Nini kilisababisha urafiki na Besti/ Mshkaji wako kufa?

Nini kilisababisha urafiki na Besti/ Mshkaji wako kufa?

Jamaa alikuwa na wake wawili, kwahyo huyu akawa watatu, wakati mi sikuwa hata na mmoja ndo nltaka kumfanya awe mke, ila mwamba akapita naye.

Ni rafiki wa utotoni mpk ukubwani Kwa maana tulisoma pamoja form 1 had 6, na baada ya hapo tukawa tunafanya mishe pamoja na kabla jamaa hajaanza kuoa oa, katumia sana ghetto langu kuulia kima, ila mwsho wa siku kmmk kapita na manzi wangu, huyu fala siwezi msamehe maisha.

Baada ya tukio alinifanya nisikilize mwezi mzima wimbo wa SumaLee na Joh Makini - Rafiki,
Rafiki mkia wa FISI, ukidiriki atakufilisi

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
😂😂
 
Alikuwa haeleweki. Mtu hana malengo ya kimaisha yeye ni bata tu umri umeenda bado ana akili kama yupo foolish age.

Anaweza pata laki 5 hapa akapigia simu washkaji ikachakazwa ikaisha yote akaamka asubuhi ana 30,000 tu.

Ukiwa na shida ukimwambia anataka ujielezee kama unaomba mkopo wakati yeye akiwa na shida hata simuulizi nampa kile anachoomba.

Alikuwa anatabia anakuja na gari yake anaipaki anaomba yangu aendee mtaa wa nyuma sababu anasema yake ipo chini sana halafu inatoa mlio hauelewi ila nikajua anafanya kusudi tu ila nikawa nampa tu ufunguo afanye anachotaka sijui alikuwa anaenda gongea mademu zake kwenye gari. Maana anaweza ondoka saa kumi na moja jioni anarudi saa tano au saa nne za usiku. Nikamwambia nataka nisepe gari ipo wapi ananiambia niende na yake atakuja home kuichukua me huwa namkatalia namwambia niambie ulipo unikuletee gari yako me naenda home basi hapo ataogopa utashangaa huyo hapo baada ya nusu saa.

Nilipopitia kipindi kigumu kidogo ndipo nikajua tabia zake halisi. Kwanza alikata mguu, simu zangu akawa hapokei, nishamuomba sana hizi hela ndogo ndogo hajawahi nitoa hata 10. Kuna siku mshikaji wetu mwingine akasema mbona jana nilikuwa na fulani nikamwambia nikupigie simu uje akasema nisikuite, mnashida gani? Nikatabasamu tu na kutikisa kichwa nikamwambia acha tu ubinadamu kazi ndugu yangu. Nikamuelezea jamaa akasikitika sana na yeye akaanza muepuka. Akawa akienda kiwanja ananipigia ananitumia boda boda tunaenda kula bata kimya kimya.

Kuna siku akatukuta kwa bahati mbaya kiwanja kinaitwa small planet pale tabata. Akawa ananionyesha sura ya dharau kabisa yaani utasema kuna kitu nimemfanyia, aisee nilipatwa na hasira nusu nimfyatukie sema nikajikaza. Akaondoka na demu alikutana nae pale pale akaenda zake.

Fast-forward leo mimi niliendelea jikongoja nikakaa sawa hali si mbaya, aliniona wapi sijui naendesha gari ya mshikaji wangu mwingine akajua sijui yangu nashangaa simu ananipigia ananichangamkia sana. Nikajisemea "ona jinga hili".

Akawa anataka sana tuonane namkwepa hadi leo. Nasubiria kwa hamu sana nipate usafiri wangu tena nitahakikisha anajua halafu ajaribu kuniletea mazoea aisee ntamlipua dry na nitampa makavu yote hadi ajue kuwa kazingua.
 
kwa umbea wangu tu yani full kumteta na siri zake natangaza alinisuuuuta akamalizia i love you but i cant keep you jaman alikua ana roho nzuri msafi mtoaji mtu wa kumtegemea nililia niliomba msamaha nilituma watu akasema tupendane mbali mbali kila nilivojipendekeza waapi ananichangamkia vizuri ila hataki ukarib kabisaaa nammis ampenda kanivumilia megi sana na hii ni stori ya kutunga asanteni.
Yakutunga wapi huo ndio ukweli wako rafiki mnafki😂
 
Kwema team MMU?

