Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Mkuu uislamu umeanza lini na Jesuit imeanzishwa lini???
katavi nilichanganya mada,jesuits ni shirika lililoanzishwa na Loyola na wanafunz wenzake mnamo mwaka 1534 wakiwa uko ufaransa japo Layola alikuwa mspanishi mwingine mreno n.k.
uislam tayali ulikwa na miaka zaid ya 900.
 
katavi nilichanganya mada,jesuits ni shirika lililoanzishwa na Loyola na wanafunz wenzake mnamo mwaka 1534 wakiwa uko ufaransa japo Layola alikuwa mspanishi mwingine mreno n.k.
uislam tayali ulikwa na miaka zaid ya 900.
Okay nimekuelewa mkuu, nilidhani historia ninayoijua mimi ilikuwa nyingine.
 
Hii picha yake enzi hizo kamera zilikuwepo?kimsingi Mimi huwa najiuliza wema unaenezwa VP kwa panga?kisha mtendaji anapewa sifa ya ushujaa Mimi naona mungu aliamua kumwondoa kwa njia hyo
 
Hii ni moja ya habari ambayo inaunganisha uislam na ugaidi. Yaani mtu kuua watu mji mzima ili wafuate dini anayoitaka anakuwa shujaa? hii ni hatari
Hata wakristo mkuu walifanya hivyo hivyo poland bulgaria Bosnia n.k miaka ya 1100 hivyo sio hoja kushambulia waislam ilihali wakristo walichinja sana watu ulaya ya mashariki waliokataa kubatizwa
 
Hii picha yake enzi hizo kamera zilikuwepo?kimsingi Mimi huwa najiuliza wema unaenezwa VP kwa panga?kisha mtendaji anapewa sifa ya ushujaa Mimi naona mungu aliamua kumwondoa kwa njia hyo
Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......

Kuhusu kusambaza dini kwa upanga ni dini zote zimefanya hivyo hata ukristo ulitumia panga kubatiza watu ulaya ya mashariki

Na kuhusu kifo chake inawezekana kweli Mungu alimchukua sababu bila hivo leo hii huenda historia ingebadilika sana penginepo ulaya ingekuwa bara la waislam watupu
 
Mkuu, kwenye kila nyuzi zako, napataga maarifa, ila kilichomuua jamaa ni laana ile damu aliyo imwaga ilimlilia MUNGU, alipe kisasi kwa mtesi wao.
 
Interesting!!! Hebu tupe family tree inayo muunganisha huyu mtume wa mwisho na Ibrahim Baba wa imani. Na umetaja Injili, na hii Injili imesema wazi kuwa mtu hawezi kufika mbinguni ila kwa njia ya Yesu. Sasa sijui nini maoni yako juu ya hili?
At that tym...ni vigumu kwenda mbingun pasipo kuamin kitabu cha Mwenyezimungu (INJILI), nabii Issa(Yesu) aliletokezwa kwa ajili ya Israelites, till this tym, uislam wangu haukamiliki kama navihini vitabu vya mwenyezimungu na mitume wa mwenyezimungu.

Mtume Muhammad anatoka katika uzao wa Ismail (A.S) mwana wa Ibrahim kupitia mjakazi wake(Suria) ilhal manabii wengi wa kiisrail wanatoka katka uzao wa Is'haqa nduguye na Ismail kwa mke wa Nabii Ibrahim !!
 
View attachment 722372 View attachment 722373 Habari za mchana wakuu kama kichwa cha thread kinavyosema kwenye historia ya ulaya na kiislam kulikuwa na mfalme wa Ottoman empire dola ya kiislam hii iliyovamia ulaya kutokea mashariki ya kati na asia kwa sababu za kupanua utawala wao na dini pia.

Katika miaka ya 1400 walifanikiwa kuikamata constantinople iliyokuwa makao makuu ya byanztium empire ambayo ilikuwa ndio tawi la Dola ya kirumi mashariki ya ulaya na ilikuwa chini ya wakristo ila Mehmed II alifanikiwa kukamata mji huu na kufuta ukristo na kuifanya dini ya kiislam kushamiri mpaka leo yaani uturuki ya sasa na nchi za jirani.

Sasa baada ya kumalizana na tawi hili la mashariki Mehmed II hapo kati aliteka miji mingi tu ya ulaya ila mwishoni kabisa alielekea kuvamia makao makuu ya dola ya kirumi yani Rome ili kuitawala na penginepo kufuta ukristo ulaya nzima maana kama makao makuu ya wakatoliki wakisilimu je nchi gani ya ulaya ingebaki na ukristo??

