Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
kwenye kikao tulikubaliana kuwa kugongewa ni siri ya ndani..!!Mwamba alinit*mbea dem wangu wa kihaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye kikao tulikubaliana kuwa kugongewa ni siri ya ndani..!!Mwamba alinit*mbea dem wangu wa kihaya
Wakati mwingine tunapaswa kuvumiliana kwenye madhaifu ili kumantain urafiki wetu.Kwema team MMU?
Marafiki ni watu muhimu na wenye manufaa makubwa kwetu, japokuwa wakati mwingine anaweza kuwa kichomi akavuruga maisha yako?
Mimi na rafiki yangu mmoja urafiki ulikufa sababu hakulipa deni langu, kila nikimdai anatafuta vijisababu vya kunikwepa, jamaa ananikwepa mpaka kesho.
Kwa upande wako nini kilisababisha urafiki wako na besti yako/mshkaji wako kufa?
Kwa maelezo haya, huyo sio rafiki mkuu..... achana naeurafiki ulikufa sababu ya ubinafsi. kwako anataka kunywa bia ila kwake unywe pombe kali.
pili kila jambo lako lenye kutaka kupanga ukimueleza anakuwa na kinyongo au kukukatisha tamaa
Ulifanya maamuzi sahihi mkuu, huyo mtu alikua na ubinafsiKila tukikutana badala ya kufurahi yeye ni kuelezea matatizo kila siku ana matatizo yeye tu hana hela yeye tu kukopa kopa nikakaa mbali nae maana alikuwa hanipi furaha
Kwahiyo ulivunja urafiki sababu ya pesa uliyomkopesha au sababu kaoa shemeji yake ambaye alikuwa loose ball. Kwan inaonekana mpkaa jmaa katupiamo mistari yake ww ulikua haueleweki.Daaah ni stori ndefu, siku nikiipata wasaa nitashusha kisa kizima, ila Kwa ufupi fala kaoa shemeji yake (mchepuko wangu) ilihali alikuwa anajua kila kitu.
Fala namchukia kila siku, kibaya zaidi nilimtumia pesa ya kuchukulia mzigo wa biashara jamaa ndo akafanya ya kuolea.
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Yaan kila akikutafuta muonane ana shida na pesa ana matatzo na anaishi pazuri sana akawa ananiambukiza stress zake ,napenda nikionana na rafiki tufurahi nisahau shida zangu kuna kusaidiana kweli lakin sio wewe kila siku una shida na matatizo nani hanaUlifanya maamuzi sahihi mkuu, huyo mtu alikua na ubinafsi
Kumsaidia kupanda kimaisha, after mafanikio nikageukwa live. I had no choiceKwema team MMU?
Marafiki ni watu muhimu na wenye manufaa makubwa kwetu, japokuwa wakati mwingine anaweza kuwa kichomi akavuruga maisha yako?
Mimi na rafiki yangu mmoja urafiki ulikufa sababu hakulipa deni langu, kila nikimdai anatafuta vijisababu vya kunikwepa, jamaa ananikwepa mpaka kesho.
Kwa upande wako nini kilisababisha urafiki wako na besti yako/mshkaji wako kufa?
Huu ulikuwa ujasiri mkubwa sanaMimi sio rafiki tu nilivunja cicle nzima ya marafiki, niligundua ni wanafiki, mipango yangu kikazi inakwama kwasababu wanatia mkono, nikipata shida wanafurahia moyoni ,taarifa za matatizoyangu zina wafurahisha zaidi kuliko za mafanikio yangu.
Nikasema msinitanie nikapiga block wote nikatafuta watu aina nyingine ya kuwa nao karibu. Mambo ni shwarii
Nawe tafuta mnyonge ummegee mkuuJamaa alikuwa na wake wawili, kwahyo huyu akawa watatu, wakati mi sikuwa hata na mmoja ndo nltaka kumfanya awe mke, ila mwamba akapita naye.
Ni rafiki wa utotoni mpk ukubwani Kwa maana tulisoma pamoja form 1 had 6, na baada ya hapo tukawa tunafanya mishe pamoja na kabla jamaa hajaanza kuoa oa, katumia sana ghetto langu kuulia kima, ila mwsho wa siku kmmk kapita na manzi wangu, huyu fala siwezi msamehe maisha.
Baada ya tukio alinifanya nisikilize mwezi mzima wimbo wa SumaLee na Joh Makini - Rafiki,
Rafiki mkia wa FISI, ukidiriki atakufilisi
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app