Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.

Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.

Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.
Kumbe 'African software' zipo?
 
Rais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.

Angalia video hapo chini.

View attachment 1238956
Alisacrifice kwa watanzania. Alikuwa mgomjwa miaka yote. Asante sana Mheshimiwa, Nabii , Mfalme wa Watanzania MH. Dk. John Pombe Joseph Magufuli.
 
Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.

Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.

Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.
Hatuna waziri mkuu, majaliwa alishindwa kutetea zao la wamachinga wenzie Leo akawaombe msamaha!
 
(1)Hata Ex-Presdent Bush Juniour wa Amerika yalimpata.Alitapika mezani wakati wa dhifa(karamu) KUUBWA ya kitaifa iliyokuwa ikiangaliwa Duniani kote.Akafichutama CHINI ya meza ya karamu.Just imagine !(2) Ex President Nyerere pia mpishi wake alishuhudia Baadaye baada ya Nyerere kufa KWAMBA, SIKU CCM INAZALIWA 1977 "Tumbo la kuharisha lilimsokota Sana Nyerere siku Hiyo akawa anaenda maliwato KILA baada ya muda Fulani Hadi..Safari za Yeye(Nyerere)kwenda Arusha na kurudi DSM Kwa ndege kushehrekea siku Hiyo muhimu Zikakatizwa.Ndo ujue binadamu wote Mambo mengi ya kwenye miili yetu na AFYA zetu,Hakuna aliye Bora kuliko mwingine.
 
(1)Hata Ex-Presdent Bush Juniour wa Amerika yalimpata.Alitapika mezani wakati wa dhifa(karamu) KUUBWA ya kitaifa iliyokuwa ikiangaliwa Duniani kote.Akafichutama CHINI ya meza ya karamu.Just imagine !(2) Ex President Nyerere pia mpishi wake alishuhudia Baadaye baada ya Nyerere kufa KWAMBA, SIKU CCM INAZALIWA 1977 "Tumbo la kuharisha lilimsokota Sana Nyerere siku Hiyo akawa anaenda maliwato KILA baada ya muda Fulani Hadi..Safari za Yeye(Nyerere)kwenda Arusha na kurudi DSM Kwa ndege kushehrekea siku Hiyo muhimu Zikakatizwa.Ndo ujue binadamu wote Mambo mengi ya kwenye miili yetu na AFYA zetu,Hakuna aliye Bora kuliko mwingine.
Ayo yote tofauti kabisa na ilo la Magufuli mzee..!! Bora uumwe tujue moja kuliko hayo ya moshi kukufata
 
Asante Leo tumepata jibu. Magufuli alikuwa mbovu sana Ila alikuwa anajifanya JIWE.
VVU + Diabetes+ Kichaa+ Pacemaker + COVID19 = Asingetoboa

Naunga mkono hoja kuna wajinga hawajui hizi siri walileweshwa usukuma watakuja kukutukana. Kiu fupi alikua
UKIMWI + MOYO+ CORONA = REST IN HELL DEVIL
 
Naunga mkono hoja kuna wajinga hawajui hizi siri walileweshwa usukuma watakuja kukutukana. Kiu fupi alikua
UKIMWI + MOYO+ CORONA = REST IN HELL DEVIL
Halafu eti wanamsifia na kumuita Chuma, labda chuma cha mgomba
 
Back
Top Bottom