Alianzia mji wa Otranto hapo italia kwa kuwavamia na kutaka wasilimu walivyogoma alichinja mji mzima na alikuwa amepanga sasa kuelekea Roma na alikua ameagiza majeshi zaidi yatiririke ili kufanikisha adhma yake.... ila usiku mmoja kabla ya kuanza vita ya kuelekea Roma alifariki ghafla na hivyo mpango huo ukafia naye na tokea hapo hakuwahi patikana mtawala wa ottoman mwenye dhamira na uwezo wa kuvamia Roma tena.

Sasa wajuvi wa mambo naomba mtujuze je nini hasa kilimuua Mehmed II aka Mehmet the conqueror shujaa huyu wa kiislam je aliwekewa sumu?? Alisalitiwa?? Aliuawa na wakatoliki ?? Na kivipi jemedari huyu masaa machache kabla ya tukio la kihistoria afariki ghafla maana wajuzi wa mambo wanasema kma sio kifo chake leo hii ulaya nzima ingekuwa imesilimu

Naomba kuwasilisha

Cc Palantir Malcom Lumumba Eiyer MSEZA MKULU na wanajukwaa wote

NB: Mods naomba uzi huu msiufute maana huwa mnazimoderate then mnazifuta hii inavunja moyo sana watu kuanzisha thread za kufikirisha jukwaa hili maana wanatumia muda kutafiti alafu tafiti zao zinaishia kutupwa kapuni.....

Mohamed II The Great! Namkumbuka tu ni kuwa ndiye alifanya Military blockade dhidi ya Mataifa ya Ulaya! Hakuna kupita Constantinople kwenda bara la Asia.
Ndiye aliyesababisha wazungu kuanza kuzunguka kupitia bahari ya Atlantic na India kwenda Far east.
Sijui aliuwawaje aisee.
 
Hii ni moja ya habari ambayo inaunganisha uislam na ugaidi. Yaani mtu kuua watu mji mzima ili wafuate dini anayoitaka anakuwa shujaa? hii ni hatari

Kuna habari pia inaunganisha ukristo na ugaidi nayo ni vita ya msalaba (Crusade war)
 
At that tym...ni vigumu kwenda mbingun pasipo kuamin kitabu cha Mwenyezimungu (INJILI), nabii Issa(Yesu) aliletokezwa kwa ajili ya Israelites, till this tym, uislam wangu haukamiliki kama navihini vitabu vya mwenyezimungu na mitume wa mwenyezimungu.

Mtume Muhammad anatoka katika uzao wa Ismail (A.S) mwana wa Ibrahim kupitia mjakazi wake(Suria) ilhal manabii wengi wa kiisrail wanatoka katka uzao wa Is'haqa nduguye na Ismail kwa mke wa Nabii Ibrahim !!
nani kakudanganya kuwa waqureshi wanatokana na uzao wa ishmael?issa bin maryam sio YESU
 
Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......

Kuhusu kusambaza dini kwa upanga ni dini zote zimefanya hivyo hata ukristo ulitumia panga kubatiza watu ulaya ya mashariki

Na kuhusu kifo chake inawezekana kweli Mungu alimchukua sababu bila hivo leo hii huenda historia ingebadilika sana penginepo ulaya ingekuwa bara la waislam watupu
na hii ndo sababu EU wanampa uturuki paund bilion 3 kwa mwaka kutunza wakimbizi wa syria wasiingie ulaya na kuibadili history,
dictator Endorgan aliwaambie either mtoe pesa nizuie wakimbizi wasiingie europe au mgeuke kuwa islamic repabulic,walipoona sweden inageuka kweli kuwa islamic republic ikabidi wakubaliane na ukweli tu,
kuivuruga syria kumechangia sana movement yao kusababisha clash of civilisation huko ulaya hasa nchi za france,germany na hata UK.

Hapo uturuki kunawakimbizi wa syria karibu milion 3 na wote wanakodelea macho europe,
hayo ndo madhara ya vita,inaleta muingiliano wa watu na civilisation zinakuwa zinaingiliana huyo king hakuwa anaeneza dini bali utawala wake,kuingia kwa uislam spain etc ni matokeo tu ya vita.

Ndo maana leo unakuta mkuu wa majeshi ya Russia na iran asili yao ni uturuki,
na rais wa uturuki,asili yake ni Georgia
 
Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......

Kuhusu kusambaza dini kwa upanga ni dini zote zimefanya hivyo hata ukristo ulitumia panga kubatiza watu ulaya ya mashariki

Na kuhusu kifo chake inawezekana kweli Mungu alimchukua sababu bila hivo leo hii huenda historia ingebadilika sana penginepo ulaya ingekuwa bara la waislam watupu
na hii ndo sababu EU wanampa uturuki paund bilion 3 kwa mwaka kutunza wakimbizi wa syria wasiingie ulaya na kuibadili history,
dictator Endorgan aliwaambie either mtoe pesa nizuie wakimbizi wasiingie europe au mgeuke kuwa islamic repabulic,walipoona sweden inageuka kweli kuwa islamic republic ikabidi wakubaliane na ukweli tu,
kuivuruga syria kumechangia sana movement yao kusababisha clash of civilisation huko ulaya hasa nchi za france,germany na hata UK.

