Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)

Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980
jamani ctaki kuamin shirki miee... Aaah!!!
 
Mshana Jr unasemaje kuhusu hii perfume Ruangwa . Maana Roma huwa inatoka nyeupe kama hii kuashilia mpakwa mafuta kapatikana
 
Nasikia kalitokea kamoshi flani hivi na mkutano ukaahirishwa.. mzee akakatisha speech yake.


Aliyekuwepo Ruangwa ebu alekeza isije kua ruangwa Tech wameizidi tiss.


Naomba wote tuungane kuliombea taifa.
 
Kuna Stori niliwahi Kusikia kuwa kama kuna Watu wanajua Kuroga nchini Tanzania na wakikuamulia Kidhati kabisa hawakukosi japo huwa ni Wapole ni Watu wa hii Mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara. Kuna Kiongozi Mmoja nae huko nyuma alijifanya Kuwadharau wakati akijua nae anatokea huko huko alichokikuta katika Goti lake la Kulia alikoma nao na hadi hivi leo amehama na hata Mkoa wenyewe huku akiwa amejikita Mkoa mmoja ulio Jirani na Bahari ya Hindi ambao una Wanawake wanaojua Mahaba Tanzania nzima unaoweza hata Kukufanya usahau Kwenu au Wazazi wako kwa miaka yako uliyopangiwa Kuiishi duniani na Mwenyezi Mungu.

Mkuu unaheshimika hapa jukwaani, hiyo sentensi yako ya pili ni ndefu sana, weka koma ama nukta.
 
Watu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.

Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.

Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
Nitawaombea iwapo wataturuhusu nasi tuwaombeewengineo kama Lissu, sa8 n.k.
Tofauti na hapo wajiombee wenyewe
.
 
Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)

Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980
Huo mwanga ni malaika wenzie wanamsalimia tu
 
Hii video nimecheka sana sasa watu wanaletewa maendeleo wao wanaenda kumloga jamani ndio mana lindi na mtwara hakuendelei
Hakuendelei ulishawahi kutembelea ukaona hakuna maendeleo? Au unayatafsiri vipi maendeleo?
 
Back
Top Bottom