Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Mimi ni binadamu tu kama wewe nina mapungufu ya kawaida tu. Siyo ule unyama wa MwendazakeWewe ni malaika ndani ya umbo la shetani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni binadamu tu kama wewe nina mapungufu ya kawaida tu. Siyo ule unyama wa MwendazakeWewe ni malaika ndani ya umbo la shetani?
Kuna Mungu mmoja tu aliye hai. Yohana 1: 1Wewe ni Mungu??
Mungu ni roho, kwa asili isiyoonekana (Yohana 4:24). Mungu ni Mmoja, lakini Yeye yupo kama watu watatu-Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho Mtakatifu (Mathayo 3: 16-17).Wewe ni Mungu??
Sure!Salute kwa Wazee wa Ruangwa kwa kutuheshimisha. Tanzania ni mahali pema pa kuishi bila Magufuli
Alikuwa ana maoni gani Magufuli zaidi ya UDIKTETA, wizi, uuaji na uwongo? Yaani alijuwa jinsi Watanzania mlivyo wajinga akaishia kuwa pandikiza propaganda zake za uwongo.Yaani mnamuua mtu mwenye maono [emoji1787] Kisha mnaleta asiye na maono [emoji23] watznia tunataka nn
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
3 in 1Kuna Mungu mmoja tu aliye hai. Yohana 1: 1
Mungu ni roho, kwa asili isiyoonekana (Yohana 4:24). Mungu ni Mmoja, lakini Yeye yupo kama watu watatu-Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho Mtakatifu (Mathayo 3: 16-17).
Mungu ni asiye na mwisho (1 Timotheo 1:17), hauwezi kulinganishwa (2 Samweli 7:22), na hawezi kubadilika (Malaki 3: 6). Mungu yupo kila mahali (Zaburi 139: 7-12), anajua kila kitu (Mathayo 11:21), na ana nguvu zote na mamlaka (Waefeso 1; Ufunuo 19: 6).
Rais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
View attachment 1907395
Rais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
View attachment 1907395
Huyo wenu mwenye nafsi moja kila sehemu anaongea katika wingi.3 in 1
Wingi ; ni heshima Wingi ; ni ukuu.Huyo wenu mwenye nafsi moja kila sehemu anaongea katika wingi.
Kwahiyo Allah alipokuwa anaongea hivyo alionesha heshima na adabu kwa Muhammad na waarabu?Wingi ; ni heshima Wingi ; ni ukuu.
Tatizo ni lugha ulio zoweya .
Kifaransa ni mwiko kwa anae kuzidi umli ,.cheo kumtambua kwa nafsi ya pili ya umoja "TU" hutambuliwa kwa nafsi ya pili kwa Wingi "vouz" wakati mtoto anaambiwa antrer tois = Ingia .
Mkubwa anaambiwa antrer vouz ="Muingie"
Kuna lugha za makabila , zimetofautisha salaam kulingana na lika.
Mtu mzima hata kama unafahamu kua anaishi peke yake haambiwi umeamkaje? Bali mmeamkaje? Kwa hiyo tambua Wingi wakati mwingine nikanuni ya adabu ya lugha husika.
Kabisa!Salute kwa Wazee wa Ruangwa kwa kutuheshimisha. Tanzania ni mahali pema pa kuishi bila Magufuli
Nakiri kukuelewa saana hapo MkuuSalute kwa Wazee wa Ruangwa kwa kutuheshimisha. Tanzania ni mahali pema pa kuishi bila Magufuli
Usituletee uchuro, yule shetani alikuwa na maono gani? Muuwaji mkubwa yule, kuuwa watu ndio maono?Yaani mnamuua mtu mwenye maono [emoji1787] Kisha mnaleta asiye na maono [emoji23] watznia tunataka nn
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app