Hapo uturuki kunawakimbizi wa syria karibu milion 3 na wote wanakodelea macho europe,
hayo ndo madhara ya vita,inaleta muingiliano wa watu na civilisation zinakuwa zinaingiliana huyo king hakuwa anaeneza dini bali utawala wake,kuingia kwa uislam spain etc ni matokeo tu ya vita.

Ndo maana leo unakuta mkuu wa majeshi ya Russia na iran asili yao ni uturuki,
na rais wa uturuki,asili yake ni Georgia
 
Picha ya rangi alichorwa enzi hizo ila hyo kashika upanga ni scene ya movie walio mu act .......

Kuhusu kusambaza dini kwa upanga ni dini zote zimefanya hivyo hata ukristo ulitumia panga kubatiza watu ulaya ya mashariki

Na kuhusu kifo chake inawezekana kweli Mungu alimchukua sababu bila hivo leo hii huenda historia ingebadilika sana penginepo ulaya ingekuwa bara la waislam watupu
na hii ndo sababu EU wanampa uturuki paund bilion 3 kwa mwaka kutunza wakimbizi wa syria wasiingie ulaya na kuibadili history,
dictator Endorgan aliwaambie either mtoe pesa nizuie wakimbizi wasiingie europe au mgeuke kuwa islamic repabulic,walipoona sweden inageuka kweli kuwa islamic republic ikabidi wakubaliane na ukweli tu,
kuivuruga syria kumechangia sana movement yao kusababisha clash of civilisation huko ulaya hasa nchi za france,germany na hata UK.

Hapo uturuki kunawakimbizi wa syria karibu milion 3 na wote wanakodelea macho europe,
hayo ndo madhara ya vita,inaleta muingiliano wa watu na civilisation zinakuwa zinaingiliana huyo king hakuwa anaeneza dini bali utawala wake,kuingia kwa uislam spain etc ni matokeo tu ya vita.

Ndo maana leo unakuta mkuu wa majeshi ya Russia na iran asili yao ni uturuki,
na rais wa uturuki,asili yake ni Georgia
 
Hongera kwa kuanzisha uzi murua kabisa.

Hemed II kimsingi aliugua na kufariki dunia mwaka 1481 akiwa katika kampeni ya kivita huko Italy, japo mpango ulikuwa pia kuikamata Misri.

Ugonjwa uliomuua mpaka leo haujafahamika.
Lakini kabla ya mauti yake alikuwa mtu anayesumbuliwa sana na magonjwa ya viungo kwa muda mrefu hali iliyopelekea mpaka mguu wake mmoja kuharibika kabisa(kuwa deformed), pia alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa gout.

Siku mbili kabla ya kifo chake aliugua ugonjwa wa tumbo na hakuweza kabisa kutokea kwenye ukaguzi wa vikosi vyake kama ilivyo ada ya wababe wa kivita kwa wakati huo.

Lakini taarifa za siri kutoka Ottoman Empire zinasema aliwekewa sumu na mtoto wake wa kwanza ambaye alikuwa pia mrithi wake mtarajiwa aliyejulikana kwa jina la Bayezid kwa sababu ya uchu wa madaraka.

Ikumbukwe kuwa Hemed II alikuwa na miaka 49 tu wakati mauti inampata, kwa picha hio ina maana kuwa alikuwa bado na safari ndefu sana ya kutawala, almost miaka 40 mbele, kitu ambacho dogo aliona kama "kinamchelewesha", ikabidi amuwahishe baba mapema.
Kuua sio sifa nzuri
 
At that tym...ni vigumu kwenda mbingun pasipo kuamin kitabu cha Mwenyezimungu (INJILI), nabii Issa(Yesu) aliletokezwa kwa ajili ya Israelites, till this tym, uislam wangu haukamiliki kama navihini vitabu vya mwenyezimungu na mitume wa mwenyezimungu.

Mtume Muhammad anatoka katika uzao wa Ismail (A.S) mwana wa Ibrahim kupitia mjakazi wake(Suria) ilhal manabii wengi wa kiisrail wanatoka katka uzao wa Is'haqa nduguye na Ismail kwa mke wa Nabii Ibrahim !!
Umeanza vizuri lakini umeharibu pale unapojaribu kutudanganya Nabii Issa ndiye Yesu Kristo hawa huwezi kuwalinganisha hata kidogo na ukijaribu kuwalinganisha ndio mwanzo wa kupotea kabisa.
 
Hao Ottomans waliua wakristo wa jamii ya Armenia wapatao milioni moja. Ila wao wanapinga hadi leo wakati Armenians wanasema ni kweli na ni moja ya genocides mbaya zaidi kupata kutokea dunia hii.
 
Back
Top Bottom