Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??

aiseee....hiyo laana kumbe ndio maaana alikufa kiboya "" hiyo dini alikuwa anaitangaza vipi sasa wakati alikuwa mshenzi "" yaani anahubiri watu wafnye mambo ambayo yeye mwenyew yanamshinda ...huu ulimwengu bwana
Labda aliona sawa kwa imani yake [emoji3]
 
Ni propaganda tu hii....UISLAMU unafanana zaid na uyahud kuliko ukristo....kwa sabab katka series ya mitume wote na the same bloodline na Muhamamad alitumwa kuja kukamilisha kile kilichoanzishwa na nabii Adam....hakuja na jipya sana isipokuwa Quran tukufu ambayo n mjumuisho wa Torati la kweli, zaburi iliosahih, injili ya kweli na Quran yenyewe iliokamilisha mfumo sahihi wa maisha uliokusudiwa na Mwenyezi.......ndio maana hutoona tofauti kubwa baina ya Uyahudi na Uislam. Mtume Muhammad n wa mwisho katka ile bloodline ya kitume toka kwa Nabii Ibrahim(Baba wa Mitume)

Hoja kuwa uislam umeanzishwa na RC Church.....n propaganda zisizo na mashiko lengo kuwahadaa watu waone kumbe dini hiz za kimapokeo n mpango tu wa Majesuits......

Mfananano wa Propaganda hii ni kama ile ya kusema vyama vyote vya Upinzani Tanzania vilianzishwa na CCM lengo wafadhili waone eti tuna democracy-Ni Urongo wa dhahir kabsa !! Vipo baadh lakin hilo halihalilish zoezi zima !! Hivyo kama kuna matawi ya U-RC yalotokana na U-RC sawa lakin hilo haliwez kushajihisha kuwa uislam umeanzishwa na Ukatolik !!
Kwa hiyo nyinyi ni wayahudi?[emoji13] [emoji13]
 
Pitia hapa mkuu mwaka 1095 ndio wakristo walianza kuchinja watu wote waliokataa kubatizwa

Crusades - Wikipedia
Sio Wakristo Sema Waroman Cathorik ndio waliotisha waliokataa kubatizwa.
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya Wakristo na Waroman Cathorik.
Roman Kathorik ni dhehebu kama walivyo Wa-Shia au Suni katika Uislam.
Sio Wakristo wote ni Roman.
Papa ni Kiongozi wa Waroman na sio Wakristo wote.

Imani ya Ukristo hairuhusu Kuadhibu watu katika kosa liwalo lolote lile. Wanaaambiwa anayeruhusiwa kuadhibu ni Mungu peke yake kwenye Makosa ya Kiroho.
Ukiona kundi la watu linaadhibu watu kwa kujidai lina mamlaka ya kiimani hao watakuwa watu wa dini fulani au dhehebu fulani na wanatimiza malengo ya dini hiyo na sio Ukristo.

Ukristo ni
"Kufanya mambo aliyo agiza Yesu Kristo kuyafanya kupitia mafundisho yake ya namna ya kuurithi ufalme wa Mbingu"

Hao waliochinja watu kwa kukataa kubatizwa sio Wakristo ingawa labda wenyewe walijiita hivyo kwakuwa hakuna agizo lolote toka kwa Kristo Yesu linalosema watu wasiotii maagizo yake wachinjwe.

Endelea kukumbuka kila wakati kuwa kuna Wakristo na wengine wanaoweza kujiita Wambagala, Waebrania, Waufufuo, Waroma, Wasabato, wainjiri nk.
Hayo ni majina tu ya dini na kujitambulisha lakini majina hayo hayawafanyi wawe Wakristo.

Sema Waroma waliwaua watu kipindi fulani kwa kuwalazimisha kubatizwa na sio Wakristo kwani haikuwa ajenda ya Kikristo na haitakuwa.
 
mimi sio atheist kama kiranga
tofauti na nyinyi mimi simuabudu allah wala jehova
Wewe nyabhingi kila siku unarukaruka tu, habu tuambie.
Kama
1.Wewe huabudu kabisa kwani huna cha kuabudu ?
2. Kama unaabudu unamwabudu nani au unabudu nini ?

Mkuu nyabhingi hebu tueleze Wasifu wako maana nakuona unapingapingatu ibada za wengine, wewe una hadhi gani ?
 
Sio Wakristo Sema Waroman Cathorik ndio waliotisha waliokataa kubatizwa.
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya Wakristo na Waroman Cathorik.
Roman Kathorik ni dhehebu kama walivyo Wa-Shia au Suni katika Uislam.
Sio Wakristo wote ni Roman.
Papa ni Kiongozi wa Waroman na sio Wakristo wote.

