John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
TRA itaanza kukutoza Kodi kabla hata ya kiwanda chenyewe hakijaanza uzalishaji.Fungua kiwanda Cha midoli,makasha ya sabuni,tooth pick nk.. unasubiri nani afungue!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRA itaanza kukutoza Kodi kabla hata ya kiwanda chenyewe hakijaanza uzalishaji.Fungua kiwanda Cha midoli,makasha ya sabuni,tooth pick nk.. unasubiri nani afungue!?
Hutaki kulipa Kodi!!?..visingizio vya kijinga,Kuna viwanda vingapi tz!?TRA itaanza kukutoza Kodi kabla hata ya kiwanda chenyewe hakijaanza uzalishaji.
Siyo mchanganyiko Bali matango poriModerator Kuna haja ya kupata elimu thamani ya pesa maana elimu zinazotolewa hapa ni mchanganyiko sana
Tatizo ni sirikali kuna mwaka iliwahi ingiza sukari tani 400k badala ya 30k ili kuua viwanda vya ndani vya SukariHutaki kulipa Kodi!!?..visingizio vya kijinga,Kuna viwanda vingapi tz!?
😆😆😆😆Siyo mchanganyiko Bali matango pori
Viwanda vya sukari vikifa hakuna shida,kwa ule uhuni wa kuficha sukari kila mwaka,mashamba yao tulime mpungaTatizo ni sirikali kuna mwaka iliwahi ingiza sukari tani 400k badala ya 30k ili kuua viwanda vya ndani vya Sukari
Uko sahihiViwanda vya sukari vikifa hakuna shida,kwa ule uhuni wa kuficha sukari kila mwaka,mashamba yao tulime mpunga
Ndiyo lengo haswaViwanda vya sukari vikifa hakuna shida,kwa ule uhuni wa kuficha sukari kila mwaka,mashamba yao tulime mpunga
AiseeViongozi wa wakati ule walikuwa ni wazalendo wa kweli sahivi tuna majangili tupu
Ndiyo hivyo mkuuAisee
Sawa mkuuNdiyo hivyo mkuu
Hiyo hiyo 1961 kwanini isiwe 1 kwa 1 na ikawa 1 kwa 7?Karibuni wataalamu wa Siasa na Uchumi .
1961 - 1 US dollar ilikuwa shilingi 7 za
Wataandamana wajikwamueNawaonea huruma sana watoto wetu maana miaka inavyo enda hii nchi inazidi kua ya ovyo amna ajira..amna uwekezaji amna viwanda, mazingira ya uwekezaji niya ovyo ovyo
Lakini si maandishi yanatosha kuwa pesa hakuna haja ya kwenda na malori 🙂
Wachina wanajitahidi sana pesa yao isipande thamani.
Ikipanda wanaishusha kwa makusudi.
Kimkakati, ili uchumi wao unaotegemea exports ufanye vizuri.
Wanaona pesa yao ikiwa na thamani ndogo ndiyo itachochea uchumi wao kuwa mzuri. Kwa kuchochea exports zaidi.
Pesa kuwa na thamani kubwa au ndogo si tatizo.
Tatizo ni, una mkakati gani wa kuitumia thamani yoyote ya pesa yako ili uwe na uchumi mzuri.
Tatizo hatuna strategy hata ya kutumia hiyo pesa isiyo na thamani kuwa na uchumi mzuri.
Tungekuwa na strategy kama ya China, tungeweza kuipigania pesa yetu isipande thamani na vile vile kujenga uchumi mzuri wa export.
Tatizo si thamani ya pesa, thamani ys pesa hata Benki Kuu inaweza kuibadilisha siku moja tu.
Tatizo ni uzalishaji, tatizo ni mkakati.
Kama kweli vileHapa umenena kweli kabisa nakunukuu in red
Tatizo hatuna strategy hata ya kutumia hiyo pesa isiyo na thamani kuwa na uchumi mzuri.