Nini kimemkuta Waziri Mchengerwa?

Yaani wabongo
wabongoWengi wanaamini Uteuzi wowote ule ni kwa ajili ya Ulaji tu !! Na mtumishi akijilimbikizia Mali nyingi kuliko halali yake anaitwa mjanja !! Kazi kweli kweli !!
 
Sema alinifurahisha baada tu ya kuona mjomba kafa akaomba radhi uma chap!


Kwani kuomba msamaha ndio kusamehewa?

Kuomba msamaha ni swala moja na watu kuridhia kukusamehe ni jambo lingine.

Yani mtu afanye makosa ya makusudi halafu ajisemee moyoni nitakuja kuwaomba msamaha?!

Kwani ameumiza wangapi?

Je wataponaje ?

Hata hivyo kwenye records michwani mwa watu wameshamjua ni mtu wa aina gani na hiyo kufutika ni ngumu!
 
Naeza kuamini! Niongezee nyama kidogo bas! Ila nachojua jamaa ni mshirikina na ni jeuri atar! Maskin wanou mpoleee japo kawivu kamelala pale lakini ni mtu wa kurizika tu, ila na wanou si aliolewa akaachika?
Huyo Wanu naye mbona ni mama mtu mzima?
 
Biteko naye ni ndugu pia( ni mnyarwanda na ndiye aliyetoa masaa apewe Uraia kabla ya kumteua kuwa waziri na ikawa sababu ya Mkubwa mmoja uhamiaji kutumbuliwa) ,hata Kalemani ni ndugu pia
Wachaaaaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…