Nini kilisababisha urafiki na Besti/ Mshkaji wako kufa?

Wakati mwingine tunapaswa kuvumiliana kwenye madhaifu ili kumantain urafiki wetu.
Ingekua mimi ndio wewe ningemtafuta huyo rafiki hadi nimpate, kisha nikaongea nae mambo mengine kabisa tofauti na deni langu na baada ya hapo naamini urafiki wetu ungedumu.
 
urafiki ulikufa sababu ya ubinafsi. kwako anataka kunywa bia ila kwake unywe pombe kali.
pili kila jambo lako lenye kutaka kupanga ukimueleza anakuwa na kinyongo au kukukatisha tamaa
Kwa maelezo haya, huyo sio rafiki mkuu..... achana nae
 
Kwahiyo ulivunja urafiki sababu ya pesa uliyomkopesha au sababu kaoa shemeji yake ambaye alikuwa loose ball. Kwan inaonekana mpkaa jmaa katupiamo mistari yake ww ulikua haueleweki.
 
Kadri tulivyokua tunakua ndio nikajua jamaa yuko rough sana then si mkweli, anaweza akakulilia shida we ukatoa akiba ukijua hana, kumbe na yeye anakiasi chake cha pesa cha akiba hataki kukigusa “no matter what”. Nikaona huyu si mtu mwema
 
Kumsaidia kupanda kimaisha, after mafanikio nikageukwa live. I had no choice
 
kwa umbea wangu tu yani full kumteta na siri zake natangaza alinisuuuuta akamalizia i love you but i cant keep you jaman alikua ana roho nzuri msafi mtoaji mtu wa kumtegemea nililia niliomba msamaha nilituma watu akasema tupendane mbali mbali kila nilivojipendekeza waapi ananichangamkia vizuri ila hataki ukarib kabisaaa nammis ampenda kanivumilia megi sana na hii ni stori ya kutunga asanteni.
 
Huu ulikuwa ujasiri mkubwa sana
 
Nawe tafuta mnyonge ummegee mkuu
 
Nilipokea simu kwa rafiki mwingine saa nane usiku mazungumzo yalikua hivi "

Forest Hill unalala Sana vipi??ndugu yako Danny yupo na Shemeji My Affair unajua??usingizi ukakata pale pale,
Hadi Leo Mimi na Danny salamu tu,japo tunajuana since vidudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…