Nini kimempata Aslay, Nyimbo zake kwa sasa zina shida gani?

Nini kimempata Aslay, Nyimbo zake kwa sasa zina shida gani?

Nyimbo zake znafanana kuanzia beats had melody.....binafsi hata hiyo nyimbo mpya sitak kuiskia nahis beat na melody ni zile zile tu...

Sema Natamba ngoma kal sana.
wimbo mpya nao sijaona utofauti wake na zilizo pita
 
Tatizo jamaa alikuwa anatoa ngoma mfululizo sana, then ladha ni ile ile. Ikumbukwe kuwa mpaka ikasikika jamaa alikuwa na daftari lote la ngoma za Yamoto Band.

Kumbuka binadamu tumeumbwa kuchoka pia.
Ajipange upya aje na sound tofauti inaweza msaidia.
 
aslay ni msanii wa kawaida sana sema mleta mada inaonekana ulimpa hadhi kidogo ndomana unashangaa
 
Wasalaam

Kati ya watu au wasanii wenye vipaji hapa nchini vya kuimba ni Aslay....
Aslay anao uwezo mkubwa sana tena sana...
Lakini kwa hivi karibuni muziki wake umeanza kuyumba kabisa na hata ile ladha imeanza kupotea kabisa na hata attentions ya watu kwake imepungua sana...
Bado najiuliza nini kimempata Aslay? Je ni utunzi umechokwa? Hana kipya cha kuwapa tena mashabiki?
Nani wakumsaidia Aslay na anguko hili? washauri wako hawaoni tatizo?
Wasalaam........
Ukigombana na Fella,tegemea anguko la mapema sana
CC Juma Nature.
 
Acheni kumpangia..muziki unatokana na hisia za mwanamuziki na mazingira anayopitia kwa wakati huo.Dogo ameachwa au ameporwa mchumba wake na wazee wenye kisu kikali. Hivyo,maumivu ya mapenzi ndio yanamfanya kuimba au kutunga hizo nyimbo zake.Hebu fuatilieni nyimbo zake na maneno yake hawezi kupiga beat za kuchezeka wakati anaisikitika.Yote kwa yote anafanya vizuri.
 
ni kawaida kwa wanamiziki kupanda na kushuka,haijaanzia kwa aslay tu
 
Hata Mimi nimejikuta Sina vibe nae tena kabisaa yanii...!! Sijui why now namkubali Mbosoo zaidi
 
Kupitia aslay na Darasa inabidi Diamond platnumz tumheshimu sana..

Haijawahi kutokea Tz kwa msanii wa Bongo fleva kuwa nambari 1 kwa miaka 10 mfululizo....

Wamekuja watu wamekaa mwaka mmoja kwenye climax wamepotea ila huyu mshenzi tokea 2009 anaachia mawe tuu...

kila siku tunaambiwa atafulia ila ndio kwanza anabarikiwa , ukitaja ngoma 5 zilizofanya vizuri mwaka huu hapa bongo unakuta kwenye 2 au 3 yupo na Bado hapo nyimbo zake hazipigwi radio kubwa za Tz.. Diamond ni noma sana na anastahili heshima msisubiri ashuke ndio mje mseme jamaa alikuwa noma
 
Kupitia aslay na Darasa inabidi Diamond platnumz tumheshimu sana..

Haijawahi kutokea Tz kwa msanii wa Bongo fleva kuwa nambari 1 kwa miaka 10 mfululizo....

Wamekuja watu wamekaa mwaka mmoja kwenye climax wamepotea ila huyu mshenzi tokea 2009 anaachia mawe tuu...

kila siku tunaambiwa atafulia ila ndio kwanza anabarikiwa , ukitaja ngoma 5 zilizofanya vizuri mwaka huu hapa bongo unakuta kwenye 2 au 3 yupo na Bado hapo nyimbo zake hazipigwi radio kubwa za Tz.. Diamond ni noma sana na anastahili heshima msisubiri ashuke ndio mje mseme jamaa alikuwa noma
Uko sahihi sana mkuu.
 
Back
Top Bottom