Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Tofautish kati ya dini na watu wenye dini
 
Tofautish kati ya dini na watu wenye dini
Ila kuna ushahidi wa ukristo na uislam kuuliza swali la UNABADILI DINI AMA LAH na ukigoma mnachinjwa au mnapelekwa utumwani

Waislam walifanya hivo miaka ya 900 AD huko mashariki ya kati na wakristo pia walifanya hivyo miaka ya 1100 huko poland na sio wakristo tu bali walitumwa na viongozi wa juu wa dini zao Papa kwa wakristo na Calipha wa waislam aliyekuepo syria/iraq ya kale
 
Siku zote mnaandika,waroma ndio walioanzisha uislamu,leo mbona mmebadilika,hawa hawa walioanzisha uislamu,wanataka tena,wauwane wenyewe kwa wenyewe.
 
Mbona hamueleweki,kuna nyuzi nyingi,humu zinazosema kuwa Roma,ndio walianzisha uislamu,leo naona mmebadilika,walioanzisha uislamu,waroma,wauwane wenyewe kwa wenyewe.
 
Mbona hamueleweki,kuna nyuzi nyingi,humu zinazosema kuwa Roma,ndio walianzisha uislamu,leo naona mmebadilika,walioanzisha uislamu,waroma,wauwane wenyewe kwa wenyewe.
Kila mtu ana theory zake hivyo ni wewe kudadisi ipi ina ukweli na ipi ni uongo ila ukweli ni kwamba ukristo na uislam wote ulichinja waliokataa kubadili dini.
 
Siku zote mnaandika,waroma ndio walioanzisha uislamu,leo mbona mmebadilika,hawa hawa walioanzisha uislamu,wanataka tena,wauwane wenyewe kwa wenyewe.
Hata marekani ilianzisha ISIS ila leo hii wanatunguana.... Vilevile kagame alianzisha M23 ila bado walikuja kutwangana na laurent nkunda..... Buhari alidhamini Boko haram kipindi akiwa mpinzani ila leo kawa Rais wanatwangana

Kwenye dunia hii lolote lawezekana
 
Siku zote mnaandika,waroma ndio walioanzisha uislamu,leo mbona mmebadilika,hawa hawa walioanzisha uislamu,wanataka tena,wauwane wenyewe kwa wenyewe.
Maslahi mapana hukuona Nnauye anapigwa chini asiingilie maslahi
Lowasa slipigwa chini sababu mslah
 
huyu jamaa yawezekana waroma walimuua kwa kutumia ma spy wao..
kuna adui wao mwingne mkubwa kutoka spain alikua anaitwa HANNIBAL.naye aliwatesa hadi ikabidi kutumia akili kupambana naye koz kijeshi alikua kashindikana
 
Narudia tena ya kuwa tofautisha dini na watu waliopo ndani ya dini,
Uislam hausemi au haulazimishi mtu kuingia ktika uisalam, hizo ni tamaa na itikadi za watu wenyewe ila uislam hausemi hivyo
 
Mbona hamueleweki,kuna nyuzi nyingi,humu zinazosema kuwa Roma,ndio walianzisha uislamu,leo naona mmebadilika,walioanzisha uislamu,waroma,wauwane wenyewe kwa wenyewe.
Kuwa na akili hata punje moja, kati ya Roma na Uislam, ipi ilianza na kuota mizizi zaidi ya mwenzake????
 
huyu jamaa yawezekana waroma walimuua kwa kutumia ma spy wao..
kuna adui wao mwingne mkubwa kutoka spain alikua anaitwa HANNIBAL.naye aliwatesa hadi ikabidi kutumia akili kupambana naye koz kijeshi alikua kashindikana
hannibal alikuwa anatoka tunisia ya lero,wakati huo ilikaliwa na watu wa rangi mchanyiko.weusi walikuwa wengi ,wagiriki na warumi.
 
