Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Anhaa braza josehahaaa ...katika jukwaa hili yule muwahi siti maarufu huwa hafiki huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa braza josehahaaa ...katika jukwaa hili yule muwahi siti maarufu huwa hafiki huku
Thanks ila
Nani huyo ?hahaaa ...katika jukwaa hili yule muwahi siti maarufu huwa hafiki huku
ninachoamini katika kila istoria kuna vimaneno vimeongezwaIla unaamini alifariki kwa sababu gani... Tiririka mkuu
teheeeNani huyo ?
Jose au...!
okay nitazingatia hilo next timeThanks ila
Naitwa Da'Vinci yenye mkato juu isiyo na e mwisho wala nafasi...
hahaa uchochezi huo aiseeAnhaa braza jose
Kikwazo kulitokea ugomvi wa nani atawale baada ya Mehmed II kufariki!..Na najiuliza kwanini tokea hapo hakutokea mfalme mwingine wa ottoman aliyekuwa na nia ya dhati ya kuvamia Roma..... Nini kilikuwa kikwazo
hahaaa ....haya
Hivi zile shutuma kwamba alikuwa vampire ni za kweli au wazungu tu walitaka kumchafua aonekane shetaniMkuu zitto junior huyo jamaa me baada ya kusoma alikuwa anawa"#%$%" wanaume wenzie (huku ni Intelligence kila mtu atajua nimemaanisha nini) nikaona haina haja ya kuendelea kumjua kwa kweli!!...
Lakini pia naamini asingeweza kuingia ulaya nzima maana Pope Sixtus IV alikuwa kamuombea crusade tayari, ina maana mataifa ya ulaya yangeungana kujilinda asingeweza kutoboa, ingawa kweli walianza kumuogopa!..
Zilikuwa propaganda tu kumfanya achukiwe na watu kujiunga naye!!.. Kama aliweza kumpiga hadi Vlad III 'dracula' The impaler iweje aje onekana yeye ndio vampire tena!!..Hivi zile shutuma kwamba alikuwa vampire ni za kweli au wazungu tu walitaka kumchafua aonekane shetani
hapa ndio napokupendea....in short hizi dini mbili zimeacha athari kubwa mnooo chini ya hili jua tangia kuletwa kwake ...""Ila mkuu haya mambo sio ya kuangalia upande mmoja hata hao wakatoliki walivamia nchi za ulaya mashariki kama poland hungary na bulgaria wakiwataka wabatizwe waliokataa walichinjwa hiyo ni miaka ya 1000 hivi hivyo miaka zamani dini zote zilitumia mbinu hii
Ila huyu kidogo ilishtua wengi maana alifariki masaa machache kabla hajaenda kufuta dola ya kirumi ndio maana nimekuja kuuliza huku tupate habari za chini ya kapeti isije kuwa alipigwa kipapai na papa
alaaa ..hivi kile nikisa cha kwli eeehhhh "" hebu siku ukitulia naomba uje utumwagie nondo za kuhusu huyo mtu aiseeHata Spartacus na wenzake walijaribu kuvamia roma ila walishindwa...