Imani ya Ukristo hairuhusu Kuadhibu watu katika kosa liwalo lolote lile. Wanaaambiwa anayeruhusiwa kuadhibu ni Mungu peke yake kwenye Makosa ya Kiroho.
Ukiona kundi la watu linaadhibu watu kwa kujidai lina mamlaka ya kiimani hao watakuwa watu wa dini fulani au dhehebu fulani na wanatimiza malengo ya dini hiyo na sio Ukristo.

Ukristo ni
"Kufanya mambo aliyo agiza Yesu Kristo kuyafanya kupitia mafundisho yake ya namna ya kuurithi ufalme wa Mbingu"

Hao waliochinja watu kwa kukataa kubatizwa sio Wakristo ingawa labda wenyewe walijiita hivyo kwakuwa hakuna agizo lolote toka kwa Kristo Yesu linalosema watu wasiotii maagizo yake wachinjwe.

Endelea kukumbuka kila wakati kuwa kuna Wakristo na wengine wanaoweza kujiita Wambagala, Waebrania, Waufufuo, Waroma, Wasabato, wainjiri nk.
Hayo ni majina tu ya dini na kujitambulisha lakini majina hayo hayawafanyi wawe Wakristo.

Sema Waroma waliwaua watu kipindi fulani kwa kuwalazimisha kubatizwa na sio Wakristo kwani haikuwa ajenda ya Kikristo na haitakuwa.
Naiona tofauti indeed ahsante kwa maelezo
 
Wewe nyabhingi kila siku unarukaruka tu, habu tuambie.
Kama
1.Wewe huabudu kabisa kwani huna cha kuabudu ?
2. Kama unaabudu unamwabudu nani au unabudu nini ?

Mkuu nyabhingi hebu tueleze Wasifu wako maana nakuona unapingapingatu ibada za wengine, wewe una hadhi gani ?
1.namuabudu mungu(creator)
2.mimi ni egyptologist(naendelea kujifunza)
 
1.namuabudu mungu(creator)
2.mimi ni egyptologist(naendelea kujifunza)
2. Nimeipenda hiyo namba 2 asee so uko deep kwenye mambo ya ancient egypt..... Next tym shusha thread basi ya dynasty za kipindi hicho kuanzia kina Pharaoh thutmose na kina Akhenaten maana nayo egypt ina golden history sana
 
JIBU HILI SWALI
historia ya kuabudu na kuhusudu majinni kwenye uislam ilianzia wapi? Maana hakuna uislam pasipo majinni
Ni lini waislam wameanza kuabudu majini au umekaririshwa tu mkuu..... Yaani waache kumuabudu Allah waabudu viumbe??? Duh
Anyway ngoja nikawaite wenye dini zao

Cc kahtaan hydroxo inamankusweke
 
1.namuabudu mungu(creator)
2.mimi ni egyptologist(naendelea kujifunza)
Asante sana kwa jibu lako zuri
Huyo "mungu (creator)" kama ilivyo mtaja.
Mwenzetu
Umemwona wapi ?
Amejitambulisha wapi ?
Ana hadhi gani zaidi ya ku Create ?
Anasemaje ?
Umemjuaje ili nasisi tujifunze kuhusu yeye ?
 
2. Nimeipenda hiyo namba 2 asee so uko deep kwenye mambo ya ancient egypt..... Next tym shusha thread basi ya dynasty za kipindi hicho kuanzia kina Pharaoh thutmose na kina Akhenaten maana nayo egypt ina golden history sana
usijali mzee baba,nilidhani niko mwenyewe humu kumbe mpo wafatiliaji
nitawashusha akina imhotep
horus,isis,osiris
lady of justice(ma'at)
kwa uwezo wa NETER
 
Asante sana kwa jibu lako zuri
Huyo "mungu (creator)" kama ilivyo mtaja.
Mwenzetu
Umemwona wapi ?
Amejitambulisha wapi ?
Ana hadhi gani zaidi ya ku Create ?
Anasemaje ?
Umemjuaje ili nasisi tujifunze kuhusu yeye ?
Hebu fatilia nyuzi zangu kuhusu hizi mambo kwenye jamii intelligence
"bible is a fake"
 
2. Nimeipenda hiyo namba 2 asee so uko deep kwenye mambo ya ancient egypt..... Next tym shusha thread basi ya dynasty za kipindi hicho kuanzia kina Pharaoh thutmose na kina Akhenaten maana nayo egypt ina golden history sana
dr.Ben(rip),Clerk(rip),Ray Haggins are my heroes kunitoa kwenye mental slavery
they introduced me to our ancestors (kemet)

“According to African Historian, Dr. Ben Jochannan, the ancient Egyptians clearly defined their African origin in the papyrus of Hunefer, ‘We came from the beginning of the Nile where God-Hapi dwells, at the foothills of the mountain of the Moon.’ Dr. Ben Jochannan’s interpretation of this ancient record, ‘The mountain of the moon,’ identifies Kenya’s Kilimanjaro (a Kenya-based Ki Swahili word created by the indigenous Africans) and or Uganda’s ‘Rwenzori Mountain.’
 
Back
Top Bottom