Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

hapo haijazungumziwa kujitoa muhanga mkuu...kilicho zungumziwa nikwamba Jamaa alikuwa anawala mlango wa nyuma wanaume wenzie

Kumbe unajua, sasa inasemekana hii ndio njia aliyokuwa anatumia Usama kuwalisha yamini wale wafuasi wake. Nayasemekana inatumiwa sana na wale siasa kali pia.
 
Kumbe unajua, sasa inasemekana hii ndio njia aliyokuwa anatumia Usama kuwalisha yamini wale wafuasi wake. Nayasemekana inatumiwa sana na wale siasa kali pia.
hahaaa "" sas kama mtu alikuwa anauwa watu .atashindwa vip kufnya hayo "" halafu yule Osama ni jasusi tu "" hana uhusiano wowote na Mungu wa haki
 
Sasa uwafundishe na wenzako wajue hivyo maana wako wanamuona kama shujaa na mfia dini yao. Na wakampa jina/title ya usheikh (Sheikh Usama).
hahaaa "" wew imani yangu unaijua"" mimi baada ya kupata akili nimeinusuru akili yangu katika kuiwekeza kuamini huko kwnye hizo imani zenu "" maana zimejaa fiction mnooo"" vitu ambavyo haviwezekani"" watu ndio wameaminishwa kuviamini""


though hata kam ningekuwa Nipo bado kwnye hiyo imani uliyoitaja nisinge thubutu kupoteza muda na kuwaelimisha watu ambao hawana weledi wakujifnza kujua mambo memngine yakidunia tofauti na Yale waliyowahi kufundishwa....maana nacho jua nilazima watanipnga tu nakuniona kuwa sifai kuwa miongini mwao
 
imani Yke imekemea mnooo hayo mambo"" mkuu....yeye mwenyew tu na ushetani wake aisee

Lakini kasifiwa hapa kama shujaa aliye eneza imani yake ulaya kwa nguvu na kasi ya kutisha. Sasa ushetani wake unakuja vipi tena? Shetani anaye eneza imani ya haki???!!! tena ya mungu wa haki. Hata jahili Paulo alihuhishwa na Bwana Yesu kwa ishara na matendo yaliyotoa shaka na yakashuhudiwa na wengine, ili kutoka ujahili na kuwa mtu mwema na mcha Mungu ndiposa akaanza kuhubiri habari njema ya ukombozi wa Bwana Yesu kwa ulimwengu mzima/ watu wote.
 
Ndio naijua imani yako maana kimtokacho mtu ndicho kilicho ujaza moyo wake. Bahati nzuri maandishi ya mtu ni moja ya kimtokacho. Na hapa umeandika.


hahaaa "" wew imani yangu unaijua"" mimi baada ya kupata akili nimeinusuru akili yangu katika kuiwekeza kuamini huko kwnye hizo imani zenu "" maana zimejaa fiction mnooo"" vitu ambavyo haviwezekani"" watu ndio wameaminishwa kuviamini""


though hata kam ningekuwa Nipo bado kwnye hiyo imani uliyoitaja nisinge thubutu kupoteza muda na kuwaelimisha watu ambao hawana weledi wakujifnza kujua mambo memngine yakidunia tofauti na Yale waliyowahi kufundishwa....maana nacho jua nilazima watanipnga tu nakuniona kuwa sifai kuwa miongini mwao
 
Ndio naijua imani yako maana kimyltokacho mtu ndicho kilicho ujaza moyo wake. Bahati nzuri maandishi ya mtu ni moja ya kimtokacho. Na hapa umeandika.
sasa hapo imani yangu "" umeiona wapi mkuu ?? au wanionea tu "".....
 
Lakini kasifiwa hapa kama shujaa aliye eneza imani yake ulaya kwa nguvu na kasi ya kutisha. Sasa ushetani wake unakuja vipi tena?
kasifiwa kuwa shujaa aliyeeneza imani yake !!! hilo nijambo moja tunalolijua kuhusu yeye "" vipi maisha yake ya upande wapili "" mtu yoyote anayepigana vita huwa Tayari anakuwa na mbinu za kijasusi ....na anapoamua kufnya hvyo na lazima atakuwa ni vipaumbele vyake ambavyo vinamfnya ayataoe maisha yake kwaajili yakupigana vita na kutawala"" hapa tumeelezwa kipaumbele kimoja tu cha kuieneza hiyo dini "" vip kuhusu tamaa ya utawala na kumiliki hizo nchi alizoziteka maana zinarasilimali watu na ardhi pia"" "? huwezi kuona kuwa Jamaa alikuwa na maslahi yake mengine pia kwaajili ya kuwa na nguvu ya kijeshi .kiutawala .na Mali""

pia kitendo cha kishetani nihuko kuwa na jisi wanaume wenzake "" dini zote mbili katika maandiko yao zimekubaliana kuwa hicho kitendo nicha kulaaniwa na hata dini za mababu/mabibi zinapinga kitendo kama hcho"" so waweza jiuliza wakati yeye anakifnya alikuwa amlnakifnya kwa ruksa ya imani ipi """? kam sio ushetani !?
 