Narudia tena ya kuwa tofautisha dini na watu waliopo ndani ya dini,
Uislam hausemi au haulazimishi mtu kuingia ktika uisalam, hizo ni tamaa na itikadi za watu wenyewe ila uislam hausemi hivyo
Narudia tena ya kuwa tofautisha dini na watu waliopo ndani ya dini,
Uislam hausemi au haulazimishi mtu kuingia ktika uisalam, hizo ni tamaa na itikadi za watu wenyewe ila uislam hausemi hivyo
Mkuu both quran na biblia kwa nyakati tofauti zinasema yeyote asiye wa dini yako mchinje unless nieleweshwe mkuu sasa je hapo utasemaje ni msimamo wa watu binafsi??

Quran 9:5

9:5 - Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

2 Nyakati 15:13
13 na ya kwamba ye yote asiyemtafuta BWANA, Mungu wa Israeli, atauawa, akiwa mdogo au mkubwa, kwamba ni mwanamume au mwanamke.
 
Duh naweza kukubaliana na jibu lako hili lakini je kwanini iwe wakati wa kwenda kuifuta Roma?? Kwanini kijana asingesubiri baba yake amalize ulaya nzima ili hata akija kutawala asipate upinzani kipindi akipata madaraka ?
Nini kinakuhakikishia kuwa wngefanikiwa kuishinda dola ya Rumi mpaka udhani kuwa ile ilikuwa siku muhimu sana kwa mehmet.
Na kwanini kifo chake katika siku hiyo usikipe huo umuhimu kwake?
Ikiwa una kiu ya kufuta jambia useme!
 
Mkuu sijaelewa unapinga hicho kitendo walichofanya kwa maana sio katika mafundisho ya ukristo au unapinga hao waroma kuwa sio wakristo? Mfano hata kusema uongo pia sio katika mafundisho ya ukristo,ina maana mtu akiongopa anakuwa sio mkristo?
 
Atauwawa ina tofauti kubwa sana na "waueni"
 
Umeanza vizuri lakini umeharibu pale unapojaribu kutudanganya Nabii Issa ndiye Yesu Kristo hawa huwezi kuwalinganisha hata kidogo na ukijaribu kuwalinganisha ndio mwanzo wa kupotea kabisa.
Eliza unacho kijua sio kulalamika and wenye kuthamin mapokeo siku zote ni wenye elimu na ujuzi...
 
Nini kinakuhakikishia kuwa wngefanikiwa kuishinda dola ya Rumi mpaka udhani kuwa ile ilikuwa siku muhimu sana kwa mehmet.
Na kwanini kifo chake katika siku hiyo usikipe huo umuhimu kwake?
Ikiwa una kiu ya kufuta jambia useme!
Mkuu sio tu kwamba nimejihakikishia bali mehmet alipiga dola ya kirumi kumbuka ilikuwa ina falme mbele western roman empire ambayo ilikuwa na makao makuu Rome na pia Eastern Roman Empire iliokuwa na makao makuu huko Byzantium (uturuki ya sasa), hivyo kama aliweza kuipiga kabisa dola ya mashariki kivipi angeshindwa kuipiga ya magharibi??

Kumbuka kabla ya hapo alikwisha anza vamia vijiji vya kuelekea Rome ambapo hakupata upinzani wa maana kabisa mfano hapo otranto alichinja almost mji mzima na wengine mateka hivyo kwa hali yeyote Rome ingekutana na kipigo kikali

Nachojiuliza kama kweli aliuawa na mwanae ni kwanini basi mwanae asingesubiri vita iishe ili achukue ufalme mkubwa zaidi maana sielewi kwanini unaona baba yako

Kuna nadhari nyingine inasema aliwekewa sumu na wajakazi kutoka naples waliokuwa mapandikizi wa papa.... Bado najiuliza kivp papa aliweza jipenyeza hadi kwenye ufalme wa kiarabu bila kujulikana tena kwa muda mfupi vile

Ila ukweli unabaki kwamba muda mchache kabla hajaamua kwenda kuivamia Rome ndipo alipofariki na hapo ndipo panaleta maswali mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…