Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Serikali ndiyo mbia wa kwanza. Anatakiwa kuwezesha mazingira ya hili kufanyika. Kutoa nafuu ya kodi, kuwezesha kupatikana mtaji, kulinda soko nk nk. Nchi zote zilizoendelea kwa viwanda serikali zao zimeplay part kubwa kuliko wenyewe waliofungua viwanda.Fungua kiwanda Cha midoli,makasha ya sabuni,tooth pick nk.. unasubiri nani afungue!?