zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
-
- #241
Mkuu hayo yalikuwa maagizo kutoka kwa MUNGU kwenda kwa waisraeli kwamba mtu akiabudu MUNGU mwingine lazima AUAWEAtauwawa ina tofauti kubwa sana na "waueni"
M nachojua hizo zilikuwa imani za kichawi pia hao wakina iddi amini mehmet na viongozi wakatili wote waliamini mambo ya kishirikina sana kama kula nyama ya MTU(na kunywa damu) wanahisi inawapa ujasiri wa kuendelea kupambana na kuwa na moyo mgumu ,kukabiliana na mazingira yeyote...kuna jamii zinafanya haya mpaka Leo hii kama kisiwa cha Fiji (The naihehe caves)Hiyo sio hearsay ilikuwa ni utaratibu wa kipindi hicho hebu search catamite ujionee ni nini!.
kwani imani za kiafrika hazifanyi uchawi!?M nachojua hizo zilikuwa imani za kichawi pia hao wakina iddi amini mehmet na viongozi wakatili wote waliamini mambo ya kishirikina sana kama kula nyama ya MTU(na kunywa damu) wanahisi inawapa ujasiri wa kuendelea kupambana na kuwa na moyo mgumu ,kukabiliana na mazingira yeyote...kuna jamii zinafanya haya mpaka Leo hii kama kisiwa cha Fiji (The naihehe caves)
Write your reply...Roman Catholic Church Hasa Makao Yao Makuu Vatican Ndio Walioanzisha Dini Hiyo Wakimtumia Bi.Khadija Mama Mjane Mfanyabiashara Tajiri Pia Muumin Wa Dheheb La Roman Catholic.Kiujumla Vatican Ndio Waliobun Iyo Dini.Vatican N Wapagan.Ndio Maana Mtume Muhamad Anapokosoa Ukristo Anakosoa Hasa Ukatolic Kuliko Ukristo Kiujumla.Pia Kuna Vitu Vya Kipagan Wanafanana Mfano Sikukuu ,1.Chrimass=maulid .2,kwaresma=ramadhan,pia Rozari = Tasbihi.haya sio bahat mbaya ni kwa sabab master wao ni mmoja yule baba wa uongo.
Viroba bado vinaruhusiwa kwaniWrite your reply...Roman Catholic Church Hasa Makao Yao Makuu Vatican Ndio Walioanzisha Dini Hiyo Wakimtumia Bi.Khadija Mama Mjane Mfanyabiashara Tajiri Pia Muumin Wa Dheheb La Roman Catholic.Kiujumla Vatican Ndio Waliobun Iyo Dini.Vatican N Wapagan.Ndio Maana Mtume Muhamad Anapokosoa Ukristo Anakosoa Hasa Ukatolic Kuliko Ukristo Kiujumla.Pia Kuna Vitu Vya Kipagan Wanafanana Mfano Sikukuu ,1.Chrimass=maulid .2,kwaresma=ramadhan,pia Rozari = Tasbihi.haya sio bahat mbaya ni kwa sabab master wao ni mmoja yule baba wa uongo.
Mwaka 1095 unajua ukristo upi nje ya Ukatoliki?Sio Wakristo Sema Waroman Cathorik ndio waliotisha waliokataa kubatizwa.
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya Wakristo na Waroman Cathorik.
Roman Kathorik ni dhehebu kama walivyo Wa-Shia au Suni katika Uislam.
Sio Wakristo wote ni Roman.
Papa ni Kiongozi wa Waroman na sio Wakristo wote.
Imani ya Ukristo hairuhusu Kuadhibu watu katika kosa liwalo lolote lile. Wanaaambiwa anayeruhusiwa kuadhibu ni Mungu peke yake kwenye Makosa ya Kiroho.
Ukiona kundi la watu linaadhibu watu kwa kujidai lina mamlaka ya kiimani hao watakuwa watu wa dini fulani au dhehebu fulani na wanatimiza malengo ya dini hiyo na sio Ukristo.
Ukristo ni
"Kufanya mambo aliyo agiza Yesu Kristo kuyafanya kupitia mafundisho yake ya namna ya kuurithi ufalme wa Mbingu"
Hao waliochinja watu kwa kukataa kubatizwa sio Wakristo ingawa labda wenyewe walijiita hivyo kwakuwa hakuna agizo lolote toka kwa Kristo Yesu linalosema watu wasiotii maagizo yake wachinjwe.
Endelea kukumbuka kila wakati kuwa kuna Wakristo na wengine wanaoweza kujiita Wambagala, Waebrania, Waufufuo, Waroma, Wasabato, wainjiri nk.
