Nini kimefanya Rwanda na Burundi kuwa na watu wengi namna hii?

Nini kimefanya Rwanda na Burundi kuwa na watu wengi namna hii?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Rwanda inaeneo la kilomita za eneo 26,000 na inawatu 13m. Burundi inaeneo la 27,000. na ina watu 12m. Jumla ya watu wa nchi hizi mbili ni 25m kwenye eneo la km za eneo 53,000.

Tanzania yenye ukubwa wa 945,000 ina watu milioni 60. Tanzania ni kubwa kama mara kumi na nane ya ukubwa wa nchi hizo mbili. Kama Tanzania ingekuwa na msangomano wa watu kama uliopo kwenye nchi hizi, basi ingekuwa na watu kama 450m!

nchi hizi zilikuwa sehemu ya German East Africa. Hazina na hazikuwa na tofauti na maeneo mengine ya Tanganyika.

Ni nini kimefanya nchi hizi kuwa na watu wengi namna hiyo?
 
Rwanda inaeneo la kilomita za eneo 26,000 na inawatu 13m. Burundi inaeneo la 27,000. na ina watu 12m. Jumla ya watu wa nchi hizi mbili ni 25m kwenye eneo la km za eneo 53,000.

Tanzania yenye ukubwa wa 945,000 ina watu milioni 60. Tanzania ni kubwa kama mara kumi na nane ya ukubwa wa nchi hizo mbili. Kama Tanzania ingekuwa na msangomano wa watu kama uliopo kwenye nchi hizi, basi ingekuwa na watu kama 450m!

nchi hizi zilikuwa sehemu ya German East Africa. Hazina na hazikuwa na tofauti na maeneo mengine ya Tanganyika.

Ni nini kimefanya nchi hizi kuwa na watu wengi namna hiyo?
Miti
 
Wadada wa kitutsi utataman kila siku wazae vitoto / children vilivyo vizuri

Unakutana na kitoto mpaka unadhan ni cha kuchorwa kilivyo kizuri.....utotoni tulikuwa tunasema mzuri kama mtoto Yesu
Ingekuwa ni sababu hii nchi kama Madagascar, Botswana na Cape Verde wangekuwa na watu Mil 100+

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Tanzania tuna mbwembwe sana yan unaweza kuta nusu ya eneo ulilotaja hapo ni MBUGA,GAME RIZEVU,MASHAMBA NA MAENEO YALIYOTELEKEZWA...Halafu haturingi...
Eko 100% Yani nchi pekee Afrika Mashariki inatuzidi ni DR Congo kuhusu Sudani Kosini sijui. Tanzania tuna utajiri mkubwa sana Ila ndo ivo haturingi na wengine hawajitambui na wengine tamaa nyingi ndo maana umasikini haupungui
 
Wana penda kunaniliu hawana mfano, na wana zaliana mno...

Ingia makambini ndio utaelewa, kama utashindwa kufika gitega
 
Wadada wa kitutsi utataman kila siku wazae vitoto / children vilivyo vizuri

Unakutana na kitoto mpaka unadhan ni cha kuchorwa kilivyo kizuri.....utotoni tulikuwa tunasema mzuri kama mtoto Yesu
[emoji3][emoji3] mitaani watusi sio pisi kali.. ila kuna mabinti warefu kinoma
 
Rwanda inaeneo la kilomita za eneo 26,000 na inawatu 13m. Burundi inaeneo la 27,000. na ina watu 12m. Jumla ya watu wa nchi hizi mbili ni 25m kwenye eneo la km za eneo 53,000.

Tanzania yenye ukubwa wa 945,000 ina watu milioni 60. Tanzania ni kubwa kama mara kumi na nane ya ukubwa wa nchi hizo mbili. Kama Tanzania ingekuwa na msangomano wa watu kama uliopo kwenye nchi hizi, basi ingekuwa na watu kama 450m!

nchi hizi zilikuwa sehemu ya German East Africa. Hazina na hazikuwa na tofauti na maeneo mengine ya Tanganyika.

Ni nini kimefanya nchi hizi kuwa na watu wengi namna hiyo?
Japokuwa Tanzania ni kubwa kieneo, kihistoria watu wake wamekuwa wakiishi mbali mbali sana, katika vikundi vidogo vidogo. Hii ndiyo ilikuwa moja ya sababu ya kuanzishwa kwa vijiji vya ujamaa. Hivyo ongezeko la watu halikuweza kukua kwa haraka kabla ya miaka ya hivi karibuni.

Hata hivyo kuanzia 1960 takwimu zinaonesha Tanzania imeongeza idadi ya watu mara nyingi kuliko hizo nchi mbili.

Kenya (1960) 7.751m , (2021) 53.01m , ongezeko 683%
Tanzania (1960) 10.04m , (2021) 63.59m, ongezeko 633%
Uganda (1960) 7.618m, (2021) 45.84m, ongezeko 601%
Burundi (1960) 2.747m, (2021) 12.55m, ongezeko 456%
Rwanda (1960) 2.966m , (2021) 13.46m, ongezeko 453%
 
Back
Top Bottom