jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
maisha haya imagine huyu dada asingesoma sasa hv angekuwa na hali gani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi hugeuka mungu wadogo. Ni wapana sana inabidi benchi zima akalie yeye msije mkamsogelea na najisi zenu ebo😄😄😄😄View attachment 2722808
Katika hali ya kushangaza Spika Tulia amejikuta peke yake kwenye bench wakati ibada ikiendelea.
Nimejiuliza nini kinapelekea hali hii kutokea? Ni sakata la Bandari au kuna kingine
Halafu juu kapiga jacket la mtumba🤣🤣🤣.Ila fundi alie mshonea huo mgauni, hana huruma kabisa...😂
Huyu atazeeka vibaya mno.View attachment 2722808
Katika hali ya kushangaza Spika Tulia amejikuta peke yake kwenye bench wakati ibada ikiendelea.
Nimejiuliza nini kinapelekea hali hii kutokea? Ni sakata la Bandari au kuna kingine
Kwani Ni mkatoliki huyuDada Tulia,waraka umemuingia vizuri.
View attachment 2722808
Katika hali ya kushangaza Spika Tulia amejikuta peke yake kwenye bench wakati ibada ikiendelea.
Nimejiuliza nini kinapelekea hali hii kutokea? Ni sakata la Bandari au kuna kingine
DhambiView attachment 2722808
Katika hali ya kushangaza Spika Tulia amejikuta peke yake kwenye bench wakati ibada ikiendelea.
Nimejiuliza nini kinapelekea hali hii kutokea? Ni sakata la Bandari au kuna kingine
Kaenda kusikiliza Na yeye Tamko. Unajua wakiwa kule bungeni wanakuwa kama wana maluelue so akiwa hapo ataelewa vizuri.Kwani Ni mkatoliki huyu
Protocol za ulinzi
Na pamba zake sasa ngakocha😆Dada Tulia,waraka umemuingia vizuri.
Ila fundi alie mshonea huo mgauni, hana huruma kabisa...[emoji23]
HeheheUnanipotezea timing bro,umenifanya nirudi page ya mwanzo kuangalia tena gauni.
Single mothermaisha haya imagine huyu dada asingesoma sasa hv angekuwa na hali gani...
Hehehe
ULINZI wa mavi ya tumboniProtocol za ulinzi
Hahahaha umenifurahisha mpiga kura wetu wa CCM. Asante kwa hicho kivumishiULINZI wa mavi ya tumboni