Marafiki ni watu muhimu na wenye manufaa makubwa kwetu, japokuwa wakati mwingine anaweza kuwa kichomi akavuruga maisha yako?

Mimi na rafiki yangu mmoja urafiki ulikufa sababu hakulipa deni langu, kila nikimdaikwa anatafuta vijisababu vya kunikwepa, jamaa ananikwepa mpaka kesho:pepeLaughing:.

Kwa upande wako nini kilisababisha urafiki wako na besti yako/mshkaji wako kufa?
Nilikosana na rafiki yangu kipenzi,kwa sababu ya kutembea na mpenzi wangu
 
Kwema team MMU?

Marafiki ni watu muhimu na wenye manufaa makubwa kwetu, japokuwa wakati mwingine anaweza kuwa kichomi akavuruga maisha yako?

Mimi na rafiki yangu mmoja urafiki ulikufa sababu hakulipa deni langu, kila nikimdai anatafuta vijisababu vya kunikwepa, jamaa ananikwepa mpaka kesho:pepeLaughing:.

Kwa upande wako nini kilisababisha urafiki wako na besti yako/mshkaji wako kufa?
Niliona text kala shoga
 
Alikuwa haeleweki. Mtu hana malengo ya kimaisha yeye ni bata tu umri umeenda bado ana akili kama yupo foolish age.

Anaweza pata laki 5 hapa akapigia simu washkaji ikachakazwa ikaisha yote akaamka asubuhi ana 30,000 tu.

Ukiwa na shida ukimwambia anataka ujielezee kama unaomba mkopo wakati yeye akiwa na shida hata simuulizi nampa kile anachoomba.

Alikuwa anatabia anakuja na gari yake anaipaki anaomba yangu aendee mtaa wa nyuma sababu anasema yake ipo chini sana halafu inatoa mlio hauelewi ila nikajua anafanya kusudi tu ila nikawa nampa tu ufunguo afanye anachotaka sijui alikuwa anaenda gongea mademu zake kwenye gari. Maana anaweza ondoka saa kumi na moja jioni anarudi saa tano au saa nne za usiku. Nikamwambia nataka nisepe gari ipo wapi ananiambia niende na yake atakuja home kuichukua me huwa namkatalia namwambia niambie ulipo unikuletee gari yako me naenda home basi hapo ataogopa utashangaa huyo hapo baada ya nusu saa.

Nilipopitia kipindi kigumu kidogo ndipo nikajua tabia zake halisi. Kwanza alikata mguu, simu zangu akawa hapokei, nishamuomba sana hizi hela ndogo ndogo hajawahi nitoa hata 10. Kuna siku mshikaji wetu mwingine akasema mbona jana nilikuwa na fulani nikamwambia nikupigie simu uje akasema nisikuite, mnashida gani? Nikatabasamu tu na kutikisa kichwa nikamwambia acha tu ubinadamu kazi ndugu yangu. Nikamuelezea jamaa akasikitika sana na yeye akaanza muepuka. Akawa akienda kiwanja ananipigia ananitumia boda boda tunaenda kula bata kimya kimya.

Kuna siku akatukuta kwa bahati mbaya kiwanja kinaitwa small planet pale tabata. Akawa ananionyesha sura ya dharau kabisa yaani utasema kuna kitu nimemfanyia, aisee nilipatwa na hasira nusu nimfyatukie sema nikajikaza. Akaondoka na demu alikutana nae pale pale akaenda zake.

Fast-forward leo mimi niliendelea jikongoja nikakaa sawa hali si mbaya, aliniona wapi sijui naendesha gari ya mshikaji wangu mwingine akajua sijui yangu nashangaa simu ananipigia ananichangamkia sana. Nikajisemea "ona jinga hili".

Akawa anataka sana tuonane namkwepa hadi leo. Nasubiria kwa hamu sana nipate usafiri wangu tena nitahakikisha anajua halafu ajaribu kuniletea mazoea aisee ntamlipua dry na nitampa makavu yote hadi ajue kuwa kazingua.
Duuu nsamehe mwanangu kwaiyo umeamua uje unichome huku?
 
Alikuwa haeleweki. Mtu hana malengo ya kimaisha yeye ni bata tu umri umeenda bado ana akili kama yupo foolish age.

