Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Wakati huo ukatoliki waliendesha vita yakuwalazimisha watu kuwa wakristo kwakuua .vita maarufu kwa jina la crusaide .

Tukisema leo ukatoliki uliua watu wengine wanatubishia kwasababu tunasoma historia za kuanzia mwaka 1800zaidi.

Baada ya katoliki kushindwa kuwateka uturuki ndipo iliporudi nakuamua kubadili mbinu

Tehe tehe
 
Hongera kwa kuanzisha uzi murua kabisa.

Hemed II kimsingi aliugua na kufariki dunia mwaka 1481 akiwa katika kampeni ya kivita huko Italy, japo mpango ulikuwa pia kuikamata Misri.

Ugonjwa uliomuua mpaka leo haujafahamika.
Lakini kabla ya mauti yake alikuwa mtu anayesumbuliwa sana na magonjwa ya viungo kwa muda mrefu hali iliyopelekea mpaka mguu wake mmoja kuharibika kabisa(kuwa deformed), pia alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa gout.

Siku mbili kabla ya kifo chake aliugua ugonjwa wa tumbo na hakuweza kabisa kutokea kwenye ukaguzi wa vikosi vyake kama ilivyo ada ya wababe wa kivita kwa wakati huo.

Lakini taarifa za siri kutoka Ottoman Empire zinasema aliwekewa sumu na mtoto wake wa kwanza ambaye alikuwa pia mrithi wake mtarajiwa aliyejulikana kwa jina la Bayezid kwa sababu ya uchu wa madaraka.

Ikumbukwe kuwa Hemed II alikuwa na miaka 49 tu wakati mauti inampata, kwa picha hio ina maana kuwa alikuwa bado na safari ndefu sana ya kutawala, almost miaka 40 mbele, kitu ambacho dogo aliona kama "kinamchelewesha", ikabidi amuwahishe baba mapema.
Mkuu kuna vitu unavijua 'KINAGA UBAGA'kuhusiana na hii mada.Ni vema ukatushirikisha na sisi mana wengi tunataka tufahamu vyema historia nzima ya huyu jamaa
 
Spain ilivamiwa na kugeuzwa islamic country kimabavu kabla haija kombolewa tena. Ilivamiwa kutokea Moroko. Tangu hapo kulikua na maingiliano makubwa kati ya Spain na Moroko. Raia wa Morocco walikua hawahitaji visa kwenda spain hadi mwaka 1985 utaratibu ulipobadirika ambapo spain ilikua ikifuata vigwzo vya kujiunga na umoja wa l
Waislam ni asilimia 4 ya population ya watu hispania. Ingawa 58% ya population ya waislam wa spain ni wale wasiokua na uraia wa spain.
Asante sana mkuu, ni kweli Hispania na Moroko wako karibu mno, ni kweli Ukatoliki bado una nguvu sana Hispania, Ureno, Ufaransa na Poland
 
Tofauti ya Alexndra the great na mehemet ni kuwa,huyu wa kwanza alikuwepo miaka 1700 kabla ya huyu wa Turkey.
Kipindi bado wanapigana kwa mikuki,mishale na mapanga,

huyu wa Turkey ni mwaka 1400 BC wakati silaha za moto zishaanza kutumika,

Alexndra alikuwa mfalme wa macedonia ambae kipindi chake ndo aliuangusha ufalme wa persia ambao ulikuwa ushadhoofika mno kipindi hicho,
Alexndra alifika mpaka india lakini kabla hajaiteka india alirudi nyuma kurudi hadi arabia,
alifariki babylon wakati akijiandaa na kampeni ya kuteka maeneo ya arabia
mkuu unapomuita mhuni kama alexander eti the great unanichefua
huyu mtu alikuwa anavamia nchi za watu na kutawala inakuwaje unampa sifa ya "the great"???!!!
 
Ni propaganda tu hii....UISLAMU unafanana zaid na uyahud kuliko ukristo....kwa sabab katka series ya mitume wote na the same bloodline na Muhamamad alitumwa kuja kukamilisha kile kilichoanzishwa na nabii Adam....hakuja na jipya sana isipokuwa Quran tukufu ambayo n mjumuisho wa Torati la kweli, zaburi iliosahih, injili ya kweli na Quran yenyewe iliokamilisha mfumo sahihi wa maisha uliokusudiwa na Mwenyezi.......ndio maana hutoona tofauti kubwa baina ya Uyahudi na Uislam. Mtume Muhammad n wa mwisho katka ile bloodline ya kitume toka kwa Nabii Ibrahim(Baba wa Mitume)

Hoja kuwa uislam umeanzishwa na RC Church.....n propaganda zisizo na mashiko lengo kuwahadaa watu waone kumbe dini hiz za kimapokeo n mpango tu wa Majesuits......

