Nini kimempata dada aliyeshambuliwa na nyuki? Alipona?

Nini kimempata dada aliyeshambuliwa na nyuki? Alipona?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kuna video inatrend mitandaoni ya msichana akishambuliwa na nyuki Mbweni huku jamaa wakiwa ndani ya gari ya chumba wanarekodi.

Kwa mlioiona na kujua hatma yake tunaomba mtujuze nini ilikuwa hatma ya yule dada?

 
Yani simu zimetufanya tumekuwa mabongo zozo.... same wakati pancho latino anazama watu badala ya kumsaidia wao wako wanarekodi yani ni kama vile wanashindana nani atakuwa wa kwanza kupost. Limtu kiko ooh jamani ona ona jamani, anazama....
 
Yani simu zimetufanya tumekuwa mabongo zozo.... same wakati pancho latino anazama watu badala ya kumsaidia wao wako wanarekodi yani ni kama vile wanashindana nani atakuwa wa kwanza kupost. Limtu kiko ooh jamani ona ona jamani, anazama....
Hii iliishiaje?

Si walimuokoa au walimuacha mpaka ikawa too late?
 
Huenda akasurvive, mimi mwaka jana bibi yangu alishambuliwa na nyuki kutoka kwenye mzinga wengi karibu one hour watu walijaribu ikashindikana huko kijijini hadi alipokuja jamaa amejifunga chandarua ndiye alimsaidia na baada ya hapo alikuwa hajitambui hadi kesho yake. dr alisema akisurvive saa 24 basi ndo amepona na alipona mpaka leo yupo japo complications nyingine ziliibuka baada ya tukio hilo ila ni uzee she is 95.
 
Back
Top Bottom