Anaweza pata laki 5 hapa akapigia simu washkaji ikachakazwa ikaisha yote akaamka asubuhi ana 30,000 tu.

Ukiwa na shida ukimwambia anataka ujielezee kama unaomba mkopo wakati yeye akiwa na shida hata simuulizi nampa kile anachoomba.

Alikuwa anatabia anakuja na gari yake anaipaki anaomba yangu aendee mtaa wa nyuma sababu anasema yake ipo chini sana halafu inatoa mlio hauelewi ila nikajua anafanya kusudi tu ila nikawa nampa tu ufunguo afanye anachotaka sijui alikuwa anaenda gongea mademu zake kwenye gari. Maana anaweza ondoka saa kumi na moja jioni anarudi saa tano au saa nne za usiku. Nikamwambia nataka nisepe gari ipo wapi ananiambia niende na yake atakuja home kuichukua me huwa namkatalia namwambia niambie ulipo unikuletee gari yako me naenda home basi hapo ataogopa utashangaa huyo hapo baada ya nusu saa.

Nilipopitia kipindi kigumu kidogo ndipo nikajua tabia zake halisi. Kwanza alikata mguu, simu zangu akawa hapokei, nishamuomba sana hizi hela ndogo ndogo hajawahi nitoa hata 10. Kuna siku mshikaji wetu mwingine akasema mbona jana nilikuwa na fulani nikamwambia nikupigie simu uje akasema nisikuite, mnashida gani? Nikatabasamu tu na kutikisa kichwa nikamwambia acha tu ubinadamu kazi ndugu yangu. Nikamuelezea jamaa akasikitika sana na yeye akaanza muepuka. Akawa akienda kiwanja ananipigia ananitumia boda boda tunaenda kula bata kimya kimya.

Kuna siku akatukuta kwa bahati mbaya kiwanja kinaitwa small planet pale tabata. Akawa ananionyesha sura ya dharau kabisa yaani utasema kuna kitu nimemfanyia, aisee nilipatwa na hasira nusu nimfyatukie sema nikajikaza. Akaondoka na demu alikutana nae pale pale akaenda zake.

Fast-forward leo mimi niliendelea jikongoja nikakaa sawa hali si mbaya, aliniona wapi sijui naendesha gari ya mshikaji wangu mwingine akajua sijui yangu nashangaa simu ananipigia ananichangamkia sana. Nikajisemea "ona jinga hili".

Akawa anataka sana tuonane namkwepa hadi leo. Nasubiria kwa hamu sana nipate usafiri wangu tena nitahakikisha anajua halafu ajaribu kuniletea mazoea aisee ntamlipua dry na nitampa makavu yote hadi ajue kuwa kazingua.
Huyu kama sio nshomile basi anatokea ujitani wengi wapo hivi hivi
 
Mwanangu umejuaje? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Jamaa ni muhaya kwa baba na mama wote ni wahaya.

Dah aiseee basi nimeamini kuna tabia ni common na jamii fulani tu ya watu.
Nawajua nje ndani wana mazuri yao ila roho mbaya km hiyo ni dosari yao kubwa sana hawapendi uwe juu kumzidi hata akiwa ndg yake wapo hivyo,

wengi wao wapo hivyo
 
kwa umbea wangu tu yani full kumteta na siri zake natangaza alinisuuuuta akamalizia i love you but i cant keep you jaman alikua ana roho nzuri msafi mtoaji mtu wa kumtegemea nililia niliomba msamaha nilituma watu akasema tupendane mbali mbali kila nilivojipendekeza waapi ananichangamkia vizuri ila hataki ukarib kabisaaa nammis ampenda kanivumilia megi sana na hii ni stori ya kutunga asanteni.
bora umekua mkweli😀😀😀😀😀😀
 
My best friend ni mmoja tu since class 3 primary mpaka leo hatujawahi gombana kwa lolote
 
1😀eni,nilimkopesha fedha ndefu ili alipe mahakamani alikokua na kesi ya madai sikuwahi kulipwa pesa yangu mpaka leo
2:Usaliti,kuna fala mmoja nilikua karibu nae sana ila ndo hivyo tena alikua na tabia ya kutongoza mademu ziangu(akiwa anajua kabisa)then baada ya mimi kuoa akaanza mazoea yaliyopitiliza kwa mrs,baada ya hapo ushikaji ukafa
 
Back
Top Bottom