Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nimeandika kirefu na kwa mifano hai posts #46, #49, #56 na #58.Mh! Hebu funguka. Hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeandika kirefu na kwa mifano hai posts #46, #49, #56 na #58.Mh! Hebu funguka. Hapa.
Tulia ufikirie vizuri kuna kitu utaelewaInatumika China, point yako ni nini?
Hujajieleza unakusudia nini. Inawezekana unachofikiri unanieleza nakielewa vizuri kuliko unavyofikiri.Tulia ufikirie vizuri kuna kitu utaelewa
Kuna economist mmoja alinieleza kuwa uchumi wa Tz ulianza kushuka kuanzia 1974 na baadae ndiyo ulipiga mbizi kabisa baada ya vita vya Idi Amin. Kumbuka 1972-3 ndiyo ile sera ya vijiji vya ujamaa ilipamba moto kwa hivyo kilimo kiliathirika sana na matokeo yake njaa ilikumba nchi. Sijui kama kile kitabu cha Rev C. K. Omari bado kinapatikana au la, alieleza vizuri sana kuhusu hili.Kuna sababu kadhaa kama vile;
1. Ushauri wa
IMF wa kushusha thamani ya shilingi (ambao Mwalimu na washauri wake wa uchumi waliukataa katakata) wakati wa SAP.
Nani anaitumia hiyo Japanese yen ?Hujajieleza unakusudia nini. Inawezekana unachofikiri unanieleza nakielewa vizuri kuliko unavyofikiri.
Kwa nini hutaki kukitaja?
Hukielewi? Unaogopa? Una nature ya kichawichawi ya kujifichaficha?
Sijatoa hoja yoyote inayohusu pesa kutumiwa kwenye nchi nyingi. Habari ya pesa ya China kutumika nchi ngapi inakuja vipi kwenye hoja zangu?
This question is totally invalid, it is not related to my point at all.
You are making a logical non sequitur fallacy. Unaingiza hoja tofauti na ninayoiongelea mimi.
Hoja yangu ni kwamba, thamani ya pesa ya nchi si lazima iendane na uzuri wa uchumi wa nchi hiyo.
Hoja hii nimeitokea mfano wa Kenya na Japan.
Shilingi moja ya Kenya in athamani kuliko Yen moja ya Japan.
Shilingi moja ya Kenya ni sawa na 1.19 Japanese Yen.
1 Japanese Yen ni 0.85 Kenyan shillings.
Je, hilo linamaanisha Kenya ina uchumi mzuri kuliko Japan? Hapana.
These are hard numbers, not some blah blah about "tulia ufikirie vizuri utaelewa".
Umuhimu wa swali lako ni upi?Nani anaitumia hiyo Japanese yen ?
Kweli ujamaa ni mzuri kwenye makaratasi ila huu ubepari wa sasa ni mzuri kikweli kweli maana watu wanapiga pesa kweli kweli mpaka wanakosa pa kuziweka 😳🤦🏽♂️💵ujamaa ni mtamu kwenye makalatasi tu..
nje hivyo vita kufeli kulikiwa pale pale.
Ok sawaUmuhimu wa swali lako ni upi?
Kwani hoja ya mada hii ni pesa inayotumiwa na wengi au pesa yenye thamani kubwa?
Mbona unaondoka kwenye hoja ya uzi huu, thamani ya pesa, halafu unaleta hoja yako tofauti, wingi wa watu wanaoitumia pesa?
Unaelewa kuwa hizo ni mada mbili tofauti?