Hayo ni majina tu ya dini na kujitambulisha lakini majina hayo hayawafanyi wawe Wakristo.
Sema Waroma waliwaua watu kipindi fulani kwa kuwalazimisha kubatizwa na sio Wakristo kwani haikuwa ajenda ya Kikristo na haitakuwa.
Ndio mkuu ingefutika maana aliweza ifuta Eastern Roman Empire ambayo ilikuwa ni sehemu ya utawala wa Vatican iliyoitwa Byzantium ambayo ilikuwa ufalme wa kikristo ila leo hii ni taifa la kiislam kabisa (Turkey) so kuna uwezekano kama angevamia Rome leo hii vatican ingekuwa ni center ya uislam.Angefanikiwa Vatican ingefutika katika uso wa dunia?
Ha ha haAlaf watu wanasema dunia ya sasa imeharibika. Zamani watu wanachinja nchi nzima hakuna cha UN wala the Hague.
Mkuu ni vitu viwili tofauti ila vinategemeana sababu mfano wakatoliki waliokuwepo byzantium baada ya kuvamia na kina Mehmet tunaona na ukatoliki nao ukafutika...... Hivyo hata Rome kama ingevamiwa basi tunaifungamanisha kwamba maslahi yake Papa nayo yangevurugwa. Na sio Rome pekee mataifa mengi tu enzi hizo yalikuwa yamejifungamanisha na dini fulani kiasi kwamba viongozi wa kidini walikuwa na influence kwenye hizo tawala kiasi huwezi tenganisha uwepo wa hizo taasisi mbili.Very sad uzi wote huu sijaona Wakatoliki wenzangu wakikosoa makosa yanayojirudia kila mara. Dola ya Kirumi na Ukatoliki ni vitu tofauti. Naona kila unapozungumziwa urumi unachomekwa na ukatoliki!!!
anamaanisha watu waliopo katika hizo dini ndio walioua ila dini zenyewe hazijawahi kuua mtu... yaani huu ni mknganyiko wa karneuna maanisha nini !??
Dini za kimapokea zimewapumbaza kiasi kwamba hamuwezi kufikiri nje ya minyororo ya kifikra mliyofungwa, huu ni utumwa mamboleo ambao waafrika anatakiwa kuukataa. Nilisoma kitabu cha Douglass na kuona jinsi gani watumwa waliokuwa Marekani walikuwa wakitambiana wenyewe kwa wenyewe kuhusu ubora wa slave master wao..... ndicho unachotaka kukifanya hapa kuukashifu uislamu kisa wewe ni mkristo ni kwamba unamsifia slave master wa mwenzako na kusahau kuwa hata wewe ni slave vile vile. Hizi dini hizi kuna wakati huwa siamini kuwa ni mpango wa Mungu.Hii ni moja ya habari ambayo inaunganisha uislam na ugaidi. Yaani mtu kuua watu mji mzima ili wafuate dini anayoitaka anakuwa shujaa? hii ni hatari
Hii ya kujitoa muhanga inayo zungunziwa hapa kutumiwa na Mehmed 2. Yaani ya kuongozana na vijana warembo kama KSM.
huwa unakuwaga " na hoja nzuri sana".. ila tatizo lako jf waonekana kwa manatiDini za kimapokea zimewapumbaza kiasi kwamba hamuwezi kufikiri nje ya minyororo ya kifikra mliyofungwa, huu ni utumwa mamboleo ambao waafrika anatakiwa kuukataa. Nilisoma kitabu cha Douglass na kuona jinsi gani watumwa waliokuwa Marekani walikuwa wakitambiana wenyewe kwa wenyewe kuhusu ubora wa slave master wao..... ndicho unachotaka kukifanya hapa kuukashifu uislamu kisa wewe ni mkristo ni kwamba unamsifia slave master wa mwenzako na kusahau kuwa hata wewe ni slave vile vile. Hizi dini hizi kuna wakati huwa siamini kuwa ni mpango wa Mungu.
cc hearly
Nipo sana mkuu, huwa nawasoma kimya kimya hasa wewe nakusoma maeneo mengi sana humu ndani.... mara chache nachangia hasa yanapokuwa yamenifika hapaaaahuwa unakuwaga " na hoja nzuri sana".. ila tatizo lako jf waonekana kwa manati
hahaha " huwaga nakutana na comments zako" ubongo wangu huwa unakili kabisa kuwa unavitu vingi vya ziada ambavyo" ni chanya""..Nipo sana mkuu, huwa nawasoma kimya kimya hasa wewe nakusoma maeneo mengi sana humu ndani.... mara chache nachangia hasa yanapokuwa yamenifika hapaaaa