, aliiwezesha nchi yake kuingia uchumi wa chini kati miaka mitano kabla ya ilivyopangwa...He is and will continue to be ma hero, am proud of him whether in secrete or public...I am not ashamed of what he did because it was noble
 
Historia imeandikwa tena UN kwenye hansard yao wameweka record ya huyo mliyemkataa...Amekuwa kama Bwana Mungu wake kwa wayahudi walikataa kumpokea kama masihi wao kisha wakamuua lakini chakushangaza kwenye msalaba pale wakaandika japo kwa dhihaka YESU MFALME WA WAYAHUDI, na ikawa ndiyo record iliyoishi mpaka leo...Hekima ya Mungu surpasses human understanding; miaka 100 ijayo wengine wooote watasahaulika, lakini itabakia hiyo hansard ya dunia ikiweka kumbukumbi za zile speeches zilizotolewa na mataifa yote ya dunia kuhusu yeye na alichokifanya kwa Tanzania, Africa na dunia....Huo ndiyo ushuhuda aliouacha, kama walimpamba kinafiki basi ndiyo imeshakuwa...Hakuna mwingine tena wakuondoa hiyo record ya dunia its done for the rest of the life of this world...Pole sana!
Hii UN unayoizungumzia hapa ni ya Dunia ipi?
 
Hii UN unayoizungumzia hapa ni ya Dunia ipi?
Hiyo unayoijua wewe, hupendi kusikia eeh? Basi ndiyo hivyo log on general meeting ya mwaka 2021 special session kwaaji ya hayati JPM ipo pale na hotuba kedekede za viongozi wa dunia wakitoa tributes zao kwake....Is a privillage kuofia nchi yako ukiwa unaitumikia maana kama ni kufa sote tutakufa tatizo tutakufaje ndiyo Mungu mwenyewe huamua, kwa huyu hiwa aibu na fedheha, kwa wengine utukufu wake hujidhihirisha!
 
Ameondoka sasa wewe utuondolee hii inflation ifike kwenye single digit kama yeye alivyofanya for 5 years...
Mzunguko wa Hela ukiwa chini lazima inflation iwe chini. Sasa kipindi Cha JPM Hela ilibaki serikalini na private sector ikabaki hoi, Sasa inflation inakuja vipi?

Nilichogundua waTanzania wengi hatuna elimu ya kueleweka ndio maana tunakua mtaji wa wanasiasa.

Nyie ndio mliambiwa Tumeibiwa trillion 450?? Mkaamini kabisa!!
 
Back
Top Bottom