kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,060
😂utani tu bhana!i wasnt serious!ila kinachonitafakarisha ni huo mlio wa kitu kama gesi inayotoka kwenye nozzle wakati moshi unaanza.Inanitafakarisha sana hapo.Ni chenga za tv au ndio moshi ulikuwa unatoka,au upepo ulioleta moshi?!😥Mnapoangalia video kwa ajili ya kufanya analyz wakati mwingine mtumie akili japo kidogo. Maana mkuu mwenyewe kasema hii ni kazi ya wana ruangwa mnaleta na moshi?
Punguza ganja ndugu
Kwanini hamliweki wazi ?Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Wananchi gani wangewasha moto kwenye ziara ya raisi is very much impossibleNdiobaliendelea na siku ya pili ndio alifika nachingwea alipo tumbua DED na DC
Huo ulikuwa moto umewashwa na wananchi badaae upepo ukageuza uelekeo wa moshi ,wakasogeza Magari mkutano ukaendele
Hapa naona uzushi tu
Mkuu umewai kufika lindi pako kama tanzania ya miaka ya 1990 nilifika pale namuuliza dereva wangu mjini ndio wapi akaniambia hapa du sikuamini mbwiiiindeHakuendelei ulishawahi kutembelea ukaona hakuna maendeleo? Au unayatafsiri vipi maendeleo?
Nenda kuna sehemu inaitwa NGENDE huko ni hatari huko huko mtwara***** naenda zindikwa ruangwa huko ndo mafundi sasa yaani unamchezea hadi raisi
Mkuu umewai kufika lindi pako kama tanzania ya miaka ya 1990 nilifika pale namuuliza dereva wangu mjini ndio wapi akaniambia hapa du sikuamini mbwiiiinde
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
ha ha ha ha ha niliuliza wenyeji mbona pako hivi wakasema ukijenga nyumba nzuri wanakuua so saizi serikali inapeleka jamii tofauti na ile ila wakawabadilishe fikraKatikati yamji kuna nyumba za miti na udongo nyingine zimeezekwa kwa makuti mwenyewe nilihamaki
HahahahKigogo na wengineo wataambia nini watu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Butt.ockWazee wa ruangwa shikilieni hapo hapo
huko naenda sio utani maana naona hawa jirani zangu wanataka tuoneshane makaliNenda kuna sehemu inaitwa NGENDE huko ni hatari huko huko mtwara