Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Mnapoangalia video kwa ajili ya kufanya analyz wakati mwingine mtumie akili japo kidogo. Maana mkuu mwenyewe kasema hii ni kazi ya wana ruangwa mnaleta na moshi?

Punguza ganja ndugu
😂utani tu bhana!i wasnt serious!ila kinachonitafakarisha ni huo mlio wa kitu kama gesi inayotoka kwenye nozzle wakati moshi unaanza.Inanitafakarisha sana hapo.Ni chenga za tv au ndio moshi ulikuwa unatoka,au upepo ulioleta moshi?!😥
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica
Kwanini hamliweki wazi ?
 
HAKI, HAKI, HAKI : Mungu akiombwa asimame na wate wanaoumia kukosewa haki katika makundi yao haya: wapinzani, waliobomolewa nyumba, waliokataliwa fidia hapa mapipa na sehemu zingine, walioachishwa kazi, walionyimwa mikopo, nk, nk.... Hakika utawala wako ni wamashaka na rungu zitatokea... Please kuna nafasi ya kujirekebisha ukitafakari mapana ya haki, daima haki ni ya Mungu. Fikiria unatumia Biblia kumwapisha haki MTU unaemtuma akoseshe watu haki mfano majaji na mahakimu, maafisa katika ngazi mbalimbali za selikali nk. Wote tujitafakali usicheze na haki. Roho za watu zinatilirika machozi ya haki kila kukicha angalia wapinzani huko mahakamani, je si kweli wanashitakiwa kwa makosa ya kutafuta haki zao?
 
Ndiobaliendelea na siku ya pili ndio alifika nachingwea alipo tumbua DED na DC

Huo ulikuwa moto umewashwa na wananchi badaae upepo ukageuza uelekeo wa moshi ,wakasogeza Magari mkutano ukaendele

Hapa naona uzushi tu
Wananchi gani wangewasha moto kwenye ziara ya raisi is very much impossible
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG-20191020-WA0005.jpeg
 
Uchawi si lazima kuruka usiku , bali hata kuwazushia wenzao mambo mabaya angalieni yasiwarudie nyie ,
sijui mkaoge kwa sabuni gani ili mtakate maana kuaminika tena ni ngumu
 
Hakuendelei ulishawahi kutembelea ukaona hakuna maendeleo? Au unayatafsiri vipi maendeleo?
Mkuu umewai kufika lindi pako kama tanzania ya miaka ya 1990 nilifika pale namuuliza dereva wangu mjini ndio wapi akaniambia hapa du sikuamini mbwiiiinde
 
***** naenda zindikwa ruangwa huko ndo mafundi sasa yaani unamchezea hadi raisi
 
Katikati yamji kuna nyumba za miti na udongo nyingine zimeezekwa kwa makuti mwenyewe nilihamaki
Mkuu umewai kufika lindi pako kama tanzania ya miaka ya 1990 nilifika pale namuuliza dereva wangu mjini ndio wapi akaniambia hapa du sikuamini mbwiiiinde
 
Britanicca kwa umri ni mtu mzima, sikutegemea ujibu hoja kidhaifu kiasi hiki.
Mleta uzi alitaka kujua nini ilitokea
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica
 
Katikati yamji kuna nyumba za miti na udongo nyingine zimeezekwa kwa makuti mwenyewe nilihamaki
ha ha ha ha ha niliuliza wenyeji mbona pako hivi wakasema ukijenga nyumba nzuri wanakuua so saizi serikali inapeleka jamii tofauti na ile ila wakawabadilishe fikra
 
Back
Top Bottom