Mfananano wa Propaganda hii ni kama ile ya kusema vyama vyote vya Upinzani Tanzania vilianzishwa na CCM lengo wafadhili waone eti tuna democracy-Ni Urongo wa dhahir kabsa !! Vipo baadh lakin hilo halihalilish zoezi zima !! Hivyo kama kuna matawi ya U-RC yalotokana na U-RC sawa lakin hilo haliwez kushajihisha kuwa uislam umeanzishwa na Ukatolik !!
 
Ni propaganda tu hii....UISLAMU unafanana zaid na uyahud kuliko ukristo....kwa sabab katka series ya mitume wote na the same bloodline na Muhamamad alitumwa kuja kukamilisha kile kilichoanzishwa na nabii Adam....hakuja na jipya sana isipokuwa Quran tukufu ambayo n mjumuisho wa Torati la kweli, zaburi iliosahih, injili ya kweli na Quran yenyewe iliokamilisha mfumo sahihi wa maisha uliokusudiwa na Mwenyezi.......ndio maana hutoona tofauti kubwa baina ya Uyahudi na Uislam. Mtume Muhammad n wa mwisho katka ile bloodline ya kitume toka kwa Nabii Ibrahim(Baba wa Mitume)

Hoja kuwa uislam umeanzishwa na RC Church.....n propaganda zisizo na mashiko lengo kuwahadaa watu waone kumbe dini hiz za kimapokeo n mpango tu wa Majesuits......

Mfananano wa Propaganda hii ni kama ile ya kusema vyama vyote vya Upinzani Tanzania vilianzishwa na CCM lengo wafadhili waone eti tuna democracy-Ni Urongo wa dhahir kabsa !! Vipo baadh lakin hilo halihalilish zoezi zima !! Hivyo kama kuna matawi ya U-RC yalotokana na U-RC sawa lakin hilo haliwez kushajihisha kuwa uislam umeanzishwa na Ukatolik !!
ujadili kwa lugha ya staha na kwa hoja.hongera unahamasisha manidiliano ya hoja.
narud
 
kasifiwa kuwa shujaa aliyeeneza imani yake !!! hilo nijambo moja tunalolijua kuhusu yeye "" vipi maisha yake ya upande wapili "" mtu yoyote anayepigana vita huwa Tayari anakuwa na mbinu za kijasusi ....na anapoamua kufnya hvyo na lazima atakuwa ni vipaumbele vyake ambavyo vinamfnya ayataoe maisha yake kwaajili yakupigana vita na kutawala"" hapa tumeelezwa kipaumbele kimoja tu cha kuieneza hiyo dini ""
Kwa hiyo kipaombele kingine ni kuwala tigo wanaume wenzake ili kyfanikiwa kusambaza!!! au sijakueleqa bado??
 
Kwa hiyo kipaombele kingine ni kuwala tigo wanaume wenzake ili kyfanikiwa kusambaza!!! au sijakueleqa bado??
nikweli hujanielewa mkuu""
vipaumbele nikama kuwa na nguvu ya kijeshi ili aendelee kuwa mbabe na kuweza kufanikisha mambo yake kwa wepesi ..kupora rasilimali za watu anaowatawala...like kama unavyoona anavyofnya USA hivi sasa "" unachopaswa kukifahamu hakuna mtawala mwenye malengo yakuitawala dunia ama bara kisha akawa nimtenda haki never"" hizi dini zinatumika tu kama mbinu za kiintelejensia""
 
Kilichodmfanya uamini ni nini?
Naheshimu tu mawazo yake hata kma sikubaliani nayo ili nijifunze zaidi kukataa au kupinga huwezi ongeza maarifa hivyo navyofungua uzi chochote nachoambiwa lazima nikipokee alafu nakichambua but kupinga hakutonisaidia kuelewa na kuongeza maarifa
 
Alirogwa na papa, mchana alipigwa zongo kali sana la tumbo, usiku akapigwa kipapai cha msukule moja kwa moja hakuamka
 
Naheshimu tu mawazo yake hata kma sikubaliani nayo ili nijifunze zaidi kukataa au kupinga huwezi ongeza maarifa hivyo navyofungua uzi chochote nachoambiwa lazima nikipokee alafu nakichambua but kupinga hakutonisaidia kuelewa na kuongeza maarifa
Siku zote kama lengo lako ni kuelewa zaidi, basi wewe bisha, coz unampa nafasi mwenzako kuingia deep zaidi (Kama anajua).
 
Back
Top Bottom