ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 907
hadi atamaliza muda wake hatathubutu kukanyaga ardhi ya huko [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ivi ni tokea muda huo hatujamskia mitamboni mpaka dakika hii!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hadi atamaliza muda wake hatathubutu kukanyaga ardhi ya huko [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ivi ni tokea muda huo hatujamskia mitamboni mpaka dakika hii!?
Limimkosakosa au kalikwepa
Watu wanna mengi rohoni mwaoRais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Wazee was Ruangwa hawatamsamehe kwa kauli aliyotoa ya kupiga.akina shangazi wasAmani upendo umoja haki na usawa.........
Kwanini tuwaombee ?, wanatakiwa wajiombee wenyewe, sisi tuna shida zetu nyingi sana, kwani kuwaombea wao na wakati wakati wamekaa huko wanakula maisha mazuri na familia zao na wana uhakika wa kula vizuri maisha yao yote, sisi hatuna uhakika hata wa mwezi ujao, kila mtu abube urushi lake, tusichoshane.Watu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.
Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.
Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
This time ameshindwa kutoboa, Wazee wa Ruangwa mna nafasi yenu kwenye ufalme wa mbinguKwa matusi anayotukana wananchi akiwa kwenye majukwaa nadhani si vizuri. Labda awe anawafanyia wanaume wa Kinondoni tu, huko mikoani hawawezi kuvumilia. Lazima wa retaliate
Tunatishana SanaThis time ameshindwa kutoboa, Wazee wa Ruangwa mna nafasi yenu kwenye ufalme wa mbingu
At last kimeumana sasa. Ile Tia maji Tia maji imekwenda kwa miezi 15 tu. Tayari kavimbaUkweli ni kwamba alipata mtafaruku wa siku 2 na alikatisha ziara ya Kibiti na Mkuranga. Hata kama hakupelekwa SA na Germany kama anavyodai Kigogo, ila ukweli ni kwamba bado hali yake tia maji tia maji.
Tunatishana SanaWazee was Ruangwa hawatamsamehe kwa kauli aliyotoa ya kupiga.akina shangazi was
...... ! Bora amalizane nao kimya kimya.
At last kimeumana sasa. Ile Tia maji Tia maji imekwenda kwa miezi 15 tu. Tayari kavimba
Chuki haijengi mkuu,Huyu kweli Ni mrundi toka Burundi, hajali maisha ya Watanzania. Ana roho mbaya Kama shimo la choo
Ndebile tugawane majukumu. Nyie mnaotaka kumpenda RUKSA. Na sisi tunaomchukia tuacheni ni HAKI yetu. Meko alikosea sana kuiba kura za Serikali za Mitaa za 2019 na za Uchaguzi Mkuu wa 2020. Kuiba kweli dunia nzima inaiba lakini wanaiba kati ya Asilimia 3% na 5%. Huyu Magufuli alijiandikia tu kapata eti 82%? Wako wapi Watanzania wa kumpa hata 30%? Mungu amechukia, hauwezi kuishi!Chuki haijengi mkuu,
Ni kweli yametokea kama ulivyoonya mstari wa mwishoJiwe anachopaswa kufanya ni kusikia ushauri wa wengine, kuacha matusi na udhalilishaji na kuiacha nchi kwenye misingi ya demokrasia na utawala bora.
Akipuuza, naiona nguvu kubwa ikiteremka kuliko ya Ruangwa.
So ukimuona anaishi utafanyaje?Ndebile tugawane majukumu. Nyie mnaotaka kumpenda RUKSA. Na sisi tunaomchukia tuacheni ni HAKI yetu. Meko alikosea sana kuiba kura za Serikali za Mitaa za 2019 na za Uchaguzi Mkuu wa 2020. Kuiba kweli dunia nzima inaiba lakini wanaiba kati ya Asilimia 3% na 5%. Huyu Magufuli alijiandikia tu kapata eti 82%? Wako wapi Watanzania wa kumpa hata 30%? Mungu amechukia, hauwezi kuishi!
Ndebile tugawane majukumu. Nyie mnaotaka kumpenda RUKSA. Na sisi tunaomchukia tuacheni ni HAKI yetu. Meko alikosea sana kuiba kura za Serikali za Mitaa za 2019 na za Uchaguzi Mkuu wa 2020. Kuiba kweli dunia nzima inaiba lakini wanaiba kati ya Asilimia 3% na 5%. Huyu Magufuli alijiandikia tu kapata eti 82%? Wako wapi Watanzania wa kumpa hata 30%? Mungu amechukia, hauwezi kuishi!
Nilikwenda Namanyere mjini mkuu wa wilaya ya Nkasi siku mbunge pekee wa CHADEMA anatangazwa mshindi baada ya mabomu ya machozi zaidi ya 100 kupigwa, huu uongo ulioandika hapa wapelekee Lumumba watakusikiliza.Serikali za mitaa Mh. Mbowe alitumia mamlaka yake ya katiba ya Chama chake kuwaambia wagombea wake wajitoe...sijuhi hapo alipiga hesabu zipi! Uchaguzi mkuu mkamuachia Mbelgiji apige kampeni nchi nzima bara na visiwani peke yake, hata kuchapisha kipeperushi cha kumnadi mgombea mkashindwa....kama kuna miujiza mikubwa kama ile wa kuigawa bahati ya Sham kwa fimbo ya Musa basi ulikuwa ni muujiza wa Lissu kupata hata wabunge 5,
Kosa jingine ona mtu aliyefika hadi kuwa mgombea urais anavyoshinda twitter akifuatilia ndege iliyobeba mgonjwa kutoka Nairobi, Pakistan, India, hadi Mloganzira!
Kweli kabisa, kwakuwa wao ni miungu watu, sidhani kama miungu inaombewa!Kwa nini tuwaombee ?, wanatakiwa wajiombee wenyewe, sisi tuna shida zetu nyingi sana, kwani kuwaombea wao na wakati wakati wamekaa huko wanakula maisha mazuri na familia zao na wana uhakika wa kula vizuri maisha yao yote, sisi hatuna uhakika hata wa mwezi ujao, kila mtu abube urushi lake, tusichoshane.
Ule tayari ni mzoga wazungu wanaita cadaver au carcass. Unasubiri tu siku ya kuingia futi 6 chini ya ardhi kule ChatoSo ukimuona anaishi utafanyaje?