SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sasa unaambiwa huko Yanga wenye akili ni wawili tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka nako kanaminywaView attachment 2642714
Nimemsikiliza msemaji wa Yanga Ali Kamwe akitangaza kwamba Haji Manara ndio mratibu wa safari za Aljeria. Sote tunafahamu kwamba Haji amefungiwa kujihusisha na masuala ya soka
Nimemsikiliza Fei Toto akisema kwa uchungu kwamba ametukaniwa mama yake na msemaji wa Yanga.
Juzi tu tulisikia Ali Kamwe akimtukana Juma Mgunda
Haji Manara yeye ndio template ya watukanaji, wazushi na wadhalilishaji mitandaoni. Huyu sasa alishawahi kutukana Yanga nzima.
Ukikaa vizuri karibu wote pale ni wahuni na masela kuanzia Rais wao mpaka watu wa chini kabisa.
Swali langu wajameni ni kutaka kujua nini kilisababisha? What went wrong.
Wastaarabu wana 5B za super leagueWahuni pamoja na masela wamechukua NBC.
Wahuni pamoja na masela wapo fainali FA.
Wahuni na masela ndiyo hao wameenda kumalizia fainali ya pili na insha'Allah wanaweza kurudi na kombe.
Vipi kuhusu wastaarabu ambao sio wahuni, wamepata chochote msimu huu?
mfano huku mtaani ndo wanatuchapia sana mademu zetu,km ilivyo pale yanga wahuni ndo wanaiongoza timu kucheza mifainali ya kimataifa...WAHUNI SIO WATU AISEEView attachment 2642714
Nimemsikiliza msemaji wa Yanga Ali Kamwe akitangaza kwamba Haji Manara ndio mratibu wa safari za Aljeria. Sote tunafahamu kwamba Haji amefungiwa kujihusisha na masuala ya soka
Nimemsikiliza Fei Toto akisema kwa uchungu kwamba ametukaniwa mama yake na msemaji wa Yanga.
Juzi tu tulisikia Ali Kamwe akimtukana Juma Mgunda
Haji Manara yeye ndio template ya watukanaji, wazushi na wadhalilishaji mitandaoni. Huyu sasa alishawahi kutukana Yanga nzima.
Ukikaa vizuri karibu wote pale ni wahuni na masela kuanzia Rais wao mpaka watu wa chini kabisa.
Swali langu wajameni ni kutaka kujua nini kilisababisha? What went wrong.
Ikiwa kama hao wahuni na uhuni wao wameifikisha timu fainal basi uhuni ni kitu kizuri sana ewe mke wa okwiView attachment 2642714
Nimemsikiliza msemaji wa Yanga Ali Kamwe akitangaza kwamba Haji Manara ndio mratibu wa safari za Aljeria. Sote tunafahamu kwamba Haji amefungiwa kujihusisha na masuala ya soka
Nimemsikiliza Fei Toto akisema kwa uchungu kwamba ametukaniwa mama yake na msemaji wa Yanga.
Juzi tu tulisikia Ali Kamwe akimtukana Juma Mgunda
Haji Manara yeye ndio template ya watukanaji, wazushi na wadhalilishaji mitandaoni. Huyu sasa alishawahi kutukana Yanga nzima.
Ukikaa vizuri karibu wote pale ni wahuni na masela kuanzia Rais wao mpaka watu wa chini kabisa.
Swali langu wajameni ni kutaka kujua nini kilisababisha? What went wrong.
Wydad na Usm alger nani wahuniUSM NDYO WAHUNI NI SWALA LA MUDA TU
وبنبنيذووطويسووبوين[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Wewe mwenyewe ni msela na mhuni wa kutupwaView attachment 2642714
Nimemsikiliza msemaji wa Yanga Ali Kamwe akitangaza kwamba Haji Manara ndio mratibu wa safari za Aljeria. Sote tunafahamu kwamba Haji amefungiwa kujihusisha na masuala ya soka
Nimemsikiliza Fei Toto akisema kwa uchungu kwamba ametukaniwa mama yake na msemaji wa Yanga.
Juzi tu tulisikia Ali Kamwe akimtukana Juma Mgunda
Haji Manara yeye ndio template ya watukanaji, wazushi na wadhalilishaji mitandaoni. Huyu sasa alishawahi kutukana Yanga nzima.
Ukikaa vizuri karibu wote pale ni wahuni na masela kuanzia Rais wao mpaka watu wa chini kabisa.
Swali langu wajameni ni kutaka kujua nini kilisababisha? What went wrong.
Bila kusahau hasara anayo pata bwana MoWastaarabu wana 5B za super league
Wahuni wana 2.3B za fainali ya shirikisho
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
kheri yako wewe unajua kusimaHiyo ni asili ya Yanga wala sio jambo geni..Yanga kwa asili ilianzishwa na makuli (wabeba mizigo) wengi wasiojua kusima....
We mwenyewe na upimbi wako wa kikolo pelekesha unafiki wako huko jf na utulie we acha kuwaconfuse viongozi wetu , Msela mwenyeweView attachment 2642714
Nimemsikiliza msemaji wa Yanga Ali Kamwe akitangaza kwamba Haji Manara ndio mratibu wa safari za Aljeria. Sote tunafahamu kwamba Haji amefungiwa kujihusisha na masuala ya soka
Nimemsikiliza Fei Toto akisema kwa uchungu kwamba ametukaniwa mama yake na msemaji wa Yanga.
Juzi tu tulisikia Ali Kamwe akimtukana Juma Mgunda
Haji Manara yeye ndio template ya watukanaji, wazushi na wadhalilishaji mitandaoni. Huyu sasa alishawahi kutukana Yanga nzima.
Ukikaa vizuri karibu wote pale ni wahuni na masela kuanzia Rais wao mpaka watu wa chini kabisa.
Swali langu wajameni ni kutaka kujua nini kilisababisha? What went wrong.