Huyu jamaa Babu yake alikuwa msaudia na alikuwa anajiita Muhammad mpya wa ulaya.

Aliuliwa na mtoto wake kwsbb mtoto wake alikuwa rafiki wa siri na padre mmoja wa huko Italy na alisetiwa.
 
Habari za siku maana ni kitambo sasa?? Imani yako nimeiona hapo kikutokacho.
hahaaa habari za siku njema kabisa...karibu "" huwenda umeshaijua imani yangu kama usemavyo ..nashukuru katika hilo maana umeweza kubaini kuwa imani yangu haijafungamana na hizo dini zenu mbili"" zilizojaa fiction..
 
Kwa maelezo haya ni kisema Mehmed 2 alihuhishwa na shetani ninakosea?


kasifiwa kuwa shujaa aliyeeneza imani yake !!! hilo nijambo moja tunalolijua kuhusu yeye "" vipi maisha yake ya upande wapili "" mtu yoyote anayepigana vita huwa Tayari anakuwa na mbinu za kijasusi ....na anapoamua kufnya hvyo na lazima atakuwa ni vipaumbele vyake ambavyo vinamfnya ayataoe maisha yake kwaajili yakupigana vita na kutawala"" hapa tumeelezwa kipaumbele kimoja tu cha kuieneza hiyo dini "" vip kuhusu tamaa ya utawala na kumiliki hizo nchi alizoziteka maana zinarasilimali watu na ardhi pia"" "? huwezi kuona kuwa Jamaa alikuwa na maslahi yake mengine pia kwaajili ya kuwa na nguvu ya kijeshi .kiutawala .na Mali""

pia kitendo cha kishetani nihuko kuwa na jisi wanaume wenzake "" dini zote mbili katika maandiko yao zimekubaliana kuwa hicho kitendo nicha kulaaniwa na hata dini za mababu/mabibi zinapinga kitendo kama hcho"" so waweza jiuliza wakati yeye anakifnya alikuwa amlnakifnya kwa ruksa ya imani ipi """? kam sio ushetani !?
 
hahaaa habari za siku njema kabisa...karibu "" huwenda umeshaijua imani yangu kama usemavyo ..nashukuru katika hilo maana umeweza kubaini kuwa imani yangu haijafungamana na hizo dini zenu mbili"" zilizojaa fiction..

Unazidi kunidhihirishia ugunduzi wangu kutokana na kimtokacho.
 
Mehemet II ni shujaa wa Turkey na wala sio shujaa wa waislamu na wala hakuna maandiko ya dini yanayomtambua kama shujaa wa dini.

Kwa nchi za ulaya ni mmoja wa mashujaa wakubwa wa kivita wa wakati wake na ndo maana history imemtambua maana yuko kwenye rank ya akina Geghis khan wa mongolia
 
Nikidhania lengo lako ni kuwa tumjue Mehmed 2 kama shujaa wa dini yako, kumbe liko na hili pia.
hahaa una matatizo aiseee""" kwani kuna mahali nimemzungumzia huyo Jamaa kuwa nishujaa kwangu""

kama umefuatilia vyema scenario zangu mahala pote nimekuwa nikimponda""
au una mengine mkuu
 
Zilikuwa propaganda tu kumfanya achukiwe na watu kujiunga naye!!.. Kama aliweza kumpiga hadi Vlad III 'dracula' The impaler iweje aje onekana yeye ndio vampire tena!!..
Tatizo huyu Mehmed II nazani ni Mturuki kilichokuwa kinamchukiza na wazungu ile tabia yake ya kupenda wavulana wazuri enzi hizo utamaduni ulikuwa kwa warumi ambapo nao ulikuwa umepotea na hawa Turks kwahiyo akaonekana katili!.
Duuh,mkuu huyo dracula alikuwa vampire??
 
Back
Top Bottom