Nini kimelekea Spika Tulia kutengwa kwenye ibada?

Ulinzi gani wewe ndugu yake kunguni? Mbona hata walinzi hawajakaa pembeni yake benchi zima yuko alone.
Dah aisee kuwa chawa ndiyo naoga matusi kiasi hiki, basi buana, subiri dawa yenu nitaanza kushusha nondo balaa
 
Dah aisee kuwa chawa ndiyo naoga matusi kiasi hiki, basi buana, subiri dawa yenu nitaanza kushusha nondo balaa

Badili hilo jina bwanaa mimi pia sipendi kukusanifu,bora uwe shabiki wa mama.Chawa?
 
Badili hilo jina bwanaa mimi pia sipendi kukusanifu,bora uwe shabiki wa mama.Chawa?
Mbona jina zuri kabisa, hukumsikia mama siku alisema ukimgusa tu, tupo sisi chawa wake tunakushughulikia. Tupo hapa kwa ajili ya Mama, Mwenyekiti wetu CCM taifa, jemedari, mzalendo, mtu wa watu! Mpenda maendeleo!
 
Kanisani watu huenda na kukaa bench moja na wenza wao ispokua wale waliochokana.
 
Mbona jina zuri kabisa, hukumsikia mama siku alisema ukimgusa tu, tupo sisi chawa wake tunakushughulikia. Tupo hapa kwa ajili ya Mama, Mwenyekiti wetu CCM taifa, jemedari, mzalendo, mtu wa watu! Mpenda maendeleo!

Mwanamke mpenda Maendeleo hauzi vyombo vya familia dada
 
Huyu dada asingesoma, halafu awe anauza msabe au chimpumu ya kutagila kwenye vilabu pale Makunguru Mwanjelwa, nadhani ingewachukua walevi muda na pombe nyingi kupata courage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…