saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Waroma hatuna kitu Kama icho, katengwa tu, watu wanauchungu na bandari, kawa sister kwani, kanisani huyo ni mtu wa kawaida tu.Yawezekana ni protocol lakini angeweka wapambe kadhaa pembeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waroma hatuna kitu Kama icho, katengwa tu, watu wanauchungu na bandari, kawa sister kwani, kanisani huyo ni mtu wa kawaida tu.Yawezekana ni protocol lakini angeweka wapambe kadhaa pembeni
Um
Umemkoseaaa dada yangu.
Kuna kaunafiki humu kwenye hii comment kwa akili kubwa lakini..Hajatengwa huyo; kapewa heshima yake kama kiongozi mkuu wa mhimili unaojitegemea; usiofungamana; wala kushurutishwa; wala kulazimika kufuata maamuzi ya mhimili mwingine! Mhimili wake uko huru sana hivyo ni lazima na yeye akae kwa uhuru bila kuzongwazongwa.
Mwandishi wa hiyo comment ni mbobevu wa lugha.Kuna kaunafiki humu kwenye hii comment kwa akili kubwa lakini..
Hivi kumbe kaolewa huyu dah aiseNampigia simu kaka Ndile hapa kujua kwa nini shem alikaa peke yake...
Yuko rejected ndio maana KatengwaView attachment 2722808
Katika hali ya kushangaza Spika Tulia amejikuta peke yake kwenye bench wakati ibada ikiendelea.
Nimejiuliza nini kinapelekea hali hii kutokea? Ni sakata la Bandari au kuna kingine
Ni mwizi wa rasilimali zetu,we umeona wapi mwizi akawa kipenzi Cha Wana jamiiView attachment 2722808
Katika hali ya kushangaza Spika Tulia amejikuta peke yake kwenye bench wakati ibada ikiendelea.
Nimejiuliza nini kinapelekea hali hii kutokea? Ni sakata la Bandari au kuna kingine
AahaaaaaWala hajatengwa, amejitemga mwenyewe kwa matendo yake ya kishetani ya kuwauza wakatoliki na Watz kwa ujumla?
Wenye pesa hawana mbwembwe babuIla fundi alie mshonea huo mgauni, hana huruma kabisa...😂
Hoja yako ipo wapi? baada ya kuonyesha mi uongo unakuja kwa hoja nyingine?VIDEO: Prof. Lipumba akiri kumsaidia Rais Kikwete katika Uchaguzi 2010
Wakuu, Katika zunguka zangu nikitafuta video ya kinachodaiwa kunaswa na Tanzania Daima (Ref Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010), nimefanikiwa kuipata video hii katika YouTube. Nimetafuta Part 2 ya Video hii sijaipata, nawashirikisha Part 1 yake ili tunapojadili mambo kama haya...www.jamiiforums.com
Mzee kakaa kichawi chawi. Au no babake?hapa mbeya tumekubaliana atengwe
Hii itakuwa picha ya siku nyingiView attachment 2722808
Katika hali ya kushangaza Spika Tulia amejikuta peke yake kwenye bench wakati ibada ikiendelea.
Nimejiuliza nini kinapelekea hali hii kutokea? Ni sakata la Bandari au kuna kingine