Jamaa alikuwa na wake wawili, kwahyo huyu akawa watatu, wakati mi sikuwa hata na mmoja ndo nltaka kumfanya awe mke, ila mwamba akapita naye.
Ni rafiki wa utotoni mpk ukubwani Kwa maana tulisoma pamoja form 1 had 6, na baada ya hapo tukawa tunafanya mishe pamoja na kabla jamaa hajaanza kuoa oa, katumia sana ghetto langu kuulia kima, ila mwsho wa siku kmmk kapita na manzi wangu, huyu fala siwezi msamehe maisha.
Baada ya tukio alinifanya nisikilize mwezi mzima wimbo wa SumaLee na Joh Makini - Rafiki,
Rafiki mkia wa FISI, ukidiriki atakufilisi
Sent from my Infinix X6516 using
JamiiForums mobile app