Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uturuki i guess maana ndio yalikuwa makao makuu ya ottoman empireHuyo Kiongozi Ambaye Ni Main Character
Amezikwa Wapi Yaani Hilo Kaburi Linapopatikana
duuuhhgghh kwahiyo Jamaa alikuwa ana &#**$ wenzie ??
sijakuelewa "" aliitumia mbinu ipi hiyoHii mbinu hata Usama aliitumia, ili akuamini kwenda kujilipua ilikuwa lazima kwanza kujitoa muhanga kwake.
Ni propaganda tu hii....UISLAMU unafanana zaid na uyahud kuliko ukristo....kwa sabab katka series ya mitume wote na the same bloodline na Muhamamad alitumwa kuja kukamilisha kile kilichoanzishwa na nabii Adam....hakuja na jipya sana isipokuwa Quran tukufu ambayo n mjumuisho wa Torati la kweli, zaburi iliosahih, injili ya kweli na Quran yenyewe iliokamilisha mfumo sahihi wa maisha uliokusudiwa na Mwenyezi.......ndio maana hutoona tofauti kubwa baina ya Uyahudi na Uislam. Mtume Muhammad n wa mwisho katka ile bloodline ya kitume toka kwa Nabii Ibrahim(Baba wa Mitume)
Hoja kuwa uislam umeanzishwa na RC Church.....n propaganda zisizo na mashiko lengo kuwahadaa watu waone kumbe dini hiz za kimapokeo n mpango tu wa Majesuits......
Mfananano wa Propaganda hii ni kama ile ya kusema vyama vyote vya Upinzani Tanzania vilianzishwa na CCM lengo wafadhili waone eti tuna democracy-Ni Urongo wa dhahir kabsa !! Vipo baadh lakin hilo halihalilish zoezi zima !! Hivyo kama kuna matawi ya U-RC yalotokana na U-RC sawa lakin hilo haliwez kushajihisha kuwa uislam umeanzishwa na Ukatolik !!
sijakuelewa "" aliitumia mbinu ipi hiyo
Inaonekana nyuma ya kujana kulikuwa na watu wanaomrubuniDuh naweza kukubaliana na jibu lako hili lakini je kwanini iwe wakati wa kwenda kuifuta Roma?? Kwanini kijana asingesubiri baba yake amalize ulaya nzima ili hata akija kutawala asipate upinzani kipindi akipata madaraka ?
hapo haijazungumziwa kujitoa muhanga mkuu...kilicho zungumziwa nikwamba Jamaa alikuwa anawala mlango wa nyuma wanaume wenzieHii ya kujitoa muhanga inayo zungunziwa hapa kutumiwa na Mehmed 2. Yaani ya kuongozana na vijana warembo kama KSM.
point of correction..historia ya ukristo haisemi hivo..refer first 1000yrs of christianity..and another 1000yrs of christianityIla mkuu haya mambo sio ya kuangalia upande mmoja hata hao wakatoliki walivamia nchi za ulaya mashariki kama poland hungary na bulgaria wakiwataka wabatizwe waliokataa walichinjwa hiyo ni miaka ya 1000 hivi hivyo miaka zamani dini zote zilitumia mbinu hii
Ila huyu kidogo ilishtua wengi maana alifariki masaa machache kabla hajaenda kufuta dola ya kirumi ndio maana nimekuja kuuliza huku tupate habari za chini ya kapeti isije kuwa alipigwa kipapai na papa
Ni watu sio diniDuuh! Ukristo na Uislamu umeua watu wengi sana dunia hii.
Mbinu zip mkuuWakati huo ukatoliki waliendesha vita yakuwalazimisha watu kuwa wakristo kwakuua .vita maarufu kwa jina la crusaide .
Tukisema leo ukatoliki uliua watu wengine wanatubishia kwasababu tunasoma historia za kuanzia mwaka 1800zaidi.
Baada ya katoliki kushindwa kuwateka uturuki ndipo iliporudi nakuamua kubadili mbinu
Vatican imeanzisha uislam??Mehmet hakujua kuwa wabunifu wa dini yake ya kiislam ni vaticani kwa lengo la kuua ukristo wa kweli,lakina sio kuua mamlaka ya upapa.dini ya kiislamu iliazinshwa kwa siri na kanisa la roman catholic kwa kuwatumia jesuits na Khadija mama mjane tajiri kwa wakati huo amabae alilirisha kanisa mali zake zote na akaolewa na mtume Muhamad.
lengo la jesuits ililikuwa kuua ukristo uliokuwa umeshamiri ulaya mashariki mpaka mashariki ya kati na Afrika kaskazin.
siri wanayo viongozi wa juu wa dini hizo,ndio maana ukatoriki na uislam una vitu vinafanana,na uislam unaukosoa mno ukatoriki zaidi kuliko ukristo kwa ujumla.mengi yanayokosolewa msingi wake ni mapokeo ya kipagani ya kanisa la katoliki
Safi mkuuuNi propaganda tu hii....UISLAMU unafanana zaid na uyahud kuliko ukristo....kwa sabab katka series ya mitume wote na the same bloodline na Muhamamad alitumwa kuja kukamilisha kile kilichoanzishwa na nabii Adam....hakuja na jipya sana isipokuwa Quran tukufu ambayo n mjumuisho wa Torati la kweli, zaburi iliosahih, injili ya kweli na Quran yenyewe iliokamilisha mfumo sahihi wa maisha uliokusudiwa na Mwenyezi.......ndio maana hutoona tofauti kubwa baina ya Uyahudi na Uislam. Mtume Muhammad n wa mwisho katka ile bloodline ya kitume toka kwa Nabii Ibrahim(Baba wa Mitume)
Hoja kuwa uislam umeanzishwa na RC Church.....n propaganda zisizo na mashiko lengo kuwahadaa watu waone kumbe dini hiz za kimapokeo n mpango tu wa Majesuits......
Mfananano wa Propaganda hii ni kama ile ya kusema vyama vyote vya Upinzani Tanzania vilianzishwa na CCM lengo wafadhili waone eti tuna democracy-Ni Urongo wa dhahir kabsa !! Vipo baadh lakin hilo halihalilish zoezi zima !! Hivyo kama kuna matawi ya U-RC yalotokana na U-RC sawa lakin hilo haliwez kushajihisha kuwa uislam umeanzishwa na Ukatolik !!
Niliwahi kusikia hii,ila natafuta maelezo kamili hadi Leo cjayapataVatican imeanzisha uislam??
Aisee [emoji33] !Uyu msela alikula kitimoto isiyowiva aliahirisha hadi mauti yake