Theory tu na variable zakeHee! Unataka kutuambia moshi huo ni mlipuko wa battery ya ndani kwa ndani? Na kuwa ni sababu ya kusimama chini ya high voltage electric wire?
Kama ni hivyo hili jambo ni internal sabotage yaani "kikulacho ......"
Kwani watakuwa hawajui battery haitaki mvutano huo?
Kwako Mshana JrJPM alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba. Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Moshi ulitokea wapi?
Huu mwanga ni hitilafu ya camera maana kwenye picha yako ya pili hapo ukiangalia unaona umehamia kwenye huo mti baada ya kuonekana angani
Yaani ingekuwa ni ufipa duuKuna moshi ulitokea Kule Luangwa Raisi akihutubia ,hii jambo LA ajabu
Nitoe machache haya yangetokea kule Ufipani sijui! Yaani watu wangeongea mengi ,munaonaa wafipa !
Jamani acheni zambi ya maneno je, Luangwa wale wazee ni wafipa?
Siamini sana uchawi ,najua upo kwani umemwa sana
Mungu alipishilia mbali wazee wakifipa ,sijui wangekimbilia wapi?
Tusalifye LEZA,aliepusha
Ushauri tusipende kuamini mambo ya kichawi ,Siku hizi hata teknolojia kuna uchawi
Silaha ni yesu na Mohammad kwa waamini
Tuyaule yonsi,mwalinda uli?
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea
uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta
tatizo wengi humu wanakimbilia uchawi lakini moshi huo inaweza kuwa ni shanbulizi la sumu kali sana na hiyo ni kazi ny mtu mbobezi kama ni kweli hicho ndo kilichotokea
uwezekano mkubwa si uchawi bali yaweza kuwa moshi wenye hewa ya sumu na kama ndivyo mpiga picha alikuwa anajua kinachoendelea na akamua kusema kuwa ni wana ruangwa ili ikitokea chocote watu waegemee kwenye uchawi kuliko hali halisi ni tuombe hizi ziwe assumption kwani nchi itagawanyika kuliko washangiliaji wengi wanavyodhani vita ya ukanda itakua imetangazwa rasmi tutajuta
Aliekua anarekodi simu yake ilikua na flash..ikawa inareflect kwenye kioo cha tv..kikubwa ni huo moshi aisee..adi yeye aliouna akasema wana ruangwa mnaleta na moshi [emoji2]
Amesemaje kuna maneno sikuyapata vemaMzee huyu sijui anaamini Nini?Kuna maneno kayatamka mwishoni hapo yamenitafakarisha sn.
unajauje wengine hawajadhulika ?Uwezo wako kufikiri upo chini sana, sumu imdhuru mtu mmoja tu kwenye kundi la watu? A
Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.
Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.
Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.
Punguza kiherehere iyo bikra nadhani uliicha kwenye matuta ya mihogo
Jiwe ni mropokaji mzuri sana!Ila alivyombea atakuja kusema siku moja akiwa jukwaani maana ninachompenda mh wetu bhana hana koromeo
uko sahihi kabisaIshu ya sumu kwenye msafara wa Rais ni ngumu sana maana huwa kuna surveiilance ya maana katika eneo ambapo Rais atasimama kuhutubia, Na kama ndivyo najua walinzi watakuwa wamefanya kile kinachotakiwa kujua nini hasa chanzo cha moshi husika na ikiwezekana kuondoka na kidhibiti..
Nafahamu fika serikali ina wataalamu wa kutosha wa forensic kuweza kung'amua kama kweli ni ule moshi ulikuwa na sumu ndani yake, na kwa haraka haraka sumu zinazokuwa katika huo mfumo wa gesi bado hainingilii akilini, hapo kuna namna tu kwa wakazi na wenyeji wa huko LIndi.
Hebu weka hapa hayo matusi na ni wananchi wa wapi waliotukanwa?Kwa matusi anayotukana wananchi akiwa kwenye majukwaa nadhani si vizuri. Labda aww anawafanyia wanaume wa Kinondoni tu, huko mikoani hawawezi kuvumilia. Lazima wa retaliate
sikuangalia vyema uko sawaaliyerekodi karekodi nyumbani toka kwenye tv akitumia simu