Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica

Ushauri mzuri sana. Wote ni wagonjwa wa aina moja au nyingine
 
Source ya moshi ilikuwa nini? Ikawaje wakaruhusu source ya moshi iwe karibu na Mkubwa.
 
Watu wanataka hela sio vikao
 
Source ya moshi ilikuwa nini? Ikawaje wakaruhusu source ya moshi iwe karibu na Mkubwa.
Nahisi kile lilikuwa bomu sema ile mitambo ya kisasa Israel inayomulinda ili defuse
 
Reactions: DSN
Kwani wamewahi kua na maendeleo?! Asira zao ni kuhalibiwa uchumi wao lkn pia kitukanwa wao na viongozi wao........na kuahidi keep chapo kwa shangazi zao
Mkurugenzi toka marekani mkuu wa wilaya mkuu wa Takukuru wote wamefukuzwa kazi pindi magufuli kapita huko wakaamua kwenda kwa Sangoma wa Ruangwa kwa msaada wa membe ndipo moshi wa ndumba ukawashwa na kumlewesha
 
Ok sawa kikubwa tuombe kheri na amani kwa Mpendwa wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…