Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,517
- 5,533
mimi naomba niwe kwenye hio cicle ya pili baada ya kwanza kuvunjwa haahaa.Apeche alolo ya kwangu hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi naomba niwe kwenye hio cicle ya pili baada ya kwanza kuvunjwa haahaa.Apeche alolo ya kwangu hii
Wengi wapo hivyo kaa nao mbali, wachache sana wanakuwaga hawana roho ya kukunjaHivi kumbe, nimeshasikia sana hizo story kuna hadi mwamba akanisihi kuwa usijefanya biashara na hawa watu ni aidha atakudhurumu, atachomoka muda ambao sio sahihi mtu kuchomoka au atataka kudominate biashara.
Haya wamezidi katika 10 utapata 7Basi hizi fitina tuseme kila jamii kwa mtu mmojammoja hawakosekani.
Wahaya, Waha, Wakurya na Wajita wote wana wivu na dharau za kipumbavuHaya wamezidi katika 10 utapata 7
Nimeipenda hii ila sitaiweza maana Nina hasira za karibuYule mshikaji alikuwa ni mnafiki afu ni tyoe ya mtu anae kuombea njaa yani hataki asikie habari ya ume fanikiwa nili mcut off gafra tu nazanii na yeye ali lijua..tuki kutana tuta cheka sana kama kawaida ila watu hawaamini kama hata no. yake sina wala na yeye hana yangu ..na mpango wa kua nayo sina
Muhaya akiwa mwenyekitiWahaya, Waha, Wakurya na Wajita wote wana wivu na dharau za kipumbavu
Imebidi niamke kucheka 😆😆baada ya tukio alinifanya nisikilize mwezi mzima wimbo wa SumaLee na Joh Makini - Rafiki,
Rafiki mkia wa FISI, ukidiriki atakufilisi
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu je kuna jingine?
Ebu elezea vizuri. Tatizo nini 😁Snitch tu yule kima mmoja yule wa kirangi! Jamaa Fulani hivi mnakula mnakunywa kumbe nyuma ya pazia ana mambo za kishosti
[emoji16][emoji16] aiseehDaaah ni stori ndefu, siku nikiipata wasaa nitashusha kisa kizima, ila Kwa ufupi fala kaoa shemeji yake (mchepuko wangu) ilihali alikuwa anajua kila kitu.
Fala namchukia kila siku, kibaya zaidi nilimtumia pesa ya kuchukulia mzigo wa biashara jamaa ndo akafanya ya kuolea.
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Sawa wasalimie tukuyuJingine niafiki mchawi
Hukutaka kujua shida ni wewe ama Huyo moenzi wako!! Moja kwazote halawa kwa rafikii[emoji16]Nilikosana na rafiki yangu kipenzi,kwa sababu ya kutembea na mpenzi wangu
Watu huita kwa majina mengiKuna yule mshikaji muda wote ni kutaka kwenda kujirusha, hakuna lingine la maana kwake zaidi ya hilo
Mkuu,Nilikuwa nafanya kazi za night shift kwenye kampuni moja hivi kwa hyo ilikuwa nakaa mbali sana nikamuomba mshikaji wangu mmoja niwe nalala kwake maana ilikuwa sometimes naingia job saa 9 mchana natoka saa 5 usiku kwa hyo nilipokuwa nakaa ilikuwa mbali kumbe jamaa hakuridhia 100% ilikuwa kishingo upande nililala kwake kwa mda mfupi sana baada ya kuwa kila nikirudi geti limefungwa na komeo kwa ndani nishalala sana mbagala stand pale mpaka asubuh jamaa ndio alinipa hasira ya kununua kiwanja.
Baada ya mda nikapewa mkataba kazini nikatafuta geto la 25k pale mbagala lilikuwa na sisimizi mchwa ilikuwa nikileta demu au mshikaji akija harudi tena kwasababu ya mazingira yalivyokuwa kwa hyo mpaka leo siwezi sahau alivyonifanyia maana hata yeye alikaa home kipindi anasoma chuo nilijaribu kumwambia kajibu jeuri mpaka leo ni mbingu na ardhi baada ya kunitilia fitna kwa mwanamke niliyetaka kumuoa kiufupi jamaa ana pigo za kike now kila mtu ana maisha yake japo tulisoma wote secondary school akakaa home mpaka anapata kazi ila yeye alishindwa kunisaidia mimi tumegaki ku view status tu we don't talk anymore.
Sasa hapo shida ni huyo mshikaji au huyo mwanamke wenu?Jamaa alikuwa na wake wawili, kwahyo huyu akawa watatu, wakati mi sikuwa hata na mmoja ndo nltaka kumfanya awe mke, ila mwamba akapita naye.
Ni rafiki wa utotoni mpk ukubwani Kwa maana tulisoma pamoja form 1 had 6, na baada ya hapo tukawa tunafanya mishe pamoja na kabla jamaa hajaanza kuoa oa, katumia sana ghetto langu kuulia kima, ila mwsho wa siku kmmk kapita na manzi wangu, huyu fala siwezi msamehe maisha.
Baada ya tukio alinifanya nisikilize mwezi mzima wimbo wa SumaLee na Joh Makini - Rafiki,
Rafiki mkia wa FISI, ukidiriki atakufilisi
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app