Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

jamani ctaki kuamin shirki miee... Aaah!!!
 
Mshana Jr unasemaje kuhusu hii perfume Ruangwa . Maana Roma huwa inatoka nyeupe kama hii kuashilia mpakwa mafuta kapatikana
 
Nasikia kalitokea kamoshi flani hivi na mkutano ukaahirishwa.. mzee akakatisha speech yake.


Aliyekuwepo Ruangwa ebu alekeza isije kua ruangwa Tech wameizidi tiss.


Naomba wote tuungane kuliombea taifa.
 
Kigogo anasemaje? Nimeona anazungumzia MAFRIJI ,vipi kigogo ashaanza kuuza friji kutoka UJERUMANI?
 

Mkuu unaheshimika hapa jukwaani, hiyo sentensi yako ya pili ni ndefu sana, weka koma ama nukta.
 
Nitawaombea iwapo wataturuhusu nasi tuwaombeewengineo kama Lissu, sa8 n.k.
Tofauti na hapo wajiombee wenyewe
.
 
Huo mwanga ni malaika wenzie wanamsalimia tu
 
Hii video nimecheka sana sasa watu wanaletewa maendeleo wao wanaenda kumloga jamani ndio mana lindi na mtwara hakuendelei
Hakuendelei ulishawahi kutembelea ukaona hakuna maendeleo? Au unayatafsiri vipi maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…