Nini kilimuua Mehmed II aliyetaka kuufuta ukristo/dola ya kirumi ulaya ??


Tehe tehe
 
Mkuu kuna vitu unavijua 'KINAGA UBAGA'kuhusiana na hii mada.Ni vema ukatushirikisha na sisi mana wengi tunataka tufahamu vyema historia nzima ya huyu jamaa
 
Asante sana mkuu, ni kweli Hispania na Moroko wako karibu mno, ni kweli Ukatoliki bado una nguvu sana Hispania, Ureno, Ufaransa na Poland
 
mkuu unapomuita mhuni kama alexander eti the great unanichefua
huyu mtu alikuwa anavamia nchi za watu na kutawala inakuwaje unampa sifa ya "the great"???!!!
 
 
ujadili kwa lugha ya staha na kwa hoja.hongera unahamasisha manidiliano ya hoja.
narud
 
Kwa hiyo kipaombele kingine ni kuwala tigo wanaume wenzake ili kyfanikiwa kusambaza!!! au sijakueleqa bado??
 
Kwa hiyo kipaombele kingine ni kuwala tigo wanaume wenzake ili kyfanikiwa kusambaza!!! au sijakueleqa bado??
nikweli hujanielewa mkuu""
vipaumbele nikama kuwa na nguvu ya kijeshi ili aendelee kuwa mbabe na kuweza kufanikisha mambo yake kwa wepesi ..kupora rasilimali za watu anaowatawala...like kama unavyoona anavyofnya USA hivi sasa "" unachopaswa kukifahamu hakuna mtawala mwenye malengo yakuitawala dunia ama bara kisha akawa nimtenda haki never"" hizi dini zinatumika tu kama mbinu za kiintelejensia""
 
Kilichodmfanya uamini ni nini?
Naheshimu tu mawazo yake hata kma sikubaliani nayo ili nijifunze zaidi kukataa au kupinga huwezi ongeza maarifa hivyo navyofungua uzi chochote nachoambiwa lazima nikipokee alafu nakichambua but kupinga hakutonisaidia kuelewa na kuongeza maarifa
 
Alirogwa na papa, mchana alipigwa zongo kali sana la tumbo, usiku akapigwa kipapai cha msukule moja kwa moja hakuamka
 
Naheshimu tu mawazo yake hata kma sikubaliani nayo ili nijifunze zaidi kukataa au kupinga huwezi ongeza maarifa hivyo navyofungua uzi chochote nachoambiwa lazima nikipokee alafu nakichambua but kupinga hakutonisaidia kuelewa na kuongeza maarifa
Siku zote kama lengo lako ni kuelewa zaidi, basi wewe bisha, coz unampa nafasi mwenzako kuingia deep zaidi (Kama anajua).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…