Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto Sana .Mimi sio rafiki tu nilivunja cicle nzima ya marafiki, niligundua ni wanafiki, mipango yangu kikazi inakwama kwasababu wanatia mkono, nikipata shida wanafurahia moyoni ,taarifa za matatizoyangu zina wafurahisha zaidi kuliko za mafanikio yangu.
Nikasema msinitanie nikapiga block wote nikatafuta watu aina nyingine ya kuwa nao karibu. Mambo ni shwarii
Hongera! Unajua kutunza urafikiMy best friend ni mmoja tu since class 3 primary mpaka leo hatujawahi gombana kwa lolote
Wamekuwaje Ndugu?Wanawake
Very niceAhsante. Tunaendana na tunafanana vingi ndio maana tumekaa muda wote. We share a birth day, tumebatizwa na kupata communion na kipaimara pamoja. We're kinda like twins
Yawezekana maana nasi JITAMEN kujipandisha wakati mfukoni na Bank tuko empty hilo tunaliweza na tuliko toka maisha ni magumu lkn tunajisahaulisha. Hivi Cyprian MUSIBA anasemaje kuhusu hili?Huyu kama sio nshomile basi anatokea ujitani wengi wapo hivi hivi
Aiseee yuko jamaa ninafanya nae kazi ana tabia hizo hizoKadri tulivyokua tunakua ndio nikajua jamaa yuko rough sana then ni mkweli, anaweza akakulilia shida we ukatoa hakiba ukijua hana, kumbe na yeye anakiasi chake cha pesa cha hakiba hataki kukigusa “no matter what”. Nikaona huyu si mtu mwema
Wajita=wahaya kitu moja yaniYawezekana maana nasi JITAMEN kujipandisha wakati mfukoni na Bank tuko empty hilo tunaliweza na tuliko toka maisha ni magumu lkn tunajisahaulisha. Hivi Cyprian MUSIBA anasemaje kuhusu hili?
Ila ni UPUMBAVU.
Wahaya kidogo wao wana bebana,Jitamen sisi tunanafikiana ijapo kujimwambafy tuna fanana.Wajita=wahaya kitu moja yani
Bora mjita, muhaya akikubeba hataki umzidi ukimzidi tegemea fitina ya kukumaliza kabisa kimaishaWahaya kidogo wao wana bebana,Jitamen sisi tunanafikiana ijapo kujimwambafy tuna fanana.
The same applies kwangu asee…..wakiwa na shida uwasaidie wao tu…ukiwa na shida wewe hakuna rangi utaacha kuona….sihitajji marafikisipendi unafki,uongo uliopitiliza na niwe mimi namjali alafu yeye anajijali mwenyewe haoni thamani yangu,aaah mtu wa hivyo akafie mbali simuhitaji kwenye maisha yangu
Tusikie na ya kwako please mrembo.Unafiki mwingi.
Basi hizi fitina tuseme kila jamii kwa mtu mmojammoja hawakosekani.Bora mjita, muhaya akikubeba hataki umzidi ukimzidi tegemea fitina ya kukumaliza kabisa kimaisha
Duh!...Daaah ni stori ndefu, siku nikiipata wasaa nitashusha kisa kizima, ila Kwa ufupi fala kaoa shemeji yake (mchepuko wangu) ilihali alikuwa anajua kila kitu.
Fala namchukia kila siku, kibaya zaidi nilimtumia pesa ya kuchukulia mzigo wa biashara jamaa ndo akafanya ya kuolea.
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Hivi kumbe, nimeshasikia sana hizo story kuna hadi mwamba akanisihi kuwa usijefanya biashara na hawa watu ni aidha atakudhurumu, atachomoka muda ambao sio sahihi mtu kuchomoka au atataka kudominate biashara.Nawajua nje ndani wana mazuri yao ila roho mbaya km hiyo ni dosari yao kubwa sana hawapendi uwe juu kumzidi hata akiwa ndg yake wapo hivyo,
wengi wao wapo hivyo
Apeche alolo ya kwangu hiiMimi sio rafiki tu nilivunja cicle nzima ya marafiki, niligundua ni wanafiki, mipango yangu kikazi inakwama kwasababu wanatia mkono, nikipata shida wanafurahia moyoni ,taarifa za matatizoyangu zina wafurahisha zaidi kuliko za mafanikio yangu.
Nikasema msinitanie nikapiga block wote nikatafuta watu aina nyingine ya kuwa nao karibu. Mambo ni shwarii